Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ubaguzi mkuumtanzania mweusi anapambana na Makonda dhidi ya tajiri Msomali Gharib....
Huyu Gharib na GSM sidhani kama wana nguvu yeyote ya kumnyoshea kidole Makonda
Bado yale magari aliyokuwa anadhurumu, zama zimebadilika, atemeshwe vyote, alimjengea mama mkwe wake Ngara kwa Hela za utapeliMwaka 2019 aliwadanganya GSM wale wafadhili wa Yanga kuwa Jiwe anataka ajengewe nyumba. Kweli GSM wakamuamini na wakajenga.
Baada ya hapo GSM wakawa wanataka Jiwe mwenyewe akazindue nyumba hiyo lakini Bashite akawa anawapotezea. Ndipo kwa namna yao wakamfikia Jiwe na mchezo ndipo ulipoharibika kwa vile Jiwe hakumtuma Bashite.
View attachment 2145146
View attachment 2145147
Acha wamnyoosheSio kidole tu bali wameshachukua nyumba yao aliyotaka kuwatapeli kwa mgongo wa JPM na ni wazi bashite hana cha kuwafanya.
GSM ni vijana wa msoga hawakosi back up ya riz ambaye ni naibu waziri wa ardhi na makazi.
Haijalishi, Makonda mtumishi wa umma alipataje Mali za mabilioni? GSM mfanyabiashara, ndio maana pale msibani walilitosaHao GSM nao wana record mbovu tu, hapo naona tapeli nae katapeliwa.
Kila nikisoma ule uzi wao ulioko huku JF naona hao jamaa nao wanatakiwa kuchunguzwa na vyombo vya dola, ni wahalifu wanaolindwa na urafiki kati yao na walioshika hatamu.
GSM na Makonda wote marafiki wa Ikulu, shikeni majembe yenu mkalime tu.
Kibri na jeuri hivyo ndivyo alivyofanya na SabayaHakuna marefu yasiyokuwa na ncha. Kama Makonda alifikia kutumia jina la JPM kujimilikisha visivyo halali na kudhulumu vya wengine hatakiwi kuonewa huruma.
Na hii inachafua uongozi uliopita. Kumbe watu walikuwa wanajiamulia.! Maadamu vyombo vya usalama vipo basi ukweli utajulikana.
Kweli tutasikia na kuona mengi
Vyovyote vile hilo haliwafanyi wasidai haki yao bashite aache utapeli kupitia marehemuNadhani GSM kama wana akili waache kucheza michezo ya wanasiasa. Hakuna aliyejua Nape atakuja kuwa Waziri karibuni.
Makonda anaweza kuja kuwa Rais au Waziri na mwenye ma mlaka ndipo utakapoona GSM wanakimbia nchi.
Gharib ni mtanzania we acha ubaguzi we mkoromije.mtanzania mweusi anapambana na Makonda dhidi ya tajiri Msomali Gharib....
Huyu Gharib na GSM sidhani kama wana nguvu yeyote ya kumnyoshea kidole Makonda
Arudishe nyumba aache utapeliNadhani GSM kama wana akili waache kucheza michezo ya wanasiasa. Hakuna aliyejua Nape atakuja kuwa Waziri karibuni.
Makonda anaweza kuja kuwa Rais au Waziri na mwenye ma mlaka ndipo utakapoona GSM wanakimbia nchi.
Ila sikutegemea kama Makonda angeongea vileVijana wa Shikuba mnahangaika sana,hakuna issue hapo....
Tajiri yenu ananyea ndoo kwa Biden gerezani.
Nyinyi mnahangaika na visasi mitandaoni.
Hizo video za Mange Kimambi ni Uchuro mtupu.
Makonda ni Untouchable.
Hivi Kumbe Mna Umoja Wenu Kabisa??ni muda muafaka pia atuonyeshe ben saanane kamficha wapi... tunamdai mengi mno huyu bwana.
By sisi umoja wa wanaume tunaoendesha IST hapa DSM.
Mwaka 2019 aliwadanganya GSM wale wafadhili wa Yanga kuwa Jiwe anataka ajengewe nyumba. Kweli GSM wakamuamini na wakajenga.
Baada ya hapo GSM wakawa wanataka Jiwe mwenyewe akazindue nyumba hiyo lakini Bashite akawa anawapotezea. Ndipo kwa namna yao wakamfikia Jiwe na mchezo ndipo ulipoharibika kwa vile Jiwe hakumtuma Bashite.
View attachment 2145146
View attachment 2145147
Kauli ya kinafiki ya rafiki anayejifanya mwana kumbe hater!dah huruma imeniingia juu ya makonda. Watu wameanza kumgeuka mmoja mmoja, ipo siku hata wale wenye magari yao watamdai.
Akili hizi ndiyo akili za Sukuma Gang. Makonda hatokuja ibuka tena kisiasa. Yule aliyekuwa anamuwezesha tulimfukia Chato March / 27/ 2021.
Na wala usimfananishe na Nape wala Makala. Hawa wameiva Ila Makonda alipanda sababu ya uwezo wake wa kuua ambao uliendana na Magufuli
Kamfunge sasa kama una jeuri hiyoHuyu mpuuzi anatakiwa afungwe alikuwa mla rushwa sn
Nenda kamfunge mkuu! Unafikiri wakubwa hawajui hilo?Hii takataka Makonda inapaswa kuwa jela na siyo uraiani!! Huyu ana kesi ya kujibu mauaji ya Ben Saanane na utekaji wa Roma Mkatoliki na wengine wengi.
Pole sana nchi inasafishwa, shughuli hii ikikamilika labda ndio utaanza kuelewaMnapenda uchonganifu na umbea. Fanyeni kazi muda wa kazi huu