Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha ndio hivyodah huruma imeniingia juu ya makonda. Watu wameanza kumgeuka mmoja mmoja, ipo siku hata wale wenye magari yao watamdai.
Msoga babySio kidole tu bali wameshachukua nyumba yao aliyotaka kuwatapeli kwa mgongo wa JPM na ni wazi bashite hana cha kuwafanya.
GSM ni vijana wa msoga hawakosi back up ya riz ambaye ni naibu waziri wa ardhi na makazi.
Wee ni chawa wa GSM?Ni Ghalib sio "Gharib" na sio Msomali huyo, kama hujui ni heri ukae kimya tu. Huyo ni Mmahara na Mdigo wa Tanga.
Wanadaiana waachwe wadaiane kwa raha zao.
Makonda inaonesha alitumiwa na GSM kama ile mipira, kazi yake imekwisha sasa hana faida tena atupwe tu.
Siku za mwizi 40, kama Ghalib nae kuna dhulma aliifanya basi malipo ni hapa hapa duniani.
Ungejua nafasi aliyonayo bashite huko serikalini sasa hivi.........
Nimegundua wengi vingi hamjui, ndio maana nilisema kubenea anapoteza muda
Amehamia? Chadema hata ukivurunda unalindwa tu, walioiba bilioni 500 za Sabodo wapo, waliokopeshana gari kwa Hela za chama wapo, na hakuna hatua imechukuliwaHuyo alikua gamba mwenzio
Na wana hasira naye kwelikweli, walikuwa wanafikiria pakuanziaBashite amepiga sn pesa kwa GSM
Kauli ya kinafiki ya rafiki anayejifanys mwana kumbe hater!
Huna hata huruma juu ya Makonda umeongea kinafiki. Hurumia wazazi wako na ndugu zako.
Amehamia? Chadema hata ukivurunda unalindwa tu, walioiba bilioni 500 za Sabodo wapo, waliokopeshana gari kwa Hela za chama wapo, na hakuna hatua imechukuliwa
Lakini maajabu tajiri wewe hujafa bado uko hai [emoji1]Ukienda TAKUKURU Upanga kuna watanzania wenye asili ya India kama watano walileta malalamiko pamoja na kadi za gari... Kuna mmoja alichukuliwa new model v8 ya mwaka 2016 na bei yake mpaka leo ipo juu sana hiyo gari..
Hawa walikuwa wanalindwa na mfumo ulivyokuwa wa nchi...
Kwani watu hawakusikia msemo huu ' KWENYE UONGOZI WANGU TAJIRI ANAFANYWA CHOCHOTE ' na watu wakapiga makofi..
Bora hawa wakina GSM wamesalimika na roho zao.... Matajiri wengi walifariki wa pressure kitokana na kuambiwa inahitajika hii.. Account yako inatakiwa ikatwe hela hii.....
Hujakaa sawa unafuatwa mheshimiwa amenituma kwako kuchukua hiki... Nk
[emoji1787]Hajauliza kazi yako bali kasema fanyeni kazi acheni umbea kwahiyo fanya kazi yako hiyohiyo ya lindo bila kupumzika uingeze kipati zaidi au uolewe nayo ni kazi siyo umbea,kazi ziko nyinymgi!!
Mmbea wewe!!
Muthafucn Gangsta shiyt 😅Back then it was the UNITED REPUBLIC OF GANGSTERS which followed the ruling types known as THUGOCRACY and KAKOCRACY .
Taraatiibu ndio tunakoelekea hukodah huruma imeniingia juu ya makonda. Watu wameanza kumgeuka mmoja mmoja, ipo siku hata wale wenye magari yao watamdai.
Roma mkatoriki njooo...mpaka ule msambwanda. UisheMwaka 2019 aliwadanganya GSM wale wafadhili wa Yanga kuwa Jiwe anataka ajengewe nyumba. Kweli GSM wakamuamini na wakajenga.
Baada ya hapo GSM wakawa wanataka Jiwe mwenyewe akazindue nyumba hiyo lakini Bashite akawa anawapotezea. Ndipo kwa namna yao wakamfikia Jiwe na mchezo ndipo ulipoharibika kwa vile Jiwe hakumtuma Bashite.
View attachment 2145146
View attachment 2145147
Najua kuna kejeli...Lakini maajabu tajiri wewe hujafa bado uko hai [emoji1]