Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake

Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake

Wewe hufuatiliagi mambo? Unasubiiri Mwarabu au Muislamu mwenye hadhi kubwa apate scandal ndiiyo uonyeshe interest.
Matusi ni jadi yenu, nafahamu hayo ndio mnayofundishwa kwenu, hakuna siri.

Sasa hapa "scandal" la nani? Naona kwako Makonda ni "Mwarabu au Mwislamu".

Au hujamsikia analalamika kama mtoto aliyenyimwa ice cream aliponyang'anywa nyumba na kurudi kwa wenyewe? Ukiangalia huoni basi hata kusikia husikii?

Tunafahamu mashabiki wa "sukuma gang" mmeumia sana, lakini ndio muipokee tu ingawa inawauma.
 
Watu wakiweka Mali za Ridhiwani si tutakimbiana hapa.
Si vyema kuchagua upande,wote hao hutumia nafasi za kupora
Sasa unataka kumfananisha Ridhwan na Bashite? Tuoneshe Ridhwan alimdhulumu nani? Umesahau huyo bashite alikuwa anamvalisha viatu Ridhwan mpaka kumfunga kamba za viatu mwanamme mwenzie, asiye na haya huyo. Huyo utamfananisha na aliyekuwa anamwekea kiatu amfunge?

Vipi Bashie, hajambo?
 
Kubali akili kubadilika kulingana na mazingira, hiko kiwanja bashite alinunua toka 2013 na wote karibu hao wanajua na sisi tunajua kutokana na ukaribu walio nao kipindi hiko.
Naa aliyemsaidia bashite kupata kiwanja kutoka kwa GSM ni huyohuyo dogo ambae sasa hivi hawaelewani kwa sababu zao za kimaslahi na kugeukana.
Hii kusema ni fake document achana nayo. Msiwe mnabisha hata kwa vitu ambavyo walio karibu huko wanajua

Ushauri tu, usijenge chuki
Mkuu kwahiyo wewe ni mtu wa karibu sana na bashite 🤣
 
Kamuulize makonda hiyo ndo document ya 2013 ambayo makonda anadai inampa uhalali wa kumiliki hilo eneo
Kumuuliza haiwezekani, kama kuna doc's zingine za nyuma alizowahi kusign akiwa mkuu enzi hizo yeyote mwenye access nayo azirushe tuone.
Imekaa ki-kiburi/kidharau sana
 
Gharib atakuwa na mali nyingi sana maana ni mwaka sasa umepita tangu Godfather wa bashite arudi mavumbini.

Hii plot ni wazi atakuwa alishaisahau maana kama ingekuwa ni mimi nimedhulumiwa ningeidai punde tu baada ya kuvunja tanga la hayati.

Bado Gharib hakupaswa kupiga risasi, nadhani kwa 'ukubwa' wake kauli yake tu inatosha kuwa nzito kuliko mlio wa risasi!

Napata mashaka kama lengo lake ni kudai hio mali, maana ana'resources' za kumwaga kuichukua mali yake kwa wepesi tu kama anamsukuma mlevi.

Why now?
Gharib wa kufyetua risasi?
 
Bado Gharib hakupaswa kupiga risasi, nadhani kwa 'ukubwa' wake kauli yake tu inatosha kuwa nzito kuliko mlio wa risasi!

Napata mashaka kama lengo lake ni kudai hio mali, maana ana'resources' za kumwaga kuichukua mali yake kwa wepesi tu kama anamsukuma mlevi.

Why now?
Gharib wa kufyetua risasi?
Kwani kazi ya Bastola ni nini? Au unadhani ile ni wallet? Yaani umiliki Bastola kihalali halafu pimbi mmoja kama Makonda anakuletea UJINGA, utakuwa huna sababu ya kumiliki Bastola hiyo?
 
Gharib atakuwa na mali nyingi sana maana ni mwaka sasa umepita tangu Godfather wa bashite arudi mavumbini.

Hii plot ni wazi atakuwa alishaisahau maana kama ingekuwa ni mimi nimedhulumiwa ningeidai punde tu baada ya kuvunja tanga la hayati.

Bado Gharib hakupaswa kupiga risasi, nadhani kwa 'ukubwa' wake kauli yake tu inatosha kuwa nzito kuliko mlio wa risasi!

Napata mashaka kama lengo lake ni kudai hio mali, maana ana'resources' za kumwaga kuichukua mali yake kwa wepesi tu kama anamsukuma mlevi.

Why now?
Gharib wa kufyetua risasi?
Gharib alishawahi kulalamikiwa toka enzi za Kikwete kwamba alikuwa ana tabia ya kuwafyatulia risasi wafanyakazi wake wanaomuudhi.
 
Kwani kazi ya Bastola ni nini? Au unadhani ile ni wallet? Yaani umiliki Bastola kihalali halafu pimbi mmoja kama Makonda anakuletea UJINGA, utakuwa huna sababu ya kumiliki Bastola hiyo?
Makonda anaweza kuwa pimbi ila wewe ndo pimbi zaidi yake! Ukoo wako wote mkijikiusanya mmufikii hata robo kimaisha!
 
Kwani kazi ya Bastola ni nini? Au unadhani ile ni wallet? Yaani umiliki Bastola kihalali halafu pimbi mmoja kama Makonda anakuletea UJINGA, utakuwa huna sababu ya kumiliki Bastola hiyo?
Ni ujinga gani huo uliosababisha mpaka jamaa akapiga risasi, Mimi sikuwepo hebu tueleze ilivyokuwa mkuu!
 
Gharib alishawahi kulalamikiwa toka enzi za Kikwete kwamba alikuwa ana tabia ya kuwafyatulia risasi wafanyakazi wake wanaomuudhi.
Basi kwa maelezo hayo ni dhahiri tumerudi zile enzi za "unajua mi ni nani", polisi kunaswa makofi mbele ya kadamnasi na matajiri etc tec.

Matajiri wa namna hii nawafahamu wengi tu, kipindi cha magu wote waliufyata mkia!
Lakini dawa yao inakuwaga ndogo tu (kumla mkewe na kumtumia ushahidi sura ya mlaji ikiwa blurred)
 
Makonda anaweza kuwa pimbi ila wewe ndo pimbi zaidi yake! Ukoo wako wote mkijikiusanya mmufikii hata robo kimaisha!
Kwani ninahitaji kushindana na pimbi Makonda ili iweje.? Ni maisha gani unafikiri anayo? Maisha ya kuua na kuteka watu?
 
Basi kwa maelezo hayo ni dhahiri tumerudi zile enzi za "unajua mi ni nani", polisi kunaswa makofi mbele ya kadamnasi na matajiri etc tec.

Matajiri wa namna hii nawafahamu wengi tu, kipindi cha magu wote waliufyata mkia!
Lakini dawa yao inakuwaga ndogo tu (kumla mkewe na kumtumia ushahidi sura ya mlaji ikiwa blurred)
Nafuu enzi hizo ambazo mtu binafsi anakuuliza "je unajuwa mimi ni nani?" Kuliko kipindi cha Magufuli amnapo DC au RC anatembea na AK-47 kunyang'anya fedha kwa wananchi ambao anapaswa kuwaongoza.
 
T

Taja aliowaua na kuwateka? Ndo maana nakwambia wewe ni Pimbi hasira zako za maisha peleka kwenu huko!
Kwa hiyo wewe hukuwa Tanzania? Hujui aliyemuuwa Ben Saanane? Azory Gwanda? Hujui nani alikuwa kinara wa kundi la WASIOJULIKANA? Waliommiminia risasi Tundu Lissu?
 
Back
Top Bottom