Pre GE2025 Video: Makonda ataka mdahalo na Tundu Lissu

Pre GE2025 Video: Makonda ataka mdahalo na Tundu Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kabla ya mdahalo hajajibu kuhusu shutuma yake ya kushiriki kutaka kumuua Lissu na pia hajajibu tuhuma za kuvamia kituo cha habari. Akiweza kujibu haya sawa. Wamarekani wamemtaja kwa tuhuma za kunyima uhuru wa kuishi ina maana alishiriki kuua watu.
 
Makonda aache kulazimisha sifa! Uwezo wa kufanya mdahalo wa aina yoyote ile na mtu kama Tundu Lissu, John Mnyika, nk. hana!
Asisahau kichwa kimoja cha Tundu Lissu ni sawa na vichwa laki 1 vya makada wa ccm vikiunganishwa kwa pamoja! Na akumbuke huyo Tundu Lissu hajatumia jina la mtu mwingine kama alivyofanya yeye Bashite, kufika hapo alipo.
kwani ww ndie lissu au?
 
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Paul Makonda amependekeza kufanyike mdahalo wa wazi kati yake na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ili Watanzania wachague ikiwa wataendelea na maandamano au kuchagua maridhiano.


Credit : Swahili Times
Yeye mbowe kaitisha maandamano.
Wewe bashite itisha mdahalo kwani umezuiwa?
Elewa kurudishwa kwako ni njama mkakati baada ya maridhiano kukwamishwa na Samia na chama chake.
 
Makonda aache kulazimisha sifa! Uwezo wa kufanya mdahalo wa aina yoyote ile na mtu kama Tundu Lissu, John Mnyika, nk. hana!
Asisahau kichwa kimoja cha Tundu Lissu ni sawa na vichwa laki 1 vya makada wa ccm vikiunganishwa kwa pamoja! Na akumbuke huyo Tundu Lissu hajatumia jina la mtu mwingine kama alivyofanya yeye Bashite, kufika hapo alipo.
Sasa si mwambieni Mbowe na Lissu wenu wakubali huo mdahalo huo,ili mbivu na mbichi zijulikane?Makonda katoka hadharani kuwataka viongozi wote wa chadema wajikusanye na wawalete waandishi wa habari watakao wataka wao,yeye atakuwa peke yake ili Watanganyika tuujue ukweli, Chadema mnaanza drama,Wambieni viongozi wajitokeze mbele ya Makonda sio kuongelea chooni.Mwamba kaisha wapa nafasi ya kuwajibu maswali yenu na mkoshindwa kujitokeza,tuwaone humu mkifungua tired za kumuusu Makonda.
 
Wapenda Maendeleo wote furahieni kurejea kwa midahalo ya Wanasiasa ambayo kwa Muda mrefu CCM wamekuwa wakiwaogopa Chadema

Balile na Maena badala ya kuandika Vitabu Vya kuwananga Viongozi marehemu ni bora sasa mkatumia fursa Hii ya Makonda Kuendesha Midahalo Viongozi wakiwa HAI ili waweze kujitetea

Mlale Unono 😄
 
Wapenda Maendeleo wote furahieni kurejea kwa midahalo ya Wanasiasa ambayo kwa Muda mrefu CCM wamekuwa wakiwaogopa Chadema

Balile na Maena badala ya kuandika Vitabu Vya kuwananga Viongozi marehemu ni bora sasa mkatumia fursa Hii ya Makonda Kuendesha Midahalo Viongozi wakiwa HAI ili waweze kujitetea

Mlale Unono 😄
Tukianza ksenye jina lake atarusha ngumiii.....hasezi mdahalo na TL....labda aje Muse ya Meno....huyu mwepesiii Sanaa
 
CCM Kamwe Hawawezi Kukubali Hii Maana Ni Kaa La Moto Pia Endapo Mwongoza Mdahalo Akawa Dastan Tido Mhando Haa Akapiga Kwenye Mshono Ujue Serikali Za Mitaa Hawapati Kiongozi
 
Comred Paul Makonda tengeneza mtandao wa Fursa za Vijana kupata Ajira,Elimu bure kwenye vyuo vikuu na namna iliyo rahisi kwa Wafanyabiashara na wataalamu Nchini kupata mikopo kwa riba nafuu ili wafungue viwanda kwa kuwa by May 2024 tutakuwa na Umeme wa kutosha.
 
Chadema bhana 😂 ccm wakitaka mdahalo nyie mnadai hamtaki mdahalo mana hawezi kujibu hoja zenu yn mtadhani tayari mlishawahi kufanya mdahalo nae
 
Chadema bhana 😂 ccm wakitaka mdahalo nyie mnadai hamtaki mdahalo mana hawezi kujibu hoja zenu yn mtadhani tayari mlishawahi kufanya mdahalo nae
Hopless kama makonda hana hadhi ya kufanya mdahalo na mwamba mbowe,
 
Back
Top Bottom