Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa jamaa waliletewa yule kibaka aliyemmwagia acid kaka yao wakacheza naye kwa dakika kadhaa hapo uani kwao wakamalizana naye kibingwa.Paul Makonda huyo uliyemdhulumu NI Mafia. Hilo NI angalizo tu
Huruma imekuingia? Wewe kweli ni mtanzania wa hovyo.dah huruma imeniingia juu ya makonda. Watu wameanza kumgeuka mmoja mmoja, ipo siku hata wale wenye magari yao watamdai.
Ungejua nafasi aliyonayo bashite huko serikalini sasa hivi.........Akili hizi ndiyo akili za Sukuma Gang. Makonda hatokuja ibuka tena kisiasa. Yule Shetani aliyekuwa anamuwezesha tulimfukia Chato March / 27/ 2021.
Na wala usimfananishe na Nape wala Makala. Hawa wameiva Ila Makonda alipanda sababu ya uwezo wake wa kuua ambao uliendana na Magufuli
Sasa pamoja na hiyo nafasi unayosema anayo ila hii nyumba ndiyo hivyo tena wenye nyumba wameshachukua mali yao wanaimiliki kuanzia ardhi hadi majengo yake na bashite hajatoa hata mia.Ungejua nafasi aliyonayo bashite huko serikalini sasa hivi.........
Nimegundua wengi vingi hamjui, ndio maana nilisema kubenea anapoteza muda
Hata ushahidi ukiwekwa haitasaidia kitu kwa kuwa wao sasa wameshika utamu utawaambia nini sasa kilichopo ni maombolezo! Lakini katika yote nao watapita tu!Weka ushahidi hapa
Hatari sanahata ushahidi ukiwekwa haitasaidia kitu kwa kuwa wao sasa wameshika utamu utawaambia nini sasa kilichopo ni maombolezo! lakini katika yote nao watapita tu!
Yule mnyaturu wa full time security Magufuli na Makonda walimchukulia mabilion yake kwa nguvu hadi jamaa akabaki hana kitu na stroke kumshika na kulazwa hospitalin mda mrefu. Isingekuwa ndugu zake nje kumtumia hela za matibabu na chakula angeshakufa. Na si yeye wengi tu.Ukienda TAKUKURU Upanga kuna watanzania wenye asili ya India kama watano walileta malalamiko pamoja na kadi za gari... Kuna mmoja alichukuliwa new model v8 ya mwaka 2016 na bei yake mpaka leo ipo juu sana hiyo gari..
Hawa walikuwa wanalindwa na mfumo ulivyokuwa wa nchi...
Kwani watu hawakusikia msemo huu ' KWENYE UONGOZI WANGU TAJIRI ANAFANYWA CHOCHOTE ' na watu wakapiga makofi..
Bora hawa wakina GSM wamesalimika na roho zao.... Matajiri wengi walifariki wa pressure kitokana na kuambiwa inahitajika hii.. Account yako inatakiwa ikatwe hela hii.....
Hujakaa sawa unafuatwa mheshimiwa amenituma kwako kuchukua hiki... Nk
Rais mafii yako?Nadhani GSM kama wana akili waache kucheza michezo ya wanasiasa. Hakuna aliyejua Nape atakuja kuwa Waziri karibuni.
Makonda anaweza kuja kuwa Rais au Waziri na mwenye ma mlaka ndipo utakapoona GSM wanakimbia nchi.
Usiseme hivyo, kisasi kitakachotokea baada ya 2025 hautokaa kuamini, nakuhakikishia hilo.Akili hizi ndiyo akili za Sukuma Gang. Makonda hatokuja ibuka tena kisiasa. Yule aliyekuwa anamuwezesha tulimfukia Chato March / 27/ 2021.
Na wala usimfananishe na Nape wala Makala. Hawa wameiva Ila Makonda alipanda sababu ya uwezo wake wa kuua ambao uliendana na Magufuli
Yule mzee alikuwa zaidi ya shetaniYule mnyaturu wa full time security magufuli na makonda walimchukulia mabilion yake kwa nguvu hadi jamaa akabaki hana kitu na stroke kumshika na kulazwa hospitalin mda mrefu. Isingekuwa ndugu zake nje kumtumia hela za matibabu na chakula angeshakufa. Na si yeye wengi tu.
Halafu eti anaitwa shujaa sijui SRG sijui bwawa la nyerere.
Shetani endelea kuongeza kuni na kuchochea moto
Bashite amepiga sana pesa kwa GSMSasa pamoja na hiyo nafasi unayosema anayo ila hii nyumba ndiyo ivyo tena wenye nyumba wameshachukua mali yao wanaimiliki kuanzia ardhi hadi majengo yake na bashite hajatoa hata mia.
Cc Pascal Mayalla"KARMA" !!!
Ni Ghalib sio "Gharib" na sio Msomali huyo, kama hujui ni heri ukae kimya tu. Huyo ni Mmahara na Mdigo wa Tanga.mtanzania mweusi anapambana na Makonda dhidi ya tajiri Msomali Gharib....
Huyu Gharib na GSM sidhani kama wana nguvu yeyote ya kumnyoshea kidole Makonda