Pride ni yale maandamano ya mashoga, dyed hair, ni vile wengi shoga wanavyopendelea kutia rangi rangi katika nywele zao. Hicho kitabu kina viashiria vya ushoga.Maana yake nn hayo maneno
Babu kageuka malkia, bado wengine hamuoni nini kinaongelewa hapa?!Ongeza na hii
View attachment 2889873
''Alijipodoa na akaenda kama malkia''"He put on makeup and went as a queen".
Kupaka make up kama kina Joti asha ngedele ?Kama hamjui kiingereza kaeni kimya.
Kuna sentence hapo mfano.
"He put on makeup
And went as queen"
What does it imply? Mwanaume anapaka makeup? Mwanaune anaweza kuwa malkia?
hata kwako unafanywa mbona unapika kelele sana. Unaujua ndiyo maana unapiga kelel sana. wewe mambo ya chumbani yanakuhusu nini> Nakwambia pwani mna tabia hiyo (najua mtatukana)Wewe jisemee nafsi yako kuwa ushoga unafanya sana nyumbani kwako usitafute kampani.
Hao ndio walewale tuBabu kageuka malkia, bado wengine hamuoni nini kinaongelewa hapa?!
Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
Serikali ingeweka sheria kwa hawa wasanii hasa wa vichekesho.View attachment 2889906
View attachment 2889907
View attachment 2889909
Hawa ndio waeneza ushoga namba moja kwa kujificha kwenye mwavuli wa sanaa
Duuuh,neno gani hapo linaashiria ushoga mkuu??
As a queen???"He put on makeup and went as a queen".
Walikuwa wanasoma huku wamefumba machoBabu kageuka malkia, bado wengine hamuoni nini kinaongelewa hapa?!
Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
Maudhui yaliyomo ndani ni ya kuharibu watoto wetu.Hapo kuna ushoga gani
Soma kwa makini mkuu.Duuuh,neno gani hapo linaashiria ushoga mkuu??
Wengine kimombo kimetutupa kidogo
Tuanzie na waigizaji wa bongo wanaojivalisha kama wanawake.Kama hamjui kiingereza kaeni kimya.
Kuna sentence hapo mfano.
"He put on makeup
And went as queen"
What does it imply? Mwanaume anapaka makeup? Mwanaune anaweza kuwa malkia?
Unamaanisha hii ndio evidence ya content ya ushoga iliyopo kwenye hicho kitabu sio?