Sio kweli ndugu.Mungu ni msamehevu sana lakini mpaka huyo mkosaji aone amekosea na kutubu kwake kuwe kwa dhati na hadharani si kama anavyofanya yule mwimbaji wa mipasho.
Acha ujinga!Ona sasa , mshahamia TISS. Kwa nini mnapenda kuchanganya mambo? TISS imekujaje sasa hapa.
Wavurugaji mnayaweza haswa. Na matusi juu
Acha ujinga!
TISS unafikiri ni siri sana kufahamu kuwa TISS wako bize kuhakikisha CCM inashinda kwa njia haramu!
Nimesikiliza hii clip nimeogopa aisee, uchaguzi ndio upelekee matamko kama haya ya kujiona CCM ina nguvu kuliko Mungu?
Viongozi CCM muogopeni Mungu, kutamka maneno kama haya ya kudharau ukuu wake ni hatari kwa CCM na kwa Taifa
Nimesikiliza hii clip nimeogopa aisee, uchaguzi ndio upelekee matamko kama haya ya kujiona CCM ina nguvu kuliko Mungu?
Viongozi CCM muogopeni Mungu, kutamka maneno kama haya ya kudharau ukuu wake ni hatari kwa CCM na kwa Taifa
Kwenye msafara wa MAMBA NA KENGE WAMO. Wajinga hawakosi kwenye misafara ya welevu. AELEMISHWE labda ataelewa!Nimesikiliza hii clip nimeogopa aisee, uchaguzi ndio upelekee matamko kama haya ya kujiona CCM ina nguvu kuliko Mungu?
Viongozi CCM muogopeni Mungu, kutamka maneno kama haya ya kudharau ukuu wake ni hatari kwa CCM na kwa Taifa
Kwanza mimi siyo mwalimu wa lugha ila ninapenda sana lugha.Mkuu embu toa ufanuzi juu ya hiyo kauli.
Nanukuu: " ushindi wa ccm hauna Mungu akipenda. hili mnalijua? Eehe ushindi wa ccm hamna mpaka Mungu apende, aahaa; Mungu akijalia, aahaa; ushindi wa ccm ni nini? ni lazima" mwisho wa kunukuu.
Jurjani mwalimu wa lugha embu njoo nawewe utoe neno. Je Hapa imemaanishwa Mungu apende au asipende jambo lazima lifanikiwe ama lah?
"Ushindi wa CCM ni lazima, hata iweje. Kwa hiyo sio mungu akipenda".Hakusema "Mungu akipenda au asipende" hapo umetia chumvi japo kuwa sisapoti alichosema, ila na wewe sikusapoti kwa kuongeza chumvi kwenye maneno yake.
Nadhani kuna watu ndani ya CCM hata wao wenyewe wamechokana. M/kiti wa CCM anasisitiza kila siku kumtanguliza mungu kwa kila jambo, lakini anao waongoza ndani ya chama kuna ambao kwa bahati mbaya ama ulevi wa madaraka wanadharau uwezo wa mungu. Sasa kwa sarakasi zinazoendelea kwenye kampeni za uchaguzi ukichanganya na kauli kama hizi nani ataamiini kwamba CCM inashinda ki halali?Nimesikiliza hii clip nimeogopa aisee, uchaguzi ndio upelekee matamko kama haya ya kujiona CCM ina nguvu kuliko Mungu?
Viongozi CCM muogopeni Mungu, kutamka maneno kama haya ya kudharau ukuu wake ni hatari kwa CCM na kwa Taifa
Seema usemavyo,,ila Usipende kumtaja Mungu usiyejua utendaji wake,,maana yeye huua na kuhuisha,,analohamua mwanadamu hawezi kuzuiaHapo ni uoga wa 'reaction' ya Jiwe ndo unafanya mpaka mtu anakosa lugha sahihi! [emoji28]
Jiwe anaogopwa na CCM wenzake Kama mfalme Huhi'huhihuhi alivyokuwa anaogopwa na Wagagagigikoko, na wala hawampendi!
WAGAGAGIGIKOKO MMWAGENI HUHIHUHIHUHI BHANA!
[emoji28]
[emoji109] [emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji95]
Usifiche ujinga kwa kutumia hasira au upendo wako Neno Lazima lina maana upende au usipende.Wapi kasema "MUNGU AKIPENDA AU ASIPENDE"...?
Wabaya wa maendeleo ya kweli ya taifa letu mshajulikana.Una jazba kwa sababu ya ujinga na upumbavu wako.
TISS wanapiga kura ? Au wanahebu kura au wanakuwa mawakala? Fala wewe.
Tulia tuwashughulikie
Nishajibu huko juu."Ushindi wa CCM ni lazima, hata iweje. Kwa hiyo sio mungu akipenda".
Kauli hii umeihelewa vipi kiongozi?
Kuna yule Kada lialia wa CCM anayejiita mwanaharakati huru alisema ili uwe mwanaccm mzuri lazima uwe na PhD ya unafiki ndio kama hiyo hapo..
Muulizeni mwanaharakati huru Majura sio mimi....Hayo ya ujinga yapo huko kwenu sasa PhD ya unafiki inasonewa chuo gani