Pre GE2025 Video: Makonda ataka mdahalo na Tundu Lissu

Pre GE2025 Video: Makonda ataka mdahalo na Tundu Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Paul Makonda amependekeza kufanyike mdahalo wa wazi kati yake na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ili Watanzania wachague ikiwa wataendelea na maandamano au kuchagua maridhiano.


Credit : Swahili Times
Huyu "uwezo mdogo" anajua nini??
 
Paul Daudi Albert Bashite almaarufu Makonda, Aje tufanye mdahalo kwenye jukwaa la Mikeka jinsi Barcelona anavyokufa leo!...

Pengine hapa kidogo! Anaweza kujitahidi kubashiri!.... Lakini mdahalo na lissu hata wakufunzi wake tu Udsm... Wanalihanya hilo lidude la kuitwa lissu

kufanya mdahalo na lissu... Ni kumkosea lissu heshma... Sawa na makonda kutaka kulala wanapolala baba zake!
 
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Paul Makonda amependekeza kufanyike mdahalo wa wazi kati yake na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ili Watanzania wachague ikiwa wataendelea na maandamano au kuchagua maridhiano.


Credit : Swahili Times
Nakubaliana na utafiti uliyowai kufanywa kwamba kati ya watz idadi fulani mmoja anaugonjwa akili, nisaidie watz huyo ni nan hapa tz?
 
Sasa huyu mwenye makalio makubwa kama ng'ombe wa maziwa ataongea nini mbele ya Lisu 🤔🤔 tunachotaka wenye nchi ni kuona bei za bidhaa muhimu zote zinashuka sio huo upumbavu wanaoita maridhiano, kwanza wanaridhiana nini na nani ili iweje 🤔🤔
 
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Paul Makonda amependekeza kufanyike mdahalo wa wazi kati yake na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ili Watanzania wachague ikiwa wataendelea na maandamano au kuchagua maridhiano.


Credit : Swahili Times
Aiseee!!! Yule alikuwa anamufuatilia na gari nyeupe siku zile!!!
 
Kwanza Makonda akafanye mdahalo na Balozi wa US kuhusu zuio la kutokwenda kwa yeye US au nchi washirika zake.
Tunajua yeye ni Bashite, na kuna usemi tulifundishwa kuhusu watu sina ya Bashite (fools) usemao;
NEVER ARGUE WITH A FOOL PEOPLE MIGHT NOT NOTICE THE DIFFERENCE.
Sasa anataka wenye akili waingie kwenye huo mtego?
Fools should stay with fools in their Chama cha Mambuzi.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Paul Daudi Albert Bashite almaarufu Makonda, Aje tufanye mdahalo kwenye jukwaa la Mikeka jinsi Barcelona anavyokufa leo!...

Pengine hapa kidogo! Anaweza kujitahidi kubashiri!.... Lakini mdahalo na lissu hata wakufunzi wake tu Udsm... Wanalihanya hilo lidude la kuitwa lissu

kufanya mdahalo na lissu... Ni kumkosea lissu heshma... Sawa na makonda kutaka kulala wanapolala baba zake!
Sasa makelele ya nini! mwambieni Mbowe na Lisu wenu wajitokeze mbele ya Makonda kwenye mdahalo, mambo ya eshima peleka kwa mumeo,kama mnamwogopa semeni, Sio kubwekabweka kama mbwa koko.
 
Ina maana Makonda hajui kwamba maridhiano yalishakufa, ndio maana yeye akawekwa hapo ili kumrahisishia njia yule aliyemweka aliyeshindwa kufanya kulingana na maridhiano?

Samia ndie anayetakiwa kuitisha mdahalo na viongozi wa Chadema, sio Makonda, yeye amepewa cheo juzi tu, hajui A wala B kuhusu maridhiano.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Labda huelewi maana ya Reconciliation.

Falsafa hiyo ya mama Samia itakufaje? Ni ama wewe unayataka maridhiano ama huyataki lakini falsafa iko palepale na ndiyo inatuongoza Watanzania kwa sasa.
 
Hahahaha....ila hii nchi full of dramas ...nabisha sana huyu Bashite dakika moja tuu kwenye mdahalo na Mh Lissu atakuwa ameshapigwa K.O
Thubutu, wewe unamuona Lissu wa maana sana kwa ile fokafoka yake ya kiuchungaji?

Yule anajuwa wajinga ndiyo waliwao, lakini hawezi kusimama kwenye mdahalo akajieleza bila kutukana, hata nyerere alishamtukana bungeni.
 
..Mbowe ameshaeleza sababu za kuandamana.

..Makonda aeleze kwanini kusiwe na maandamano.

..Wananchi tutapima yupi ana hoja.
 
Labda huelewi maana ya Reconciliation.

Falsafa hiyo ya mama Samia itakufaje? Ni ama wewe unayataka maridhiano ama huyataki lakini falsafa iko palepale na ndiyo inatuongoza Watanzania kwa sasa.

..Samia angekuwa mkweli kuhusu reconciliation angeunda Tume ya Haki, Ukweli, na Maridhiano, ili wote waliokosewa wakasikilizwe.

..Pia kitendo cha Samia kutowaondoa ktk nafasi zao wote waliohusika na matendo ya kikatili, na kuwapandisha vyeo wengine kama CP Kingai, ni uthibitisho kwamba hakuwa na nia njema na maridhiano.
 
Back
Top Bottom