DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Tangu nimeangalia Post ya kwanza mpaka ya #82.
Kuna vitu Nimegundua Ndugu zangu CCM, Tumekuwa watu wa kukosa kutetea Hoja zaidi ya kutukana au kulejeli na hii sio Nzuri sana..
Tujifunze kujenga hoja au kupinga hoja inapostahili..
Kama AHADI za Chama zinavyotutaka..
Shukrani
Kuna vitu Nimegundua Ndugu zangu CCM, Tumekuwa watu wa kukosa kutetea Hoja zaidi ya kutukana au kulejeli na hii sio Nzuri sana..
Tujifunze kujenga hoja au kupinga hoja inapostahili..
Kama AHADI za Chama zinavyotutaka..
Shukrani