Video: Kutoa nafasi ya mapumziko (ceasefire) ni kuwapa zawadi Hamas. Mapumziko hayatakiwi mpaka zoezi likamilike

Piga wavaa pedoo, piga haooo, pigaaaaaaaaa
 
Tulia dawa iwaingie. Si mlichokoza nyuki wenyewe huku mkiimba alawahkbar
 
Ndege zimeanza kuangushwa we lala tu, mtakuja kuomba wenyewe vita isimamishwe 😄
Ulitegemea Waisraeli wasishambuliwe na kuuwawa! Ile ni vita hata wao wanapoteza ila hamna namna lazima wajitoe mhanga.
Kupambana na magaid sio shughuli ndogo
 
inaumiza sana kwamba wamekufa bila kumpokea Yesu, wameenda motoni moja kwa moja.
[emoji32][emoji32][emoji32] motoni tena mkuu? Sio peponi wapewe wanawake bikra 72 na kuogelea kwenye mito ya pombe (visungura)?
 
[emoji32][emoji32][emoji32] motoni tena mkuu? Sio peponi wapewe wanawake bikra 72 na kuogelea kwenye mito ya pombe (visungura)?
wamekufa bila kumkiri Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozo wa maisha yao, break ya kwanza ni jehanum. Mungu hata hivyo hafurahii kifo cha mwenye dhambi, anawaagiza watu wote waifikilie toba, wabadilike, waokoke, anatuvumilia sana, anatamani tubadilike. Heri wafu wafao katika Bwana.
 
Kwani vita ni kupigana ngumi we unaonyesha kweli chizi, hivi Hamasi angekuwa na Air force kama F15 au F16 Israel hata angesogea hapo mpakani
 
inaumiza sana kwamba wamekufa bila kumpokea Yesu, wameenda motoni moja kwa moja.
Vipi kuhusu wayahudi? Au Wayahudi hawana haja ya kumpokea yesu wao wanaenda moja kwa moja peponi?
 
Achana na vidagaa vilivyowateka wabongo wenzetu kwanza. Kuna hawa wakurungwa washatangulizwa mbele ya hakiView attachment 2798441
Palestinian group Hamas said Tuesday that its fighters had killed an Israeli soldier and destroyed several armored vehicles in the Gaza Strip. “Our fighters engaged in clashes with Israeli forces northwest of Gaza City,” the group's armed wing, the Al-Qassam Brigades, said in a statement.
 
Ona ulivyo kilaza [emoji23][emoji23][emoji23] unaleta habari bila source.story za vijiweni. Anyway vipi umewasiliana na hao magaidi wawaache huru vijana wetu wa kiTanzania?
 
Mama Hillary Clinton nae anasisitiza muda huu hakuna mambo ya cease fire, hii imezoeleka kuwa zawadi kwa Hamas kujipanga upya, Kwa sasa walichokianzisha ni mpaka kimalizike.

View attachment 2798399
Muuaji tu huyo Kikongwe....

Blood thirsty killers, wanatoa kafara kwa kuua Wapalestina wema wa Gaza.
 
Kabisa mkuu, tatizo watu wanasahau kuwa huu mzozo haujaanza October 7 2023 tu kwa shambulio la Hamas kumbe ni mwendelezo tu wa mgogoro wenye miaka 75.
 
Tulia wewe
Uzi wangu mods wamepita nao nyambafu zao ,ulikuwa unadhalilika wiki hii sijui nani aliuripoti wakati nilitumia mbinu ya kupelekea jukwaa la jokes na kuandika kimasihara ili usifutwe.
 
Uzi wangu mods wamepita nao nyambafu zao ,ulikuwa unadhalilika wiki hii sijui nani aliuripoti wakati nilitumia mbinu ya kupelekea jukwaa la jokes na kuandika kimasihara ili usifutwe.
Am back. Ila adriz Leo kwa mbali nimeanza kuwatetea wapalestina kwasababu nilibaguliwa supermarket. Nikajisikia vibaya.

Nimerudi ghetto mchovu. Nalala kesho nikiamka nitaleta uzi.
 
Am back. Ila adriz Leo kwa mbali nimeanza kuwatetea wapalestina kwasababu nilibaguliwa supermarket. Nikajisikia vibaya.

Nimerudi ghetto mchovu. Nalala kesho nikiamka nitaleta uzi.
😂🤣🤣🤣🙌😆☝️ usisahau kunitag.

Halafu umefunga profile lako maana siwezi kutafuta nyuzi zako ,maana nausaka ule uzi wako wa Waafrika wapo tayari kusapoti Israel noisome tena maana unachekesha sana haswa zile comments za kushambuliwa.

Niwekee link au nitag niupitie tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…