Mtanyooka mwaka huu! Hapa anasisitiza haki ya wananchi kumiliki ardhi! Rais fisadi eti naye anashutumu wenzake? Hiyo mahakama aliyoanzisha itamhusu! Nantombe nokho nashik'aha!Ndio ilani ya Chadema hiyo? Duh.
Subiri uone Mungu anavyowaaibisha mwaka huuSimkebehi ndio ukweli huo.
Ndiyo!! Wizi wa namna yoyote ile ni marufuku,kwenye ilani ya chadema kuna kipengele kinachozungumzia haki,maadili,ulinzi wa raia na mali zao,ulinzi wa rasilimali nk, na kama unavyojua CCM ndiyo wezi namba moja wa mali za umma, viwanja vyote vya michezo vilivyojengwa na serikali ccm imevipora na kuvifanya mali yao,waondoke tu wakora hawa!!Ndio ilani ya Chadema hiyo? Duh.
Supana malaya hizoPiga spana mpaka anyooke!
No wonder alikuwa ameziba watu midomo!
Ni ilani ya ccmNdio ilani ya Chadema hiyo? Duh.
Haya, sawa.Ni ilani ya ccm
Kwa hiyo?Bora kigulu kuliko kichaa. Magufuli alipokuwa singida aliwahi kutuambia watanzania kuwa yeye ni kichaa.
Haya, umeridhika?Ndiyo!! Wizi wa namna yoyote ile ni marufuku,kwenye ilani ya chadema kuna kipengele kinachozungumzia haki,maadili,ulinzi wa raia na mali zao,ulinzi wa rasilimali nk, na kama unavyojua CCM ndiyo wezi namba moja wa mali za umma, viwanja vyote vya michezo vilivyojengwa na serikali ccm imevipora na kuvifanya mali yao,waondoke tu wakora hawa!!
Sawa, nasubiri.Subiri uone Mungu anavyowaaibisha mwaka huu
Sawa! Jiandae ndugu yangu. Ukiwa Upinzani huku Lissu ndo Raisi wa Jamhuri ya muungano Tanzania huwezi kuteswaSawa, nasubiri.
Hao wanaoshutumiwa waende Mahakamani sasaLissu akichukua nchi mtajuta. Huyu anatafuta upigaji akipata urais. Anasingizia wenzie bila ushahidi au vielelezo bayana. Hafai hata kwa mchuzi.
Hamna tabu.Sawa! Jiandae ndugu yangu. Ukiwa Upinzani huku Lissu ndo Raisi wa Jamhuri ya muungano Tanzania huwezi kuteswa
Hayo ya Chadema yaleteni nyie ili kubalance mzaniNgoja watoke ufipa na matusi yao. Ilani ya CHAMA hawagusi wametia mfukoni wanatembea na akili ya mtu mmoja na sio ilani ya chama
Hizo ni propaganda ambazo hazina keep kichwa wala miguu.Mbona unaunga mkono wizi wa Magufuli? Mara tu Magufuli akiondoka madarakani utasikia mengi ya hovyo. Haijalishi rais ni CCM mwenzie. Kila kinacholipwa saivi wao tu na Doto James ambaye ni Mpwa wake ndiyo wenye kuidhinisha. Umejiuliza kwanini?
Magufuli anafanya mazuri kiasi ila ni jambazi mkubwa sana wa kalamu. Atakuja kukiona muda si muda. Yeye na watu wake wa karibu watajuta ni kwanini hata kawa Rais. Maisha yake ya kustaafu yatajawa na simanzi.
uzuri hawezi kumsimika Urais amtakaye kwa sababu hajui siasa na wana CCM wanamuwinda kuhakikisha nchi haiangukii mikononi mwa mteule wake.
Wewe jamaa nakumbuka umeweka ahadi Lissu asipokuwa Rais utakuwa tayari kufunuliwa marinda hazarani, naomba baada ya tarehe 28/10/2020 uwe tayari kutekeleza ahadi hiyo.Sawa! Jiandae ndugu yangu. Ukiwa Upinzani huku Lissu ndo Raisi wa Jamhuri ya muungano Tanzania huwezi kuteswa
Kuwaumbua mafisadi kama Magufuli ni mojawapo ya wajibu wa CHADEMANdio ilani ya Chadema hiyo? Duh.
Haya, sawa.Kuwaumbua mafisadi kama Magufuli ni mojawapo ya wajibu wa CHADEMA
Yes Mungu atanijibu kwa Magufuli kuendelea kuwa Rais wa JMTMungu atakujibu hapo October 28 Kwa iyo kebehi yako