Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake

Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake

Huyu jamaa, hakuanza kukwapua kipindi cha mwendazake, alianza baada ya kukabidhiwa cheo na mzee wa msg, alianza mdogo mdogo sana kwenye maduka ya chini, TV's furnitures, n.k kuna list ya wanuafaika wake, wengi wasanii n.k fikiria anaweza kuzama dukani kwako akabeba tv zenye thamanui milioni 7 kila moja kwa idadi ya watu aliokuja nao anawaambia wamfuate ofisini, ukifika huko ni kibano, huyu ndie mwalimu wa yule jambazi wa arusha aliyepigwa miaka 30
 
Document ya mwaka 2013 bado safiii, kuna watu wanajua kutunza...then picha ziko juu ya mihuri daaaah...halafu mihuri mipya kabsa km imepigwa leo vile,,, BTW 2013 Makonda alikua na uwezo wa kununua mali ya 120M?! Basi jamaa katoka mbali[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Alitoa wapi 120M?? Alete chanzo chake cha mapato, else kesi zile zile za UTAKATISHAJI zimrudie! Anafanya biashara haramu!
 
Nani anabisha karma never misses the location??
Leo Bashite, anajitetea. Analialia???
Daadeki!!! KARMA huwa inaleta utamu.
mpaka raha😁😂
200 (17).gif
 
Tena bora angefungwa mapema akiwa bado kijana ili awahi kumaliza kifungo chake
Duuh nimecheka balaa...bonge ya ushauri na sio aanze kutumikia kifungo 2030 kama anaemlinda ataonyesha nia 2025 na kushinda au aanze kifungo 2025
 
kweli kuna baadhi ya watanzania ni wajinga sana ila hawa ni zaidi, yaani mtu nakufata kwa kauli tu kuwa mheshimiwa flani anataka nyumba na wewe jinsi ulivyo kiazi pro max unajenga kabisa ukiamini ni kweli?? hivi ni nani aliyeturoga??, halafu unakuja kumlaumu mtu wakati ni upuuzi wako mwenyewe, mtu ni kiongozi wa nchi kweli atakuwa na shida ya kibanda kimoja wakati ana mabangaloo ya kumtosha yeye na vitukuu vyake vilivyopo na vitakavyokuja
Mwanasiasa ana mabangaloo kwa mtaji upi?
Hebu funguka!
 
Kama documents za mauziano ni hizi, then you don't need lens or binoculars to see kuwa ni forged documents. You can just see by naked eyes, they are not bonafide genuine, they are equal vichwa the forged documents!.
P
Duuh! inasikitisha
 
Makonda anaweza kuwa pimbi ila wewe ndo pimbi zaidi yake! Ukoo wako wote mkijikiusanya mmufikii hata robo kimaisha!
Msamehee bure huyo, ulimbukeni wa silahaa unamsumbua, anaamini ukiwa na silahaa wwe ndiyo Mwamba! Hajui kua huyo Ghalib kwa kitendo hicho cha kumtishia Makonda na silahaa ni kosa kubwa sana, hiyo kisheria ni Kama Ghalib alikusudia kumuwa Makonda! Hii kesi muda wowote inaweza badilika ikawa Jinai kutoka kwenye madai!!
 
bashite kama mali hizo alizipata kihalali, apewe tu. ila kama hakuzipata kwa halali anyangánywe mwenye mali achukue chake. halafu watu wanasikiliza upande mmoja wa bashite tu na kujifanya wanamwonea huruma mtu aliyetesa mioyo ya watanzania kwa miaka 5, mtu mwenye kiburi na figisu za kila aina. ila kama ni yake aachiwe. haki itendeke. ila mwenzetu ni kwa mshahara upi alinunua nyumba mikocheni? dah?
 
Tuliaminishwa kua Bwana PCM hagusiki hata na awamu hii. Lakini kwa kilichotokea kwenye sakata la hiyo nyumba linanipa mashaka na zile kauli za kua ana godfather wa ngazi ya juu sana na kwa hiyo anaendelea ku enjoy impunity
Sikuelewi unaongea nini. Angenyang'anywa nyumba? Au unachosoma hukielewi, basi hata macho hayaoni? Masikio hayasikii?
 
Sikuelewi unaongea nini. Angenyang'anywa nyumba? Au unachosoma hukielewi, basi hata macho hayaoni? Masikio hayasikii?
Hata mimi sijaelewa hii post yako unamaanisha nini. What I wanted to express is that; Makonda has inflicted so much pain kwa baadhi ya watu hasa kwenye business community. Rafiki yangu Mpakistani akiwa one of his victims

Ilipoingia awamu ya tano kulikua na mixed opinions huku wengine wakidai hatima yake itakua kama ya Sabaya na wengine wakisema haiwezekani ikawa hivyo kwa sababu yupo karibu au wanaelewana sana na mama, kwamba ataendelea kupata protection ya kutowajibishwa kwa maovu aliyowafanyia watu

Kumuona leo analalamika kinyonge kua anaonewa kwa kunyang'anywa nyumba(imani yangu hakuipata kihalali) inathibitisha kwamba waliosema habari yake imekwisha na wala hana zile powers alizokua nazo awamu iliyopita wapo sahihi

Pengine hayatamkuta ya Sabaya lakini lililo wazi ni kwamba hataendelea kuumiza, kudhulumu na kupora watu kwa vitisho. Mama hawezi kumuachia ayafanye hayo.
 
Back
Top Bottom