Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake

Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake

Nafuu enzi hizo ambazo mtu binafsi anakuuliza "je unajuwa mimi ni nani?" Kuliko kipindi cha Magufuli amnapo DC au RC anatembea na AK-47 kunyang'anya fedha kwa wananchi ambao anapaswa kuwaongoza.
Dah ni kweli mkuu, kiongozi ndo tegemeo letu alafu anakuwa mtu Kama sabaya!

Sasa tufanyaje ili tufike mahali hakuna mtu anamtishia maisha raia mwenzake? sio kiongozi sio mtu binafsi
 
Kwa hiyo wewe hukuwa Tanzania? Hujui aliyemuuwa Ben Saanane? Azory Gwanda? Hujui nani alikuwa kinara wa kundi la WASIOJULIKANA? Waliommiminia risasi Tundu Lissu?
Makonda ndo alikua frontman wa matukio yote hayo, na yeye anastahili mateso makali sana sasahivi.

Lakini boss GSM sio mtu anaetakiwa kufanya ufala huo, afanye kichaa mwingine uko!
 
Mkuu kwahiyo wewe ni mtu wa karibu sana na bashite [emoji1787]
Mimi niwe mtu wa karibu na bashite? Naanzaje?
Namaanisha watu wanaojua hayo, unahisi anavyomiliki gsm watu hawavijui au anavyomili bashite watu hawavijui mpaka wawe karibu yao?
 
EEh na mali ya zaidi ya billion 2 (kwa jumba moja tu) kwa muda mchache alioajiriwa ni akiba kutoka mshahara wake, au siyo?
images (4).jpg
 
Kwani kazi ya Bastola ni nini? Au unadhani ile ni wallet? Yaani umiliki Bastola kihalali halafu pimbi mmoja kama Makonda anakuletea UJINGA, utakuwa huna sababu ya kumiliki Bastola hiyo?
Haya ndio sasa hivi yanamtesa bashite. Kutishiatishia bastola watu bila sababu ni upumbavu.
Mabishano yao hayakuhitaji kutumia bastola maana hawakuwa wanapigana Bali wanaongea
Yaleyale ya nape na yule afande. Ni ujinga tu
 
Yoote sawa....lakini TAKUKURU wameomba mwenye ushahidi wa haya mambo aupeleke kwao.
Mnasubiri nini kupeleka huko?

Humu kijiweni kwenu sio TAKUKURU...

Humu ni kijiwe majungu tu.
Tartiibu, inaanzaa kumyeshea, unafikiri mpaka Ghalib aprudishiwe nyumba yake hakuna kesi iliyotoa maamuzi?

Watu wanakusanya ushahidi tu, kaanza Kubenea, kaja Ghalib, bado wengine wengi sana, hapo subiri kasheshe la Manji na jamaa zake. Bado MO, bado mabilionea wa sembe, bado matajiri wengi sana waliodhulumiwa, bado kina Ridhwan, bado kina Nape, bado wengi sana wapo kwenye mlolongp kama sio wao. Unafikiri yule msema ovyo aliyehenyeshwa na na The Spy alikuwa anapewa kichwa na nani kama si kina Makonda? watu wanalipa visasi bila kuwemo kwenye picha, tartiiiiiiiib.

Na kama huyo jamaa aliwahi kucheza kijinga na "The King Maker", ujuwe maisha yake yapo mashakani mpaka aingie kaburini mmoja wao.

Eeh jamani, Makonda ni heri akimbie nchi akatafute ukimbizi Canada au Belgium, kina Lisu wanaweza kumsaidia, awaangukie tu.
 
Tartiibu, inaanzaa kumyeshea, unafikiri mpaka Ghalib aprudishiwe nyumba yake hakuna kesi iliyotoa maamuzi?

Watu wanakusanya ushahidi tu, kaanza Kubenea, kaja Ghalib, bado wengine wengi sana, hapo subiri kasheshe la Manji na jamaa zake. Bado MO, bado mabilionea wa sembe, bado matajiri wengi sana waliodhulumiwa, bado kina Ridhwan, bado kina Nape, bado wengi sana wapo kwenye mlolongp kama sio wao. Unafikiri yule msema ovyo aliyehenyeshwa na na The Spy alikuwa anapewa kichwa na nani kama si kina Makonda? watu wanalipa visasi bila kuwemo kwenye picha, tartiiiiiiiib.

Na kama huyo jamaa aliwahi kucheza kijinga na "The King Maker", ujuwe maisha yake yapo mashakani mpaka aingie kaburini mmoja wao.

Eeh jamani, Makonda ni heri akimbie nchi akatafute ukimbizi Canada au Belgium, kina Lisu wanaweza kumsaidia, awaangukie tu.
Ulivyowataja nape na Ridhiwani utafikiri hao Ni malaika, kumbe washenzi watupu.
 
Back
Top Bottom