Lily Tony
JF-Expert Member
- Feb 6, 2019
- 3,198
- 4,191
Bsc ForestryMgesema pia taaluma zenu ingekuwa rahis kupeana taarifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bsc ForestryMgesema pia taaluma zenu ingekuwa rahis kupeana taarifa
Ukiajiriwa unafukuzwa kazi. Ukijiajiri biashara inafilisika. Utafanya nini?
Duuh hatareeHuo ndo nauita mlinganyo wa shetani Infantry Soldier
Duuh hataree
Wejamaa ulichofanya ni kuzungushazungusha lugha tu hapo kwani chumvi ya bahari kaiweka nani si Mungu...akisema aoge chumvi atoe nuksi hapo kaitakasa chumvi kivipi, sawa na kusema
1)soma uwe na maisha mazuri (je tumeitakasa elimu)
2)kula matunda upate afya (je limetakaswa tunda)
Kilichopo ni Mungu anatenda kupitia kisababishi (chumvi, matunda, elimu nk) sasa unapotamka sentensi humtaji Mungu ila Lawa ya ulimwengu ukitaja chochote basi nyuma yake umemtaja Mungu sasa ukisema umtaje Mungu utahitajika kumtaja kila sentensi.
Ni kwamba umechengesha lugha tu.
Usema ukweli inauma sana sana, na ndio maana nikasema kama una roho ndogo unaweza tamani kuji RIPHebu niambie dada yangu, umemaliza chuo na degree yako, unaapply kazi Mara 100 lkn hupati, unaanza biashara kwa mtaji wa kawaida unaishia kupata hasara, mtaji unashuka mwishowe unafilisika..
Kabla ya biashara kufilisika kabisa, hio biashara, itakupa hela ya kula tu, kama ni kidume, hapo utakuwa una hela ya kula tu, hela ya ziada huna, hata kuoa na kuanzisha familia unakuwa huwezi.. Unaona ukioa utatesa watoto na njaa
Ndo mwanzo wa kufanya vibarua mtaani, na kazi ambazo sio tu zinakudhalilisha, pia kazi ambazo zinakupa ujira mdogo, ambao huwez fungua nao biashara ya maana, kinachouma si kufanya hizo kazi, kinachouma ni muda na gharama mtu ulizotumia kusoma chuo, hlf unakuja fanya kazi ambazo la saba anafanya its like, ni heri mtu usingefika chuo kabisa witnessj
Mmmh mbona kafara kama kafara[emoji28][emoji28][emoji1787]Tatizo ni uelewa wa neno ushirikina (shirki).
Maana ya shirki ni kumshirikisha Mungu na kitu chochote ktk ibada zake...mfano,kumuomba yeye kupitia ktu au kupata utakaso kupitia kitu au mtu.
Sasa unaposema Mungu anatenda kupitia kisababishi ndyo shirki yenyewe...embu fikiria na yule anaeabudu moto/sanau kama kisababishi au kiwakilishi kwa Mungu,je unaonaje hilo?
Nikweli kila kitu huja kwa sababu fulani...mfno rizki,lazma ujishughulishe ndo Mungu nae anakupa humohumo Kwenye shughuli zako lakini sio mambo ya maombi,utakaso n.k...
Pia Mwenyez Mungu ameruhusu baadhi ya vtu vfanywe kwa ajili yake Kama kafara.
Nikuweke sawa.Tatizo ni uelewa wa neno ushirikina (shirki).
Maana ya shirki ni kumshirikisha Mungu na kitu chochote ktk ibada zake...mfano,kumuomba yeye kupitia ktu au kupata utakaso kupitia kitu au mtu.
Sasa unaposema Mungu anatenda kupitia kisababishi ndyo shirki yenyewe...embu fikiria na yule anaeabudu moto/sanau kama kisababishi au kiwakilishi kwa Mungu,je unaonaje hilo?
Nikweli kila kitu huja kwa sababu fulani...mfno rizki,lazma ujishughulishe ndo Mungu nae anakupa humohumo Kwenye shughuli zako lakini sio mambo ya maombi,utakaso n.k...
Pia Mwenyez Mungu ameruhusu baadhi ya vtu vfanywe kwa ajili yake Kama kafara.
Aisee hii Dunia.Hebu niambie dada yangu, umemaliza chuo na degree yako, unaapply kazi Mara 100 lkn hupati, unaanza biashara kwa mtaji wa kawaida unaishia kupata hasara, mtaji unashuka mwishowe unafilisika..
Kabla ya biashara kufilisika kabisa, hio biashara, itakupa hela ya kula tu, kama ni kidume, hapo utakuwa una hela ya kula tu, hela ya ziada huna, hata kuoa na kuanzisha familia unakuwa huwezi.. Unaona ukioa utatesa watoto na njaa
Ndo mwanzo wa kufanya vibarua mtaani, na kazi ambazo sio tu zinakudhalilisha, pia kazi ambazo zinakupa ujira mdogo, ambao huwez fungua nao biashara ya maana, kinachouma si kufanya hizo kazi, kinachouma ni muda na gharama mtu ulizotumia kusoma chuo, hlf unakuja fanya kazi ambazo la saba anafanya its like, ni heri mtu usingefika chuo kabisa witnessj
Telecom engineeringUmesoma nin mkuu?
NdioKwani ulisoma mkuu?
Ulisomea nn chief?...Tuweke wazi kidogo
Samahani
Kwanini ndugu yangu?Huo ndo nauita mlinganyo wa shetani Infantry Soldier
Tangu 2017Telecom engineering
Kwamaana tuzidi kupambana...coz hii hali kila mtu hupitia tunatofautiana mudaKwahiyo asikate tamaa then what ikiwa watu wa aina yake wanazidi kuongezeka?
Hii kitu ya maingi Sana mkuuMkuu pambana tuu maisha haitakiwi kukata tamaa na pia hii corona imeharibu mfumo wa maisha na ukifanikiwa usisahau kutengeneza mazingira mazuri ya wengine usijisahau kama hao ili hii circle ya umasikini tuifute inaumiza sana ila usikate tamaa kabisa...
Eeeh bibie ni kafara Kama kafara..Mmmh mbona kafara kama kafara[emoji28][emoji28][emoji1787]
Ahahaaa...Nikuweke sawa.
Shirki_ni kumshikisha Mungu (maana yake kukioa kitu fulani uwezo wa Mungu) mfano unamuomba Ng'ombe/sanamu akutatulie matatizo yako hiyo ndio Shirki.
Je kusema Matunda yanaleta Afya ni Shirki ?? Jibu.