Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,397
- 6,015
Watu gani hao ambao walikuwa wa karibu na Rais aliye madarakani walishindwa kutajirika hasa hasa kwa nchi zetu hizi za ki-Afrika?Watu wengi wa karibu na mwendazake walitajirika kupitia jina lake
Makonda sasa hivi atatamani aende khaeraKaz imeanza Sasa
Hayo n machache TU kat ya meeeng yaliyojificha
Bado naibu wazir wa ardhi na yeye kufungua kesi ya kusingiziwa anauza sembe kali
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Dawa ya mchawi ni kuwa mchawi zaidi yakedah huruma imeniingia juu ya makonda. Watu wameanza kumgeuka mmoja mmoja, ipo siku hata wale wenye magari yao watamdai.
Hata wasaidizi wamejengewa GSMBashite amepiga sn pesa kwa GSM
Bado hujatoa suluhisho hapoHao GSM nao wana record mbovu tu, hapo naona tapeli nae katapeliwa.
Kila nikisoma ule uzi wao ulioko huku JF naona hao jamaa nao wanatakiwa kuchunguzwa na vyombo vya dola, ni wahalifu wanaolindwa na urafiki kati yao na walioshika hatamu.
GSM na Makonda wote marafiki wa Ikulu, shikeni majembe yenu mkalime tu.
Kwa taarifa yako tu, wapo wafanyabiashara waliopasua zile mashine za kulipia kodi "EDF" siku JPM alipofariki na kufanya sherehe kwa kudai hawatalipa kodi tena sababu aliyekuwa anawasumbua kashaondoka.Kuna mmoja ni dereva wa malori ya mizigo kwenda nje hasa Congo na Zambia.. Aliniambia boss wao anasumbuliwa na watu wakidai wametumwa na mamlaka.
Mara ni lazima uchangie mifuko ya cement 500 pamoja na nondo za kutosha kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu eneo fulani..Kilichomshangaza akaona taarifa ile kwenye TV mifuko 200 tuu tena nondo hazikuwekwa.
Kila mwezi anagongewa mlango na watu kutoka ofisi ya mkuu wa wilaya..nk wakisema order kutoka juu.. Tunahitaji 40 M kwa ajili ya eneo hili nk.. Ilibidi nusu ya malori yake abadili no kuwa za Rwanda na Zambia.. Ili ionekane kampuni imeyumba na hana uwezo wa kila mwezi kuchangia mahela ya miradi ya maendeleo.
Kikwete ile nyumba ya Msasani kajengewa na hao hao Home Shopping Centre ( GSM) !rushwa moja wanayopenda kuitumia wafanyabiashara wakubwa Tanzania ni kuwajengea ma property hawa ma rais na wakubwa wengine...... Wanajenga wanakupa umiliki.... JK kapewa sana ma apartment Mikocheni
Kwani kuna ubaya gani mtu mwenye rangi yoyote ile kudai haki yake?mtanzania mweusi anapambana na Makonda dhidi ya tajiri Msomali Gharib....
Huyu Gharib na GSM sidhani kama wana nguvu yeyote ya kumnyoshea kidole Makonda
Wewe mwenyewe mbona una record chafu lkn bado jamii inakuheshimu?Kabisaaa.GSM wanarekodi chafu
Makonda kauwasha mwenyewe moto wacha sasa awaone wanadamuHuyu mpuuzi anatakiwa afungwe alikuwa mla rushwa sn
Umeonaeeeee? Wanaendelea kujifariji tu Makonda lazima atalipa kwa mabaya aliyo watendea wananchiKwa sababu makonda ni Msukuma?
Huyo huyo aliyekashifiwa na Makonda kuwa ni muuza madawa!!!!!Sio kidole tu bali wameshachukua nyumba yao aliyotaka kuwatapeli kwa mgongo wa JPM na ni wazi bashite hana cha kuwafanya.
GSM ni vijana wa msoga hawakosi back up ya riz ambaye ni naibu waziri wa ardhi na makazi.
Umesahahu madai ya Sabaya kuwa aliyoyafanya alikuwa anatumwa na Jiwe?Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. Kama Makonda alifikia kutumia jina la JPM kujimilikisha visivyo halali na kudhulumu vya wengine hatakiwi kuonewa huruma.
Na hii inachafua uongozi uliopita. Kumbe watu walikuwa wanajiamulia.! Maadamu vyombo vya usalama vipo basi ukweli utajulikana.
Kweli tutasikia na kuona mengi
Kama kuna nyumba imejengwa mwenye nyumba ni mwenye hati ya kiwanja!! Kama Makonda anayo hati ya kiwanja nyumba ilipojengwa basi GSM walie tu!kama hiyo nyumba alijengewa jiwe, wenye haki na hiyo nyumba ni familia ya jiwe na si vinginevyo...........au nasema uongo.
Atafungwa tu hilo halina shaka na tumeanza na ile kesi mnayo iita kuwa haina mguvu .Mpeleke jera siunayo mamlaka na uwezo huo na ushahidi unao
Akili za kuokoteza kisa Makonda hawara yakoNadhani GSM kama wana akili waache kucheza michezo ya wanasiasa. Hakuna aliyejua Nape atakuja kuwa Waziri karibuni.
Makonda anaweza kuja kuwa Rais au Waziri na mwenye ma mlaka ndipo utakapoona GSM wanakimbia nchi.
Kawafunge basiGSM ndo KIKWE..... NDO HELA ZA SHOPPING CENTER ZILIPOFICHWA NDO HAO WALIO IUA KARIAKOO KWA KUONDOKA NA MITAJI YA WAFANYA BIASHARA NDO WAKWEPA KODI WAKUBWA
Two wrongs don't make one right!! Tuna deal na Makonda.Mbona kuna Watumishi wengi tu wa Umma wanamiliki Mali ambazo haziendani na vipato vyao!? Au wwe Tanzania umekuja juzi!? Hii point yako futa kabisa,labda uje na hoja nyingine!!
Hovyooo toka kwa hovyooooooMkuu wanasiasa si watu wa kuweka nao bifu hasa unapokuwa mfanya biashara. Kama GSM wana mtu wa PR wataliona hili nalosema. Hivi nani alijua Makala atakuja kuwa mkuu wa mkoa wa Dar???? Ninachomaanisha hapa ni kuwa wanasiasa wana mitaji mikubwa ya network, mtu anaweza kuwa idle kwa muda ila siku mtu wake akimkumbuka basi anaweza kulipiza kisasi. Msipe kichwa GSM. Na kumbukeni Makonda na Mama ni kitu kimoja.