Video Clip: Jerry Silaa adai kuna Jaji anamlinda tapeli wa viwanja

Video Clip: Jerry Silaa adai kuna Jaji anamlinda tapeli wa viwanja

Jerry wa juzi bro, huezi mfananisha na makonda ambaye ametamba miaka kadhaa serikalini.

Elimu, ufahamu, Exposure, Uzoefu

Kipindi cha Kikwete Jerry amewahi kuhudumu Sekretarieti ya Kamati Kuu ya muunganiko wa Tanganyika African National Union na Afro Shirazi Party..

Jerry ana mapungufu ya kibinadamu ila anajua kwa nini anafanya anachofanya..Anajua anakotaka kwenda..Utaratibu na hekima ya kufika..
 
Kwani ni wewe ndiyo Valence Matunda? Mumezoea vya kunyonga. Subiri muziki wa Jerry Silaa
kwa kifupi, kama jamaa ana hoja zenye mashiko kisheria, hana lolote la kumfanya, kwasababu ataenda tu Mahakamani kwisha, waziri hayupo juu ya sheria ndio maana Mahakama ikawepo. Hata Rais hawezi kushindana na Mahakama nje ya Mahakama. hoja yangu kuu ilikuwa, mbona wanalalia zaidi upande mmoja bila kumsikiliza huyo wanayesema ni tapeli, na mbona yeye ameeleza kwa facts na evidence na hasikilizwi?
 
Wewe jamaa hauko mbali na mfumo kandamizi. Wewe kama siyo dhulumat wa viwanja basi uko karibu na majaji
ndugu, mimi sio dhulumati, na sipo karibu na majaji, ila ni mwanasheria, huwa napenda utawala wa sheria kwasababu tumeziweka sisi wenyewe na huwa napenda kusikilizap ande zote mbili kabla ya kuhukumu. Mahakama zipo, hakuna amri ya waziri iliyo juu ya amri ya Mahakama. usije kujidanganya. hii ndio imesababisha watu badala ya kukosa hoja mtaani huwa wanaenda kushitaki kwa waziri bila kujua waziri hayupo juu ya Mahakama. na kesho tu huyo unayeamini ni waziri hatakuwa waziri. ila Mahakama ipo.
 
Huku kijijini kwetu baadhi ya watu ninao wajua washaanza na mimi naenda kutafuta kiwanja changu nikienda mjini. Sasa hivi wizara ina yule kijana (jina lake awamjui) anafanya kazi sana amuonei mtu.

Piga kazi Jerry, shida ya watanzania sasa kipindi hiki kuna waziri anaesaidia kuna watu wamelala. Siku akitolewa hapo utasikia kuna raia wanalalamika wana migogoro ya ardhi toka 2010 aina suluhisho. Wanafanya nini kipindi hiki kuna waziri wa kupigania haki zao wanajua wenyewe.
Tanzania ni nchi ya hovyo sana. Viongozi nao wanalalamika kama wananchi.
Hapo nani wa kuchukua hatua ili hayo yote yaishe?
Utasikia raisi naye analalamika kuna viongozi wanakula rushwa.
 
Inasikitisha sana mahali pa kutoa haki pamekuwa kimbilio la watoa na wala rushwa
 
Tanzania ni nchi ya hovyo sana. Viongozi nao wanalalamika kama wananchi.
Hapo nani wa kuchukua hatua ili hayo yote yaishe?
Utasikia raisi naye analalamika kuna viongozi wanakula rushwa.
Ngoja tuone ‘Jerry Silaa’ si kasema hapo yeye kainunua hiyo kesi awezi fumbia macho utapeli na kupokwa haki za watu akiwa ardhi.

Ataenda nayo mpaka ‘tume ya watumishi wa mahakama’ supervisory body ya judges kum-report huyu corrupt judge na yeye kasoma sheria pia.

Ulitegemea baada ya waziri (mtu mkubwa kwenye nchi) kuongea vile bungeni judge mkuu angekuwa keshatoa kauli, kufuatilia hiyo kesi maana taasisi anayosimamia kushutumia kutumika kupoka haki za watu sio accusations ndogo, ndio kwanza habari hana.

Kwa haya malalamiko ya utendaji wa mahakama sio kwa Silaa tu ata kwenye mikutano ya viongozi wengine na wananchi kinachoendelea huko it’s fair to say judge mkuu ni muda wa kupumzishwa na kuletwa mwingine atakaeweza kwenda na mwamko wa Tanzania kwenye kudai haki zao pamoja na kuwarahisishia kazi wale wanaowapigania.
 
Ngoja tuone ‘Jerry Silaa’ si kasema hapo yeye kainunua hiyo kesi awezi fumbia macho utapeli na kupokwa haki za watu akiwa ardhi.

Ataenda nayo mpaka ‘tume ya watumishi wa mahakama’ supervisory body ya judges kum-report huyu corrupt judge na yeye kasoma sheria pia.

Ulitegemea baada ya waziri (mtu mkubwa kwenye nchi) kuongea vile bungeni judge mkuu angekuwa keshatoa kauli, kufuatilia hiyo kesi maana taasisi anayosimamia kushutumia kutumika kupoka haki za watu sio accusations ndogo, ndio kwanza habari hana.

Kwa haya malalamiko ya utendaji wa mahakama sio kwa Silaa tu ata kwenye mikutano ya viongozi wengine na wananchi kinachoendelea huko it’s fair to say judge mkuu ni muda wa kupumzishwa na kuletwa mwingine atakaeweza kwenda na mwamko wa Tanzania kwenye kudai haki zao pamoja na kuwarahisishia kazi wale wanaowapigania.
Sahihi.

Lakini atakaemteua huyo mwingine ni Mfumo huo huo uliomteua huyu aliyepo, tutaipata tofauti kweli?

Ama ndio Garbage out, same Garbage in.
 
kwa kifupi, kama jamaa ana hoja zenye mashiko kisheria, hana lolote la kumfanya, kwasababu ataenda tu Mahakamani kwisha, waziri hayupo juu ya sheria ndio maana Mahakama ikawepo. Hata Rais hawezi kushindana na Mahakama nje ya Mahakama. hoja yangu kuu ilikuwa, mbona wanalalia zaidi upande mmoja bila kumsikiliza huyo wanayesema ni tapeli, na mbona yeye ameeleza kwa facts na evidence na hasikilizwi?
Nchi hii ni ngumu sana.
 
Nchi yetu tuna mifumo ila haifanyi kazi, na ndiyo maana kina makonda wanajizolea pointi 3 kila kukicha kutatua migogooro ambayo ki uhakisia haitakiwi iwepo.

Yaani mkandalasi anafanya kazi ya Halmashauri anamaliza afu miaka 07 hajalipwa, kichekesho.

CCM ishajichokea kila kona.
Kila mmoja anatakiwa kufanya kazi kwa haki, haki haina chama tena usikute wanaodhulumika wengi wao ni wana CCM masikini.
 
Sahihi.

Lakini atakaemteua huyo mwingine ni Mfumo huo huo uliomteua huyu aliyepo, tutaipata tofauti kweli?

Ama ndio Garbage out, same Garbage in.
Bora kujaribu mabadiliko kuliko kumwacha mtu ambae anaonekana hajali kabisa.

Yaani kiongozi wa mahakama anawaona viongozi wakitaifa wanalalamikia branch yake ya power kwenye mikutano yao.

Bungeni nako malalamiko hayo hayo. Katika separation of power bunge na serikali ina lalamikia mahakama; halafu judge mkuu ndio kwanza walaa anawaona wapiga kelele tu hana habari.

Change is worth a try kuliko kuacha mtu ambae anaonekana doesn’t care. Ni muda wa kupelekwa kwenye body member ya mashirika, kazi ya mahakama imemshinda.
 
Ngoja tuone ‘Jerry Silaa’ si kasema hapo yeye kainunua hiyo kesi awezi fumbia macho utapeli na kupokwa haki za watu akiwa ardhi.

Ataenda nayo mpaka ‘tume ya watumishi wa mahakama’ supervisory body ya judges kum-report huyu corrupt judge na yeye kasoma sheria pia.

Ulitegemea baada ya waziri (mtu mkubwa kwenye nchi) kuongea vile bungeni judge mkuu angekuwa keshatoa kauli, kufuatilia hiyo kesi maana taasisi anayosimamia kushutumia kutumika kupoka haki za watu sio accusations ndogo, ndio kwanza habari hana.

Kwa haya malalamiko ya utendaji wa mahakama sio kwa Silaa tu ata kwenye mikutano ya viongozi wengine na wananchi kinachoendelea huko it’s fair to say judge mkuu ni muda wa kupumzishwa na kuletwa mwingine atakaeweza kwenda na mwamko wa Tanzania kwenye kudai haki zao pamoja na kuwarahisishia kazi wale wanaowapigania.
Hapo tayari Jerry Slaa ameshafeli. Tanzania tuna viongozi na taasisi ambazo hazina msaada kabisa. PCCB (Taasisi ya kuzuia rushwa Tanzania) ishakufa
Angekuwa mwananchi wa kawaida, angekuwa amepiga simu siku nyingi polisi na ameshaweka gerezani ila kwa vile ni viongozi wa rushwa wote na wapiga zumari utasikia mkaliangalie na hili.
Tanzania ni nchi pekee ambapo viongozi wake hawako serious
 
Hapo tayari Jerry Slaa ameshafeli. Tanzania tuna viongozi na taasisi ambazo hazina msaada kabisa. PCCB (Taasisi ya kuzuia rushwa Tanzania) ishakufa
Angekuwa mwananchi wa kawaida, angekuwa amepiga simu siku nyingi polisi na ameshaweka gerezani ila kwa vile ni viongozi wa rushwa wote na wapiga zumari utasikia mkaliangalie na hili.
Tanzania ni nchi pekee ambapo viongozi wake hawako serious
Jerry Silaa kama waziri ana option nyingi yeye kalipeleka swala kwa wasimamizi wa shughuli za mahakama.

Atujajua nini kitajiri huko kuanza na ‘prophecies of doom’ huko ndio kukatisha watu tamaa.

Waziri ndio anajua moves zake za kisheria anazotumia na viunzi vilivyopo ikishindikana hatua za kufuata hadi kulipeleka kwa pilato mwenyewe (bi-tozo). Anakutana nae kwenye vikao vyao vya baraza la mawaziri na kuweza kumshauri mahakama zimeoza kwa sasa kunaitajika mabadiliko.

So sio sahihi ku-speculate future wakati hatujui plan yote ya waziri kuhakikisha haki inapatakana.
 
Jerry Silaa kama waziri ana option nyingi yeye kalipeleka swala kwa wasimamizi wa shughuli za mahakama.

Atujajua nini kitajiri huko kuanza na ‘prophecies of doom’ huko ndio kukatisha tamaa; yeye ndio anajua moves zake za kisheria hadi kulipeleka kwa pilato mwenyewe (bi-tozo) anakutana nae kwenye vikao vyao vya baraza la mawaziri na kuweza kumshauri mahakama zimeoza kwa sasa kunaitajika mabadiliko.

So sio sahihi ku-speculate future wakati hatuna plan yote ya waziri kuhakikisha haki inapatakana.
tuseme basi, huyo jaji alishawahi kuattast huo mkataba akiwa wakili wa kujitegemea, na sasaivi jalada likaja kwake akaendelea. ni kweli hapo alikuwa na conflict of interest. pia, kama kweli anawaita mawakili wa serikali na kuwatishia, kama kweli wana ushahidi. unafikiri kwa hili tu linatosha kumuundia tume hadi kumuondoa ujaji?
 
Jerry Silaa kama waziri ana option nyingi yeye kalipeleka swala kwa wasimamizi wa shughuli za mahakama.

Atujajua nini kitajiri huko kuanza na ‘prophecies of doom’ huko ndio kukatisha tamaa; yeye ndio anajua moves zake za kisheria hadi kulipeleka kwa pilato mwenyewe (bi-tozo) anakutana nae kwenye vikao vyao vya baraza la mawaziri na kuweza kumshauri mahakama zimeoza kwa sasa kunaitajika mabadiliko.

So sio sahihi ku-speculate future wakati hatuna plan yote ya waziri kuhakikisha haki inapatakana.
Hilo la kupeleka bungeni ni kutafuta sifa na kushindwa mapema.
Kama waziri ana mamlaka makubwa, ushahidi ungekusanywa mapema na tayari huyo jaji na tapeli tayari wangekuwa selo kusubiria kupelekwa mahakamani kusomewa mashitaka.
 
Hilo la kupeleka bungeni ni kutafuta sifa na kushindwa mapema.
Kama waziri ana mamlaka makubwa, ushahidi ungekusanywa mapema na tayari huyo jaji na tapeli tayari wangekuwa selo kusubiria kupelekwa mahakamani kusomewa mashitaka.
manake ameshindwa kwenye evidence na mchakato wa nje, ameona akimbilie bungeni ili mhimili mmoja utuhumu mhimili mwingine. pia, anaharibu kesi sasa manake kama ameshatuhumu na yeye ni waziri, watakaochunguza watakuwa huru kiasi gani?
 
Hilo la kupeleka bungeni ni kutafuta sifa na kushindwa mapema.
Kama waziri ana mamlaka makubwa, ushahidi ungekusanywa mapema na tayari huyo jaji na tapeli tayari wangekuwa selo kusubiria kupelekwa mahakamani kusomewa mashitaka.
Sanasana ameonyesha anaheshimu taratibu za sheria na kufuata due process kuliko kutumia nguvu zake vibaya.

Angeweza kuanza na TAKUKURU wawashughulikie maana evidence zote za kuchezewa kwa mfumo ndani ya wizara na wahusika anazo tayari.

Iła busara ni kufuata legal procedures kwanza (inavyoonekana) kwake kabla ya kuwapa watu criminal cases, ila ndio wanachokitafuta kwake mwenzao anatafuta diplomatic resolution wao wanataka kukuza mambo sioni mwisho mzuri kwa wahalifu.
 
tuseme basi, huyo jaji alishawahi kuattast huo mkataba akiwa wakili wa kujitegemea, na sasaivi jalada likaja kwake akaendelea. ni kweli hapo alikuwa na conflict of interest. pia, kama kweli anawaita mawakili wa serikali na kuwatishia, kama kweli wana ushahidi. unafikiri kwa hili tu linatosha kumuundia tume hadi kumuondoa ujaji?
Issue ni kwamba nyaraka za ardhi mali ya mtu mwingine zimebadilishwa, zimebadilishwa bila ya ridhaa ya mwenyewe hiyo tayari ni fraudulent act.

Jaji kuwa na conflict of interest kwenye kesi na maamuzi yake aliyotoa inapigilia msumari malalamiko ya waziri kuna network ya majangili ya kupora ardhi serikalini, mahakamani na matapeli wa mtaa.
 
Back
Top Bottom