Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake

Ni unafiki tu mnaoendeleza, huyo bashite umemfaham toka lini?, vile mmejificha kwa mgongo wa all things fake tu hapa jf.

Ila mngekuwa ni real as paskali nk, tungewachana live na kuwavua nguo muonekane dhambi zenu.
Usilazimishe avune mahindi hali alipanda miba
 
Guys mark hii makonda atainuka tena na sijui wataficha wapi sura zao naona ya magu kwa manji
 
Anayenyooshewa kidole siyo mtu mweusi Bali jiziii...

anayenyoosha kidole kwa jizi naye ni jizi tena zaidi ya huyo Makonda kwa vile tu hayuko kwenye mazingira ya watu kujua hilo... huyo naye niwakushughulikiwa na mamlaka kwa michezo yake... Manji awamu ya nne n huko nyuma alifanya ujinga mwingi sana na wote tulipiga kelele, alivyoshughulikiwa kwa ujinga wake baadala yake tukaanza kumtetea...
 
Yaleyale ya yule ex-DC sasa yako ex-RC. JE ma ex-Waziri na Makatibu wakuu ama ambao walikuwemo awamu ile wakoje???
Kutibu hivi vidonda viongozi na maafisa wa umma wachunguzwe upatikanaji mali zao na tume huru.
 
Nadhani GSM kama wana akili waache kucheza michezo ya wanasiasa. Hakuna aliyejua Nape atakuja kuwa Waziri karibuni.

Makonda anaweza kuja kuwa Rais au Waziri na mwenye ma mlaka ndipo utakapoona GSM wanakimbia nchi.
Siasa za nchi hii!! Jambazi anapewa nafasi ili awashughulikie wasiopendwa na anasifiwa kwa kutolewa mifano!!!
 
Ukiona hivyo Basi walikuwa na vitu vya ovyo nyuma yao au walikuwa wanafanya ya ovyo. Huwezi kukubali kirahisi kufanya jambo kama Unajua huna cha kuficha.
Hukuwahi kufuatwa na kuambiwa usipotoa fwedha tutakubandika kesi ya uhujumu na utakatishaji familia wakusahau!! Kisha tukaona kama ungetoa au usingetoa... Rejea kesi ya Ole saambaya!!
 
Yaleyale ya yule ex-DC sasa yako ex-RC. JE ma ex-Waziri na Makatibu wakuu ama ambao walikuwemo awamu ile wakoje???
Kutibu hivi vidonda viongozi na maafisa wa umma wachunguzwe upatikanaji mali zao na tume huru.
Dotto James
 
Nadhani GSM kama wana akili waache kucheza michezo ya wanasiasa. Hakuna aliyejua Nape atakuja kuwa Waziri karibuni.

Makonda anaweza kuja kuwa Rais au Waziri na mwenye ma mlaka ndipo utakapoona GSM wanakimbia nchi.
Na wasukuma wanaweza sana utawala wa visasi na hii inamuharibia hadi jiwe kwa vijana aliowaamini na kuwapa madaraka jinsi walivyotumia madaraka yao kunyanyasa wengine
 
Kwa mzungu hiyo ni sawa kwa sababu ni wenzetu ! Ila kwa mmanga hapana maana si mwenzetu !! Hizo ni chuki kwa wale ambao sio wa upande wetu !! Huo ni ubaguzi usiotakiwa hapa duniani !!
Hakuna kitu kama hicho !! Tembea duniani uone watu wanavyoishi !! Utajifunza mengi
Ndege mjanja
Hunasa kwenye tundu bovu ??!! Au ?!
 
Kwa hiyo na wwe ukaamini na ukamkasirikia tu kwa hiyo kauli yake!? Kakutisha na wwe ukatishika!!? Hahahaha Wabongo nyie mnavisa!!
Kitu kitakachoendelea kumtesa makonda maisha yake yote ni vile alivyowadhalilisha wazee ambao ni sawa au wakubwa kuliko baba yake !! KARMA !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…