Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake

Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake

Mwaka 2019 aliwadanganya GSM wale wafadhili wa Yanga kuwa Jiwe anataka ajengewe nyumba. Kweli GSM wakamuamini na wakajenga.

Baada ya hapo GSM wakawa wanataka Jiwe mwenyewe akazindue nyumba hiyo lakini Bashite akawa anawapotezea. Ndipo kwa namna yao wakamfikia Jiwe na mchezo ndipo ulipoharibika kwa vile Jiwe hakumtuma Bashite.

View attachment 2145146
View attachment 2145147
Bado yale magari aliyokuwa anadhurumu, zama zimebadilika, atemeshwe vyote, alimjengea mama mkwe wake Ngara kwa Hela za utapeli
 
Hao GSM nao wana record mbovu tu, hapo naona tapeli nae katapeliwa.

Kila nikisoma ule uzi wao ulioko huku JF naona hao jamaa nao wanatakiwa kuchunguzwa na vyombo vya dola, ni wahalifu wanaolindwa na urafiki kati yao na walioshika hatamu.

GSM na Makonda wote marafiki wa Ikulu, shikeni majembe yenu mkalime tu.
Haijalishi, Makonda mtumishi wa umma alipataje Mali za mabilioni? GSM mfanyabiashara, ndio maana pale msibani walilitosa
 
Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. Kama Makonda alifikia kutumia jina la JPM kujimilikisha visivyo halali na kudhulumu vya wengine hatakiwi kuonewa huruma.

Na hii inachafua uongozi uliopita. Kumbe watu walikuwa wanajiamulia.! Maadamu vyombo vya usalama vipo basi ukweli utajulikana.

Kweli tutasikia na kuona mengi
Kibri na jeuri hivyo ndivyo alivyofanya na Sabaya
 
Bashite wakati anatembelea ma Lexus ya hao jamaa na kuweka namba za serikali alikuwa anajua ni mali zake binafsi? Avune alichopanda maana alionea watu sana
 
Wapi Mambosasa, kijana wako anashughulikiwa huko
 
Nadhani GSM kama wana akili waache kucheza michezo ya wanasiasa. Hakuna aliyejua Nape atakuja kuwa Waziri karibuni.

Makonda anaweza kuja kuwa Rais au Waziri na mwenye ma mlaka ndipo utakapoona GSM wanakimbia nchi.
Vyovyote vile hilo haliwafanyi wasidai haki yao bashite aache utapeli kupitia marehemu
 
mtanzania mweusi anapambana na Makonda dhidi ya tajiri Msomali Gharib....

Huyu Gharib na GSM sidhani kama wana nguvu yeyote ya kumnyoshea kidole Makonda
Gharib ni mtanzania we acha ubaguzi we mkoromije.
 
Nadhani GSM kama wana akili waache kucheza michezo ya wanasiasa. Hakuna aliyejua Nape atakuja kuwa Waziri karibuni.

Makonda anaweza kuja kuwa Rais au Waziri na mwenye ma mlaka ndipo utakapoona GSM wanakimbia nchi.
Arudishe nyumba aache utapeli
 
Vijana wa Shikuba mnahangaika sana,hakuna issue hapo....

Tajiri yenu ananyea ndoo kwa Biden gerezani.

Nyinyi mnahangaika na visasi mitandaoni.

Hizo video za Mange Kimambi ni Uchuro mtupu.

Makonda ni Untouchable.
Ila sikutegemea kama Makonda angeongea vile
 
ni muda muafaka pia atuonyeshe ben saanane kamficha wapi... tunamdai mengi mno huyu bwana.

By sisi umoja wa wanaume tunaoendesha IST hapa DSM.
Hivi Kumbe Mna Umoja Wenu Kabisa??
 
Mwaka 2019 aliwadanganya GSM wale wafadhili wa Yanga kuwa Jiwe anataka ajengewe nyumba. Kweli GSM wakamuamini na wakajenga.

Baada ya hapo GSM wakawa wanataka Jiwe mwenyewe akazindue nyumba hiyo lakini Bashite akawa anawapotezea. Ndipo kwa namna yao wakamfikia Jiwe na mchezo ndipo ulipoharibika kwa vile Jiwe hakumtuma Bashite.

View attachment 2145146
View attachment 2145147

"Naye akajibu akawaambia, Hamyaoni haya yote? Amin, nawaambieni, Halitasalia hapa jiwe juu ya jiwe ambalo halitabomoshwa". Mathayo 24:2

 
dah huruma imeniingia juu ya makonda. Watu wameanza kumgeuka mmoja mmoja, ipo siku hata wale wenye magari yao watamdai.
Kauli ya kinafiki ya rafiki anayejifanya mwana kumbe hater!

Huna hata huruma juu ya Makonda umeongea kinafiki. Hurumia wazazi wako na ndugu zako.
 
26 siku ya Ijumaa
Akili hizi ndiyo akili za Sukuma Gang. Makonda hatokuja ibuka tena kisiasa. Yule aliyekuwa anamuwezesha tulimfukia Chato March / 27/ 2021.
Na wala usimfananishe na Nape wala Makala. Hawa wameiva Ila Makonda alipanda sababu ya uwezo wake wa kuua ambao uliendana na Magufuli
 
Back
Top Bottom