Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
kwani ww ndie lissu au?Makonda aache kulazimisha sifa! Uwezo wa kufanya mdahalo wa aina yoyote ile na mtu kama Tundu Lissu, John Mnyika, nk. hana!
Asisahau kichwa kimoja cha Tundu Lissu ni sawa na vichwa laki 1 vya makada wa ccm vikiunganishwa kwa pamoja! Na akumbuke huyo Tundu Lissu hajatumia jina la mtu mwingine kama alivyofanya yeye Bashite, kufika hapo alipo.
Alipewa hicho cheo Ili ajibizane na cdm, kwa bahati mbaya cdm wamempuuza maana ni muhalifu, Sasa analazimisha kufanya midahalo na cdm Ili awe relevant.mimi sio mshabiki wa Makonda wala Lissu, kifupi wote tu siwakubali.
Ila najiuliza, Makonda anataka mdahalo na Lissu kuhusu nini?
Yeye mbowe kaitisha maandamano.Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Paul Makonda amependekeza kufanyike mdahalo wa wazi kati yake na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ili Watanzania wachague ikiwa wataendelea na maandamano au kuchagua maridhiano.
Credit : Swahili Times
Sasa si mwambieni Mbowe na Lissu wenu wakubali huo mdahalo huo,ili mbivu na mbichi zijulikane?Makonda katoka hadharani kuwataka viongozi wote wa chadema wajikusanye na wawalete waandishi wa habari watakao wataka wao,yeye atakuwa peke yake ili Watanganyika tuujue ukweli, Chadema mnaanza drama,Wambieni viongozi wajitokeze mbele ya Makonda sio kuongelea chooni.Mwamba kaisha wapa nafasi ya kuwajibu maswali yenu na mkoshindwa kujitokeza,tuwaone humu mkifungua tired za kumuusu Makonda.Makonda aache kulazimisha sifa! Uwezo wa kufanya mdahalo wa aina yoyote ile na mtu kama Tundu Lissu, John Mnyika, nk. hana!
Asisahau kichwa kimoja cha Tundu Lissu ni sawa na vichwa laki 1 vya makada wa ccm vikiunganishwa kwa pamoja! Na akumbuke huyo Tundu Lissu hajatumia jina la mtu mwingine kama alivyofanya yeye Bashite, kufika hapo alipo.
Lisu yeye ni nani? Unadhani siasa ni kuorodhesha vifungu vya sheria!Daaah... Huku ni kumdhalilisha Tundu Lissu. Yaani kweli akakae aongee na makonda?
Hivi anaitwa Makonda au Bashite ?
Boniyai πHivi anaitwa Makonda au Bashite ?
Tukianza ksenye jina lake atarusha ngumiii.....hasezi mdahalo na TL....labda aje Muse ya Meno....huyu mwepesiii SanaaWapenda Maendeleo wote furahieni kurejea kwa midahalo ya Wanasiasa ambayo kwa Muda mrefu CCM wamekuwa wakiwaogopa Chadema
Balile na Maena badala ya kuandika Vitabu Vya kuwananga Viongozi marehemu ni bora sasa mkatumia fursa Hii ya Makonda Kuendesha Midahalo Viongozi wakiwa HAI ili waweze kujitetea
Mlale Unono π
Hopless kama makonda hana hadhi ya kufanya mdahalo na mwamba mbowe,Chadema bhana π ccm wakitaka mdahalo nyie mnadai hamtaki mdahalo mana hawezi kujibu hoja zenu yn mtadhani tayari mlishawahi kufanya mdahalo nae
Mnataka naniHopless kama makonda hana hadhi ya kufanya mdahalo na mwamba mbowe,
Makonda anahoja ππππMAKONDA ATAWAGARAGAZA VIBAYA SANA KWA HOJA
HAWA VICHWA TENGA