Vibendera vya Israel kwenye magari ya Wabongo

Vibendera vya Israel kwenye magari ya Wabongo

Wakuu heshima kwenu.

Naomba tu kuuliza japokuwa najua kufuatilia mambo ya watu sio mchongo wala nini.

Huwa naona vibendera vya taifa la Israel kwenye magari ya watu ambao naamini kabisa ni Wabongo wenzetu.

Sasa wakuu naomba tu kuuliza what is the motive behind this? kunakuwa na affiliation gani na hili Taifa la Israel?

Au ni Waisraeli weusi wanaoishi bongo?
Utumwa wa kifikra
 
Kutaja habari kuhusu wahindi ni lazima niwe nimetembelea India?

Waarabu hawapo hapa nchini? Siwaoni kupitia vyombo vya habari?
Uliowaona watanzania itv ndiyo umeona watanzania wote!!..una akili gani wewe!?
 
Nimeshangaa sana kuona statistics zinasema ni asilimia mbili tu (2%) ya Waisrael ndo wakristu..

Nilidhani zaidi ya asilimia tisini watakuwa wakristo,kumbe nilikuwa opposite vibaya sana..

Wakristo tumeingizwa chaka nini na biblia?
Haha! Ndo mnajua Leo poleni..😂
 
Mkuu, Taifa la Israel, Mungu aliweka nao Agano la Milele kua kielelezo chake.

Yaan unapoona Israel ya Sasa, Ujue Mungu Yupo, aliumba, na kwamba yote tunayoyasikia juu ya ukuu wake ni yakweli.


Sasa kwakua, Moja ya ahadi ,ni KUWABARIKI WALE WANAOITAKIA HERI ISRAEL ...ndio sababu watu wengi wanakua na Bendera hizo Kiimani tu kama sehem ya Uhusiano na Mungu kupitia Taifa lake la Israel.

Hata kwenye Kuomba, Unaposema "Mungu wa Israel ...".... Unampa Mungu Furaha sana na Utukufu mkubwa .


Licha ya kwamba,Israel ya sasa Imemuasi Mungu, ila Yeye analitizama Agano lake zaidi aloweka nao.
 
Sio tu bendera ya Israel Hadi bendera ya America unakuta mtu kwaweka cha ajabu hakuna hata ya Tanzania
Bongo wanajifanya bendera ni kama kitu kitakatifu..wakati viongozi unafiki tu umewajaa..watupe ruhusa tuninginize bendera ya taifa majumbani kwetu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wakristo wa Africa hawapo sawa sidhani hilo jambo kama unaweza kulikuta kwa wakristo wazungu iwe ujerumani urusi au nchi yoyote eti aweke bendera ya Israel
Laiti waktriso wangejua kuwa wayahudi hawampendi huyo Yesu na walimsulubisha kwakuwa alikuwa ana laana ya taurati
Asilimia kubwa ya waisrael wanafata dini ya Judaism ambayo mafundisho yake wanafata The Talmud unmasked
Ukisoma vizuri The Talmud unmasked utakuja kuona mariam aliitwa malaya alimzaa mtoto wake na pepo chafu rejea The Talmud unmasked by Rev I.B Pranaitis chap 1 ukurasa wa 30
"Hayo ndio waliyoyatenda kwa mwana wa Stada katika Lud na wakamsulubisha jioni ya Pasaka.Kwani mwana huyo wa Stada alikuwa mwanaye Pandira.Maana Mwalimu Chasda anatuambia ya kuwa Pandira alikuwa mume wa Stada aliyekuwa mamake,na yeye aliishi katika zama za Paphus wa Jehuda"

Mwandishi wa The Talmud unmasked Rev IB Pranaitis akifanunua maneno hayo juu akisema
"Hayo yanamaanisha ya kwamba Mariam ndiye aliyeitwa Stada yaan malaya kwani sawa na ilivyofundishwa hapo Pumbadita yeye alimuacha mumewe na akafanya uzinzi.Hayo pia yameandikwa katika Jerusalem na Maimonides"

Kwa maelezo zaidi kasome mafundisho ya Talmud kwa uraisi tafuta kitabu cha Talmud unmasked by Rev I.B Pranaitis na uone wakristo na Yesu walivyosimangwa na kutukanwa na wayahudi that's why population yao israel ni asilimia 2 tu
Shida ipo wapi kila mtu akiamini lake?
 
Nimeshangaa sana kuona statistics zinasema ni asilimia mbili tu (2%) ya Waisrael ndo wakristu..

Nilidhani zaidi ya asilimia tisini watakuwa wakristo,kumbe nilikuwa opposite vibaya sana..

Wakristo tumeingizwa chaka nini na biblia?
Tena kwa myahudi bora kidogo na muislam kiimani zinaiva kuliko mkristo.......sema tu mizozo ya kisiasa ndo inafanya wanyukane
 
Mkuu, Taifa la Israel, Mungu aliweka nao Agano la Milele kua kielelezo chake.

Yaan unapoona Israel ya Sasa, Ujue Mungu Yupo, aliumba, na kwamba yote tunayoyasikia juu ya ukuu wake ni yakweli.


Sasa kwakua, Moja ya ahadi ,ni KUWABARIKI WALE WANAOITAKIA HERI ISRAEL ...ndio sababu watu wengi wanakua na Bendera hizo Kiimani tu kama sehem ya Uhusiano na Mungu kupitia Taifa lake la Israel.

Hata kwenye Kuomba, Unaposema "Mungu wa Israel ...".... Unampa Mungu Furaha sana na Utukufu mkubwa .


Licha ya kwamba,Israel ya sasa Imemuasi Mungu, ila Yeye analitizama Agano lake zaidi aloweka nao.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni mjinga tuu anaamini hili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni mjinga tuu anaamini hili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mjinga pekeake asojua maandiko ndio hilo hawezi kulijua.

IPO hivo, na itabaki kua ivo siku zozote.
 
Wote wale wale huku Wagalilaya weusi,kule Waquraish weusi
Ngoma droo Wote Wendawazimu TU!
Yani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuamini katika maswala ya arab herdsmen and watoza ushuru wa kiyahudi ni kupungukiwa na akili[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ukimuuliza mtu huyo mungu aliweka agano wapi na nani , na nani alikua shahidi wa hilo agano hamna atakayekuja tena mungu anapendelea watu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom