Video: Hayati Magufuli alitupa siri kwanini alipokuwepo hapakuwa na mgao, ni kwanini tunasahau haraka namna hii?

Duu, sorry, sina muda wa kuanza kujadili mambo haya.
🀑 Endelea kuiota tu China ila ni mfupa mgumu ambao hautauweza kamwe watu wajinga kama nyie mnataka kuwa kama China unafikiri ni rahisi si maafa ya kutisha yatatokea.
 
Sawa
Tumepoteza mwanaume wa shoka na mzalendo wa dhati na rais na mtetezi wa wanyonge
 
Kakojoe ukalale, mimi sio level yako.
Tao, Budha, n.k zote ni imani sawa na wewe unaoabudu dini za mashariki ya kati.
Tatizo umekaririshwa kuwa mtu akiabudu nje ya dini hizo ni mpagani.
Ajabu hata hizo dini zako pia zinapingana.
Ukristo na uislamu unapingana.
Ukristo na ukristo unapingana.
Uislamu na uislamu unapingana.
Jifunze kuziishi na kuzielewa imani za wengine.
All in all tunataka kiongozi anaechukua hatua kali kwa wabadhirifu wa mali za umma
 
🀑 Endelea kuiota tu China ila ni mfupa mgumu ambao hautauweza kamwe watu wajinga kama nyie mnataka kuwa kama China unafikiri ni rahisi si maafa ya kutisha yatatokea.

Sawa ewe muerevu, endelea kuota kama hivyo ulivyo, maana unaishi katika ulimwengu wa kujikataa kwamba sisi kamwe hatuwezi kutoka hapa tulipo.
 
Swali mpaka sasa hujajibu au haufahamu chama kinacho ongoza China ?.

Swali

Upo tayari kuongozwa na chama kisicho amini kuhusu Mungu na habari zake ?
 
Sawa ewe muerevu, endelea kuota kama hivyo ulivyo, maana unaishi katika ulimwengu wa kujikataa kwamba sisi kamwe hatuwezi kutoka hapa tulipo.
Ndio hamuwezi kwanza matahira ni wengi sana unataka niseme mnaweza kukufurahisha wewe ?
 
Tulichukulia kama porojo alipokuwa anasema haya. Mwaka huu jenereta zimeuza balaa.
Na wengi wasichozingatia ni kuwa wanawaza zikisemwa jenereta basi ni hizi tunazowasha saluni na kunyolea,

hapana, hizo ni just in case tu, majenereta ni yale yanayowekwa kwenye maghorofa na viwanda ambapo ukinunua moja tu, hivi vidogo vya saluni na kibanda umiza unapata hata 100

Zile ndio wauza majenereta, wana target maana zina mpunga mrefu, na kwa connection walizonazo basi taasisi zinanunua kwao directly kwa bei ya kushangaza
 
Mwamba πŸ™πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…