Vibendera vya Israel kwenye magari ya Wabongo

Ngano zao Zina vioja Sana Mtu mwenye akili timamu hawezi kuwa mfuasi wa Hizo Dini za mchongo Wala kuamini Huyo Mungu wa Abraham Ili Hali wewe ni Mmatumbi pure!

Ignorance in high advance!
 
Ila kwenye mtandao wao waisrael wanawasagia sana kunguni wakristo ambao ni wazungu na watu wengine, wanawaita Esav (hapa wanamaanisha ni uzao wa Essau), Rome (wakimaanisha ni dini ya warumi au wataliano) na wanasema their god is Yeshu (wakimaanisha mungu wao ni Yesu). Wao hawaamini katika Yesu Kristo, hivyo wanawaona wakristo kama wanaamini mungu ambaye ni tofauti na Mungu Mkuu wanayemwabudu.........​
 
Hao wakristo walioko Israel,ni waarabu,ni wapalestina.
 
Duuuh!
Kuweka bendera ya taifa lingine haimaanishi kulitukuza. Na kufanya hivi hakukufanyi kutokuwa mzalendo.
Kuweka bendera ya taifa lako/kuvaa rangi za bendera ya taifa lako haimaanishi uzalendo. Na kutokufanya hivyo haimaanishi si mzalendo.
Your remarks are typical CCM.
 
Kupeperusha Bendera yenye Star of David na alama ya Mito ya Tigris na Euphrates wakati wewe ni Black Gentile ni kulitia nuksi Taifa la Watu.

Peperusha bendera ya Simba Sports Club.
 
Ni umbumbumbu tu wakutoitambua thamani ya utu wako, kufikiri ujinga wa kutangaza taifa jingine ndani ya mipaka ya nchi yako uhalalisha imani, kumbe unachangia kudhoofisha uzalendo ndani ya taifa lako.
 
 

Attachments

  • VID-20220202-WA0114.mp4
    4.8 MB
Ni umbumbumbu tu wakutoitambua thamani ya utu wako, kufikiri ujinga wa kutangaza taifa jingine ndani ya mipaka ya nchi yako uhalalisha imani, kumbe unachangia kudhoofisha uzalendo ndani ya taifa lako.
 

Attachments

  • VID-20220202-WA0115.mp4
    14.1 MB
Wengi huwa ni Wakristo, na huamini kupeperusha bendera ya Israel ni sawa na kuonesha wanakubaliana na Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo(Isreal)
Mungu yupi? Mana wao hawaamin katika jesus
 
Sio Uzalendo ila ni Ushamba kupeperusha Bendera nyingine nchini kwako
 
Kupeperusha Bendera yenye Star of David na alama ya Mito ya Tigris na Euphrates wakati wewe ni Black Gentile ni kulitia nuksi Taifa la Watu.

Peperusha bendera ya Simba Sports Club.
Nimependa hilo neno "Black Gentiles" Matoyo 15: 34 Gentiles Paul aliwaliganisha na mbwa, kwa kusema "huwezi kuchukua chakula cha watoto arafu ukakipa mbwa"....wakati anamanisha wale ambao sio Jews in mbwa.......hapo ndo unakuta wa Africa tusio jitambua tuna jipendekeza kwa wa isreal wakati wenyewe hawakutambui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…