Uchaguzi 2020 Video: Lissu amtaka Rais Magufuli arudishe ardhi aliyopora pale Kihanga Karagwe

Ndio ilani ya Chadema hiyo? Duh.
Ndiyo!! Wizi wa namna yoyote ile ni marufuku,kwenye ilani ya chadema kuna kipengele kinachozungumzia haki,maadili,ulinzi wa raia na mali zao,ulinzi wa rasilimali nk, na kama unavyojua CCM ndiyo wezi namba moja wa mali za umma, viwanja vyote vya michezo vilivyojengwa na serikali ccm imevipora na kuvifanya mali yao,waondoke tu wakora hawa!!
 
Haya, umeridhika?
 
Hizo ni propaganda ambazo hazina keep kichwa wala miguu.
Magufuli ndiyo Rais et aridhi ilikuwa ya Lunch halafu Rais Magufuli arudishe aridhi
Hahaha hahahah hii mbwa hii
 
Sawa! Jiandae ndugu yangu. Ukiwa Upinzani huku Lissu ndo Raisi wa Jamhuri ya muungano Tanzania huwezi kuteswa
Wewe jamaa nakumbuka umeweka ahadi Lissu asipokuwa Rais utakuwa tayari kufunuliwa marinda hazarani, naomba baada ya tarehe 28/10/2020 uwe tayari kutekeleza ahadi hiyo.

Tena mimi mwenyewe nitakufunua marinda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…