Mbweha mavi yako.Thubutu, wewe unamuona Lissu wa maana sana kwa ile fokafoka yake ya kiuchungaji?
Yule anajuwa wajinga ndiyo waliwao, lakini hawezi kusimama kwenye mdahalo akajieleza bila kutukana, hata nyerere alishamtukana bungeni.
Maandamano sio vurugu.Sioni mtu wa kuandamana,watanzania sio wajinga ambao wanaweza pelekwa na vibaraka wa wazungu ili kuvuruga amani na mstakabali wa taifa letu.Mwenyeki wangu makonda huhitaji kuwa na hofu juu ya hawa watu .
Enzi za shujaa hakukuwa na nidahalo?Kwa chama chetu uwezo wa kufanya mdahalo na wapinzani uliishia kwa the late Benjamin Wiliam Mkapa, kwingine tuliambiwa kiongozi hapimwi na midahalo
Daaah... Huku ni kumdhalilisha Tundu Lissu. Yaani kweli akakae aongee na makonda?
Ili Lissu ajue anaongea na mtu sahihi atataka ajue ni nani ni Bashite au Makonda, hapo huyu anayejiita Makonda atakasirika kwa kushindwa kutoa uhalali wa hilo jina.Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Paul Makonda amependekeza kufanyike mdahalo wa wazi kati yake na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ili Watanzania wachague ikiwa wataendelea na maandamano au kuchagua maridhiano.
Credit : Swahili Times
kazi kazi baba kama ambavyo unashupaza shingo kumtetea puppet 🤣🐒Puppet ni wewe. Kazi propaganda tu.
Alipàta alama zipi kidato cha nne?Ili Lissu ajue anaongea na mtu sahihi atataka ajue ni nani ni Bashite au Makonda, hapo huyu anayejiita Makonda atakasirika kwa kushindwa kutoa uhalali wa hilo jina.
Tatizo ni kuwa hata akili ya kujua kuwa hana akili hana.Tatizo la Makonda Ni wale wanaomwaminisha kuwa anaweza..
Lakini kumsikiliza Makonda Ni kuvuna medali bila jasho
Amewaita waende sasaMdahalo.
Sidhani kama Mh. Makonda ni sahihi kukutana na cream ya CDM, naona siyo size yake, ana lots of discrepancies itakuwa aibu na siyo rahisi kutoa maelezo ya kuzi clear kwa umma zikaeleweka.
Hata yeye mwenyewe hajui.Alipàta alama zipi kidato cha nne?
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Paul Makonda amependekeza kufanyike mdahalo wa wazi kati yake na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ili Watanzania wachague ikiwa wataendelea na maandamano au kuchagua maridhiano.
Credit : Swahili Times
Wawaambie akina nani! Mimi siyo Chadema kama unavyotaka kulazimisha. Nimetoa mtazamo wangu tu kuhusu huyo Bashite wenu dhidi ya mtu kama Lissu, Mnyika, nk.Sasa si mwambieni Mbowe na Lissu wenu wakubali huo mdahalo huo,ili mbivu na mbichi zijulikane?Makonda katoka hadharani kuwataka viongozi wote wa chadema wajikusanye na wawalete waandishi wa habari watakao wataka wao,yeye atakuwa peke yake ili Watanganyika tuujue ukweli, Chadema mnaanza drama,Wambieni viongozi wajitokeze mbele ya Makonda sio kuongelea chooni.Mwamba kaisha wapa nafasi ya kuwajibu maswali yenu na mkoshindwa kujitokeza,tuwaone humu mkifungua tired za kumuusu Makonda.