Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Unajuaje labda ni kipato cha mkewe au urithi?... Pengine kabla ya kuingia kwenye uongozi huenda alikuwa na miradi yake.....EEh na mali ya zaidi ya billion 2 (kwa jumba moja tu) kwa muda mchache alioajiriwa ni akiba kutoka mshahara wake, au siyo?