Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Nafuu tuwatetee hao unaowaona waarabu kuliko mtanzania mwenzetu aliyempiga Jaji Joseph Warioba, alimuua Ben Saanane na kumwagia risasi 16 Tundu LissuUbaguzi wako nao hao mnaowatetea na kujiona watanzania wenzenu huku gizani wakiukana Utanzania na kuwafanya watanzania Wapagazi wao huku wakipambana kuwablack mail kwenye njia zote za uchumi....nyie mkibaki na vita zenu za CCM na CDM, SIMBA VS YANGA huku wao wakimwaga hela muendelee kulala usingizi..