Nafuu tuwatetee hao unaowaona waarabu kuliko mtanzania mwenzetu aliyempiga Jaji Joseph Warioba, alimuua Ben Saanane na kumwagia risasi 16 Tundu LissuUbaguzi wako nao hao mnaowatetea na kujiona watanzania wenzenu huku gizani wakiukana Utanzania na kuwafanya watanzania Wapagazi wao huku wakipambana kuwablack mail kwenye njia zote za uchumi....nyie mkibaki na vita zenu za CCM na CDM, SIMBA VS YANGA huku wao wakimwaga hela muendelee kulala usingizi..
Duh! !!Mungu amsaidie asiwe na akili ya kushikiwa na Vasco Dagama; ama sivyo anaweza kujikuta mahala Kikwete alipoifikisha ccm ambapo wavaa nguo za kijani wakipigwa mawe mitaani!!
The inflation is now skyrocketing in the economy and the RECESSION is not very far behind if strategic interventions are not urgently implemented!
Wanasemaga Jinai huwa haifi !!Haya yote yanatokea sababu Tiss ilishindwa kufanya kazi yake ipasavyo huko nyuma, na isitoshe Makonda alikuwa analindwa na Walinzi kutoka Tiss, walishindwaje kudili na hayo matukio kabla hayajafika mbali?
Hatari snRuge
Pumbavu kabisa TODAYS , wewe mwenyewe unatumia FAKE ID kujenga hoja, still unaponda wanao ibua maovu ya Bashite kwa FAKE ID??Ni unafiki tu mnaoendeleza, huyo bashite umemfaham toka lini?, vile mmejificha kwa mgongo wa all things fake tu hapa jf.
Ila mngekuwa ni real as paskali nk, tungewachana live na kuwavua nguo muonekane dhambi zenu.
Kwa hiyo hapo ndiyo uwezo wa marehemu dingi wako wa kufikiri. Ndiyo maana alizaa mtoto POYOYO anayemtetea BASHITE muuaji na mdhulumu mali za watu.Mbona wwe Makonda hajakusingizia kua unauuza madawa ya kulevya!? "If you don't know the rules don't play the game'!!! Hayo Maneno alikuwa anapenda sana Marehemu Dingi yangu kuniambia! nilipokua mdogo sikumuelewa,hadi nilipokua Mkubwa na kuanza ku play the game ndiyo nikaanza kumuelewa! Na masikini wakati naanza kuelewa Maneno ya Dingi na yeye ndiyo Umauti ukamnyemelea na kumchukuwa!!
Makonda sio wa kulia liaa hivi aiseee... Daah maisha haya inabdi tuishi vizuri na watu leo bashite msaada wake labda Samia kama watu wanavyosema ila hawezi ongea hata na kiongozi wa ccm kwa ambao wana nguvu kwa sasa amsaidie yani anatia huruma sana dhuluma zinamrudia
Ambao si ma Vasco mazao waliyotuletea ndio yanaitwa Makonda na Sabaya. Huyaoni?Mungu amsaidie asiwe na akili ya kushikiwa na Vasco Dagama; ama sivyo anaweza kujikuta mahala Kikwete alipoifikisha ccm ambapo wavaa nguo za kijani wakipigwa mawe mitaani!!
The inflation is now skyrocketing in the economy and the RECESSION is not very far behind if strategic interventions are not urgently implemented!
Dhulma ni dhulma tuu haina cha u Afrika wala uhindi, lazima ikemewe ili nyie vijana msiopenda kazi mkafanye kazi za jasho lenu..
Labda useme ni mwenyeji wa Mafia kisiwani,lakini sijawahi kuona Mafioso mwenye wowowo hivyo.Paul Makonda huyo uliyemdhulumu NI Mafia. Hilo NI angalizo tu
But reality still in real.Pumbavu kabisa TODAYS , wewe mwenyewe unatumia FAKE ID kujenga hoja, still unaponda wanao ibua maovu ya Bashite kwa FAKE ID??
Ni mpumbavu tu anaweza kuponda power ya social media through anonymous characters
Nyingine Magomeni Mapipa mkabara na MwendokasiAmebakiwa na pharmacy hapo Morocco kwenye hilo jumba refu la rangi ya dhahabu! Sijui kama bado ipo?
Wewe acha ujinga gharib sio msomalimtanzania mweusi anapambana na Makonda dhidi ya tajiri Msomali Gharib....
Huyu Gharib na GSM sidhani kama wana nguvu yeyote ya kumnyoshea kidole Makonda
Hasa wa CHADEMANi rahisi ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko mwanasiasa
Nakuona unatamani sana hata akifa muda huu siyo kwa povu hilo.Dhulma ni dhulma tuu haina cha u Afrika wala uhindi, lazima ikemewe ili nyie vijana msiopenda kazi mkafanye kazi za jasho lenu..
Makonda hakuwa anapewa zawadi. Alikuwa anachukua kibabe. Laasivyo unafunguliwa kesi ya uhujumu uchumi. Hakuna cha zawadi hapoNa huyo GSM umesha jiiuliza kwa nini wampe Mkuu wa Mkoa wa DSM zawadi yenye thamani kubwa Kama hiyo!? What do they wanted in return kutoka kwa Mkuu,ambacho hawajakipata au hajakitimiza na wakaamuwa wamdai Mali yao waliompaa!?