Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Ujanja wa kuishi kwa upambanaji huwa hawana,atarudia Kazi yake ya kuchoma mkaa mbezi kimara.Amebakiwa na pharmacy hapo Morocco kwenye hilo jumba refu la rangi ya dhahabu! Sijui kama bado ipo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujanja wa kuishi kwa upambanaji huwa hawana,atarudia Kazi yake ya kuchoma mkaa mbezi kimara.Amebakiwa na pharmacy hapo Morocco kwenye hilo jumba refu la rangi ya dhahabu! Sijui kama bado ipo?
Usilazimishe avune mahindi hali alipanda mibaNi unafiki tu mnaoendeleza, huyo bashite umemfaham toka lini?, vile mmejificha kwa mgongo wa all things fake tu hapa jf.
Ila mngekuwa ni real as paskali nk, tungewachana live na kuwavua nguo muonekane dhambi zenu.
Haya yote yanatokea sababu Tiss ilishindwa kufanya kazi yake ipasavyo huko nyuma, na isitoshe Makonda alikuwa analindwa na Walinzi kutoka Tiss, walishindwaje kudili na hayo matukio kabla hayajafika mbali?
Hizi kiki za kimavimavi zilikuwa zinasimama wakati ule wa baba yake mfu alikuwa anapumua...akimuamini kwa kila anachosema
Mbona kama sauti ya Nape kwenye hiyo audio clip? Hii nahisi ni mixing ya mtu anacheza na akili zetu.
Anayenyooshewa kidole siyo mtu mweusi Bali jiziii...
Akili za matope, shuleni ulienda kusomea ujinga?Guys mark hii makonda atainuka tena na sijui wataficha wapi sura zao naona ya magu kwa manji
Yaleyale ya yule ex-DC sasa yako ex-RC. JE ma ex-Waziri na Makatibu wakuu ama ambao walikuwemo awamu ile wakoje???Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. Kama Makonda alifikia kutumia jina la JPM kujimilikisha visivyo halali na kudhulumu vya wengine hatakiwi kuonewa huruma.
Na hii inachafua uongozi uliopita. Kumbe watu walikuwa wanajiamulia.! Maadamu vyombo vya usalama vipo basi ukweli utajulikana.
Kweli tutasikia na kuona mengi
Siasa za nchi hii!! Jambazi anapewa nafasi ili awashughulikie wasiopendwa na anasifiwa kwa kutolewa mifano!!!Nadhani GSM kama wana akili waache kucheza michezo ya wanasiasa. Hakuna aliyejua Nape atakuja kuwa Waziri karibuni.
Makonda anaweza kuja kuwa Rais au Waziri na mwenye ma mlaka ndipo utakapoona GSM wanakimbia nchi.
Wote want matatizoBashite wakati anatembelea ma Lexus ya hao jamaa na kuweka namba za serikali alikuwa anajua ni mali zake binafsi? Avune alichopanda maana alionea watu sana
Hukuwahi kufuatwa na kuambiwa usipotoa fwedha tutakubandika kesi ya uhujumu na utakatishaji familia wakusahau!! Kisha tukaona kama ungetoa au usingetoa... Rejea kesi ya Ole saambaya!!Ukiona hivyo Basi walikuwa na vitu vya ovyo nyuma yao au walikuwa wanafanya ya ovyo. Huwezi kukubali kirahisi kufanya jambo kama Unajua huna cha kuficha.
Dotto JamesYaleyale ya yule ex-DC sasa yako ex-RC. JE ma ex-Waziri na Makatibu wakuu ama ambao walikuwemo awamu ile wakoje???
Kutibu hivi vidonda viongozi na maafisa wa umma wachunguzwe upatikanaji mali zao na tume huru.
Na wasukuma wanaweza sana utawala wa visasi na hii inamuharibia hadi jiwe kwa vijana aliowaamini na kuwapa madaraka jinsi walivyotumia madaraka yao kunyanyasa wengineNadhani GSM kama wana akili waache kucheza michezo ya wanasiasa. Hakuna aliyejua Nape atakuja kuwa Waziri karibuni.
Makonda anaweza kuja kuwa Rais au Waziri na mwenye ma mlaka ndipo utakapoona GSM wanakimbia nchi.
Alikuwa anakamilisha ule usemi maarufu "njoo CCM utajirike!!"Extortion.
Kwa mzungu hiyo ni sawa kwa sababu ni wenzetu ! Ila kwa mmanga hapana maana si mwenzetu !! Hizo ni chuki kwa wale ambao sio wa upande wetu !! Huo ni ubaguzi usiotakiwa hapa duniani !!Ghalib ni mdigo mwenzio bibi Faiza, endelea kujidanganya kama wale waarabu wanavyowadanganya Watanzania huku wana uraia wa Oman, kutwa kucha kutorosha hela na huku mnawaona wadigo wenzenu...
Shida yangu iko kwenye Unafiki wa hawa watu pale wanapojifanya wema kwenye hadhara ya watu na kuuvaa utanzania na sisi kuwaona Watanzania wenzetu na kuwapa access za bure kwenye miundombinu yetu kama wazawa na matokeo wanatutafuna kila kukicha..
Huyo Mzungu uliyemtaja sio topic hapa japo yeye sio mnafiki, anapanda ndege anakuja hapa kama Mzungu na dili mezani anatuzidi maarifa anatupiga... hawa wengine ni wanafiki tu
Hakuna kitu kama hicho !! Tembea duniani uone watu wanavyoishi !! Utajifunza mengiElewe msingi wangu, kujiita mdigo hata mtu anaweza kutoka USA leo akajiita yeye Mzaramo kwa kujifurahisha tu...
Sijakataa yeye kuwa mdigo, shida yangu iko kwenye unafiki wao kwa maana ya kutumia hizo asili mchana kupata upenyo na favor kama wazawa lakini usiku sio wadigo wala watanzania.. wanarudi kwenye asili za mababu na kupanga mikakati mizuri ya kutuhujumu mchana na kuhamisha hela na makazi kwenye asili zao za mababu na huko wanabaki na uraia wa siri....hiyo mipango kwa taarifa yako hata hizo serikali za huko kwenye asili zao wanajua...
Hunasa kwenye tundu bovu ??!! Au ?!Ndege mjanja
Kitu kitakachoendelea kumtesa makonda maisha yake yote ni vile alivyowadhalilisha wazee ambao ni sawa au wakubwa kuliko baba yake !! KARMA !!Kwa hiyo na wwe ukaamini na ukamkasirikia tu kwa hiyo kauli yake!? Kakutisha na wwe ukatishika!!? Hahahaha Wabongo nyie mnavisa!!