Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
DuhSioni mtu wa kuandamana,watanzania sio wajinga ambao wanaweza pelekwa na vibaraka wa wazungu ili kuvuruga amani na mstakabali wa taifa letu.Mwenyeki wangu makonda huhitaji kuwa na hofu juu ya hawa watu .
Daaah... Huku ni kumdhalilisha Tundu Lissu. Yaani kweli akakae aongee na makonda?Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Paul Makonda amependekeza kufanyike mdahalo wa wazi kati yake na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ili Watanzania wachague ikiwa wataendelea na maandamano au kuchagua maridhiano.
Credit : Swahili Times
Mbona kama unatokwa na povu? Huyo ni member mwenzako usimjengee chuki sababu anajua lugha zaidi ya moja.Andika kiswahili Acha ushamba nyani wa kizayuni
Hana uwezo wa kufanya mdaharo na mtu yoyote hapa Tanzania labda Chawa wa Mama akina Lucas mwashambwa . Huyo hata mimi haniwezi isije kuwa Lissu?Hahahaha....ila hii nchi full of dramas ...nabisha sana huyu Bashite dakika moja tuu kwenye mdahalo na Mh Lissu atakuwa ameshapigwa K.O
Ukitaka kufahamu kiongozi mpumbavu ni kusikiliza kauli zake.Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Paul Makonda amependekeza kufanyike mdahalo wa wazi kati yake na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ili Watanzania wachague ikiwa wataendelea na maandamano au kuchagua maridhiano.
Credit : Swahili Times
Vidume watoto wa Hamas hapa dunianiSioni mtu wa kuandamana,watanzania sio wajinga ambao wanaweza pelekwa na vibaraka wa wazungu ili kuvuruga amani na mstakabali wa taifa letu.Mwenyeki wangu makonda huhitaji kuwa na hofu juu ya hawa watu .
Ccm imegeuka kituko cha dunia, kwamba mtu sahii wa kujibu hoja ngum ambazo wametoa chadema pitia mwenyekiti wao ni uyu Makonda hii chama imekufa kifo kibaya sanaKatibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Paul Makonda amependekeza kufanyike mdahalo wa wazi kati yake na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ili Watanzania wachague ikiwa wataendelea na maandamano au kuchagua maridhiano.
Credit : Swahili Times
Jamukaya ghete 😁Naandika vyovyote navyotaka!
Nilekage. Ize nagutule ubhebhe.
Hahahaaa……umenikumbusha bidhaa za vinywaji baridi kanda ya ziwa.Jamukaya ghete 😁
Mwambie aache ushamba, lugha yetu ni adhwim hizi kasumba za kikoloni kwamba kwasababu muingereza alitutawala basi yeye ni bora zaidi na kwamba lugha yake ni bora zaidi na kujua ni kujua lugha zaidi ya moja kwa ufahari, yupo mmakonde anejua kireno, kizulu na kimatumbi humuMbona kama unatokwa na povu? Huyo ni member mwenzako usimjengee chuki sababu anajua lugha zaidi ya moja.
Aah kumbe muha! Basi sishangai kujimwambafai kwako na lugha ya Mkoloni aliyepora mali zetu kisha akambambika CCM madaraka atudhulumuNaandika vyovyote navyotaka!
Nilekage. Ize nagutule ubhebhe.
Ticha ya primary ikiropoka uharoSioni mtu wa kuandamana,watanzania sio wajinga ambao wanaweza pelekwa na vibaraka wa wazungu ili kuvuruga amani na mstakabali wa taifa letu.Mwenyeki wangu makonda huhitaji kuwa na hofu juu ya hawa watu .
Siyo kwamba atachemka na kutokana na maswali na majibu ya Lissu anaweza kuita askali wakampumzishe lokapu Lissu? 😂.Hahahaha....ila hii nchi full of dramas ...nabisha sana huyu Bashite dakika moja tuu kwenye mdahalo na Mh Lissu atakuwa ameshapigwa K.O
Mdahalo na muhalifu ni kumpa sifa asiyostahili.Kubali basi mdahalo unaogopa nini?
Aliyetuletea huyu kiumbe kwenye nafasi muhimu kama hiyo ametukosea sana makada wakongweCcm imegeuka kituko cha dunia, kwamba mtu sahii wa kujibu hoja ngum ambazo wametoa chadema pitia mwenyekiti wao ni uyu Makonda hii chama imekufa kifo kibaya sana