Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake

Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake

Wwe Gimbi kweli huna ulijuwalo kuhusu Wafanyabiashara Wanyonyaji wanao shirikiana na baadhi ya Viongozi walioko madarakani kupiga ma deal machafu!! Hili la Makonda na GSM ni aina flani ya Karma! Muda utatuambia ukweli wote!!
Kwahiyo hutaki adaiwe? Ikiwa mwizi wa kuku tu anafungwa miaka 5, yeye ni nani asikumbwe na hilo rungu? Karibu tujadili kijana wa mwendazake.
 
MAGUFULI ALIKUWA UNTOUCHABLE LEO HAYUPO HATA HUYO UNTOUCHABLE SOON ANAISHA
Kwani Mama siyo untouchable!? Nenda kamuulize Mugabe aliyetoka juzi Lupango atakupa mziki wa Mama ukoje!!!
 
Ile ford ranger alimdhulumu tajiri mwarabu wa kampuni ya NAS baada ya kumsingizia madawa ya kulevya. Ili achomoke kwenye kesi akamdhulumu ford ranger.
Mbona wwe Makonda hajakusingizia kua unauuza madawa ya kulevya!? "If you don't know the rules don't play the game'!!! Hayo Maneno alikuwa anapenda sana Marehemu Dingi yangu kuniambia! nilipokua mdogo sikumuelewa,hadi nilipokua Mkubwa na kuanza ku play the game ndiyo nikaanza kumuelewa! Na masikini wakati naanza kuelewa Maneno ya Dingi na yeye ndiyo Umauti ukamnyemelea na kumchukuwa!!
 
Mengi yatafunguka, bado matajiri wengi aliowadhulumu wanamvutia pumzi tu.


Sidhani kama kuna cha kumlinda safari hii. Unafikiri, walivyodhalilishwa matajiri na wanasiasa na huyo jamaa watamsamehe? Kwanza wanahakikisha anakauka kifedha kidogo kidogo na anapoteza mali zake kidogo kidogo. Sasa hivi ni kama manyunyu tu, ngoja masika ichanganye, tutamhurumia.

Tukisikia nyumba alizojenga Mwanza na kwengineko zinanunuliwa au zinapigwa mnada muda si mrefu sana kuanzia sasa tusishangae.
 


Download
720
MAKONDA ANUSURIKA KUUWAWA

MAKONDA ANUSURIKA KUUWAWA.jpeg
 
Makonda kwa mshahara gani wa serikali wa milioni 4 ajenge ghorofa ya Bilioni 2? Yeye aendelee na kesi zake mahakamani aachane na mali za watu
Na huyo GSM umesha jiiuliza kwa nini wampe Mkuu wa Mkoa wa DSM zawadi yenye thamani kubwa Kama hiyo!? What do they wanted in return kutoka kwa Mkuu,ambacho hawajakipata au hajakitimiza na wakaamuwa wamdai Mali yao waliompaa!?
 
Kama mtu ni division ZERO hakika hawezi kuficha ZERO yake maishani. Makonda amekuwa mfanyakazi wa Serikali kwa miaka 2014-2020, ni kwa mshahara gani anaweza kumiliki nyumba ya Tsh 2.0 Billion?

Angekuwa ana akili hata ya Div IV, ingebidi akae mbali na utajiri huu na azoee maisha ya kawaida.

Hata kama Rais SSH anamlinda kama inavyodaiwa na baadhi ya watu, ajue tu iko siku Samia atatoka madarakani na ATADHALILISHWA tu. Mali ya DHULUMA na damu za watu wasio na hatia alizomwaga bado zinamtafuta
Samia Suluhu aache kulinda heshima yake amlinde Makonda? Usisikie majuha wakipayuka hovyo.

Usikute hata mama alimkomalia wakati wa bwana yule.
 
Hahah!

Yaani Kondaboy ndio wa kuongea kinyonge hivyo, tena analalamika mithili ya wale watoto wanaolia "mwalimu usinichapeeeee, sijaiba penseli mimiiiiiiiii....iiiii"
 
Kama mtu ni division ZERO hakika hawezi kuficha ZERO yake maishani. Makonda amekuwa mfanyakazi wa Serikali kwa miaka 2014-2020, ni kwa mshahara gani anaweza kumiliki nyumba ya Tsh 2.0 Billion?

Angekuwa ana akili hata ya Div IV, ingebidi akae mbali na utajiri huu na azoee maisha ya kawaida.

Hata kama Rais SSH anamlinda kama inavyodaiwa na baadhi ya watu, ajue tu iko siku Samia atatoka madarakani na ATADHALILISHWA tu. Mali ya DHULUMA na damu za watu wasio na hatia alizomwaga bado zinamtafuta
Labda alikuwa na mshahara mahalum kama wa TZS 50 mil. kwa mwezi!
 
Hao GSM nao wana record mbovu tu, hapo naona tapeli nae katapeliwa.

Kila nikisoma ule uzi wao ulioko huku JF naona hao jamaa nao wanatakiwa kuchunguzwa na vyombo vya dola, ni wahalifu wanaolindwa na urafiki kati yao na walioshika hatamu.

GSM na Makonda wote marafiki wa Ikulu, shikeni majembe yenu mkalime tu.
Kiongozi wa umma huwezi kuwa mshirika wa wezi, tena huyu alikuwa anatamka hadharani kwamba yeye anaongoza kwa kula raha kumbe jizi tuuu pumbavu zake
 
mtanzania mweusi anapambana na Makonda dhidi ya tajiri Msomali Gharib....

Huyu Gharib na GSM sidhani kama wana nguvu yeyote ya kumnyoshea kidole Makonda
Anayenyooshewa kidole siyo mtu mweusi Bali jiziii...
 
Funguka zaidi Dada Kama kuna kitu wakijiua, Maana wwe nakujua ni wa Kariakoo Kama akina GSM!!
Kiukweli kuhusu hizo video clips, sifahamu kitu, ndio kwanza naziona hapa. Tumngoje Kimambe ndiye mwenye sources za udaku.
 
Makonda alikuwa tapeli wa kiwango cha juu. Kule Mwanza alipora kiwanja Capripoint kutoka familia ya Chacha, mmiliki wa hospitali ya CF. Akawadanganya kuwa watalipwa, akaishia kujenga nyumba yake binafsi.
Unaona sasa, waanzishe madai fasta
 
Back
Top Bottom