Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake

Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake

Ni Ghalib sio "Gharib" na sio Msomali huyo, kama hujui ni heri ukae kimya tu. Huyo ni Mmahara na Mdigo wa Tanga.

Wanadaiana waachwe wadaiane kwa raha zao.

Makonda inaonesha alitumiwa na GSM kama ile mipira, kazi yake imekwisha sasa hana faida tena atupwe tu.

Siku za mwizi 40, kama Ghalib nae kuna dhulma aliifanya basi malipo ni hapa hapa duniani.
Wee ni chawa wa GSM?
 
Ungejua nafasi aliyonayo bashite huko serikalini sasa hivi.........
Nimegundua wengi vingi hamjui, ndio maana nilisema kubenea anapoteza muda

Wadhifa gani? Acheni kumpa mtu sifa asizostahili. Nyie ndio mlisema atakuwa Waziri Mkuu Mara spika, mwisho wa siku akatwangwa chini kwenye kura za maoni Jimbo la Kigamboni.
 
Huyo alikua gamba mwenzio
Amehamia? Chadema hata ukivurunda unalindwa tu, walioiba bilioni 500 za Sabodo wapo, waliokopeshana gari kwa Hela za chama wapo, na hakuna hatua imechukuliwa
 
Kauli ya kinafiki ya rafiki anayejifanys mwana kumbe hater!

Huna hata huruma juu ya Makonda umeongea kinafiki. Hurumia wazazi wako na ndugu zako.

Unafiki unao wewe mpumbavu. Wewe ndio unajua emotions za mtu. Shetani mkubwa wewe. Usinizoe mjaa laana.
 
Unafahamu maana
Amehamia? Chadema hata ukivurunda unalindwa tu, walioiba bilioni 500 za Sabodo wapo, waliokopeshana gari kwa Hela za chama wapo, na hakuna hatua imechukuliwa

Unafahamu maana ya bilioni Mia tano?
 
Ukienda TAKUKURU Upanga kuna watanzania wenye asili ya India kama watano walileta malalamiko pamoja na kadi za gari... Kuna mmoja alichukuliwa new model v8 ya mwaka 2016 na bei yake mpaka leo ipo juu sana hiyo gari..

Hawa walikuwa wanalindwa na mfumo ulivyokuwa wa nchi...

Kwani watu hawakusikia msemo huu ' KWENYE UONGOZI WANGU TAJIRI ANAFANYWA CHOCHOTE ' na watu wakapiga makofi..

Bora hawa wakina GSM wamesalimika na roho zao.... Matajiri wengi walifariki wa pressure kitokana na kuambiwa inahitajika hii.. Account yako inatakiwa ikatwe hela hii.....

Hujakaa sawa unafuatwa mheshimiwa amenituma kwako kuchukua hiki... Nk
Lakini maajabu tajiri wewe hujafa bado uko hai [emoji1]
 
Mwaka 2019 aliwadanganya GSM wale wafadhili wa Yanga kuwa Jiwe anataka ajengewe nyumba. Kweli GSM wakamuamini na wakajenga.

Baada ya hapo GSM wakawa wanataka Jiwe mwenyewe akazindue nyumba hiyo lakini Bashite akawa anawapotezea. Ndipo kwa namna yao wakamfikia Jiwe na mchezo ndipo ulipoharibika kwa vile Jiwe hakumtuma Bashite.

View attachment 2145146
View attachment 2145147
Roma mkatoriki njooo...mpaka ule msambwanda. Uishe
 
Back
Top Bottom