mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Tunarudisha zote serikaliniKuna ubaya gani yeye kuhodhi ekari hizo wakati waliomtangulia wana mahekari kibao kuliko hizo 25,000 ?
Cha muhimu TL angeongelea Katiba mpya ili kukata mzizi wa fitina
Yajue haya:Ndio ilani ya Chadema hiyo? Duh.
Nani hawavuti wapiga kura?...
**Kumbuka kuwa umuhimu ni kuwavuta wapiga kura!
Jiwe ni mwizi ,kala trilioni 1.5 ,kapora ardhi huko Karagwe ,huyu jamaa hatufai kabisa watanzania
Na ukimaliza kuvuta bangi unashushia maji makubwa ya Kilimanjaro then unarudisha ardhi ya wanyonge uliyojinyakulia.chadema bana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] , sipati picha mbinguni watakavosumbua, kwann Mungu alianza kuumba ardhi, mwanga, maji badala ya matunda na bata., ukitaka waelewa hawa jamaa lazima uvute bangi kwanza
Siasa bhana, kwaiyo Sumaye alivyokua kiongozi wa Chadema hawakujua ameiba ardhi??Lissu akihutubia wananchi wa Manispaa ya Bukoba amedai Rais Magufuli amepora kiasi cha hekari elfu 25 maeneo ya Kihanga wilayani Karagwe mkoani Kagera.
Magufuli tunaomba ujitokeze ujibu hoja hii. Naomba Magufuli nikukumbushe hilo eneo ni pale Kihanga wanapouzia maziwa, na siku hizi kuna ulinzi mkali sana kiasi kwamba hakuna mtu anaruhusiwa kusimama maeneo hayo.
Na kumbuka ulipokuwa Bukoba ulisema ukistaafu utaishi mkoani Kagera.
Mheshimiwa njoo huku ujibu.
Asante
View attachment 1578414
Maajabu kweliNdio ilani ya Chadema hiyo? Duh.
Rais mwiziLissu akihutubia wananchi wa Manispaa ya Bukoba amedai Rais Magufuli amepora kiasi cha hekari elfu 25 maeneo ya Kihanga wilayani Karagwe mkoani Kagera.
Magufuli tunaomba ujitokeze ujibu hoja hii. Naomba Magufuli nikukumbushe hilo eneo ni pale Kihanga wanapouzia maziwa, na siku hizi kuna ulinzi mkali sana kiasi kwamba hakuna mtu anaruhusiwa kusimama maeneo hayo.
Na kumbuka ulipokuwa Bukoba ulisema ukistaafu utaishi mkoani Kagera.
Mheshimiwa njoo huku ujibu.
Asante
View attachment 1578414
Magufuli alimunyanganya,amemrudishia baada ya kurudi kwenye kichaka cha weziSiasa bhana, kwaiyo Sumaye alivyokua kiongozi wa Chadema hawakujua ameiba ardhi??
Tunahitji majibu ya hizi tuhuma kutoka kwa Rais magufuli ni tuhuma nzito sana.Ndio ilani ya Chadema hiyo? Duh.
Mkuu ni kweli Rais magufui ni fisadi wa ardhi?? Hizi tuhuma ni nzito sana kwa Mtu anayejipambanua kama mpiganajiAlisikika Kilaza mmoja Akiota Mchana
Mzee jarubu kujibu hoja hizi ndio kampeni zenyewe acha kutukana kama mlevi.Basi Vibendera Mnaona Hoja na Kashinda tayari
hahahaa Kweli Tanzania Kuna Baadhi ya Vijana wapuuzi Kupindukia
huyo akipata 20% Mumpatie na Faru john Ashushie maaana utakuwa Ushindi kwake
Kuna ranchi amejimilikisha hko kwao. Lisu seemed hilo.Piga spana kamanda.
No wonder alikuwa ameziba watu midomo!
Ok.Tunahitji mahibu ya hizi tuhuma kutoka kwa Rais magufuli ni tuhuma nzito sana.
Na ukimaliza kuvuta bangi unashushia maji makubwa ya Kilimanjaro then unarudisha ardhi ya wanyonge uliyojinyakulia.
Na ukimaliza kuvuta bangi unashushia maji makubwa ya Kilimanjaro then unarudisha ardhi ya wanyonge uliyojinyakulia.
Maelezo ya nini wkt ameenda kununulia bidhaa hizi adhimu za CCM.?na akisharudisha b8 akatoe maelezo
View attachment 1578764
Maelezo ya nini wkt ameenda kununulia bidhaa hizi adhimu za CCM.?View attachment 1578765