Utii ukizidi unakuwa uoga na ukiendelea unakuwa mnafiki.....huwezi pishana kiswahili na boss hadharani . ndiyo tumefundishwa hivyo
kwa lilitokea clouds tukiaaminishwa kwa video ya cctv camera ikiwa hata polisi hawajui kwa vile halijalipotiwa plus malalamiko ya mitandaoni sio suala la kumwinua waziri kulivalia njuga ikiwa hata mkuu wa wilaya haelewi chochote. kwa hiyo unagundua kuwa waziri alikurupuka kwa masilahi yake binafsi. lkn isitoshe hata baada ya Mh Rais Dr JPM kutoa tamko kuwa wamwache Mh Mkuu wa Mkoa achape kazi tuachane na mambo ya mtandaoni ilikuwa ni maelekezo tosha kuwa waziri anakurupuka lkn bado waziri Nape aliunda tume kuzzihirisha kuwa anakinzana na kauli za rais. watanzania tufike wakati tutambue nafasi ya rais ktk nchi na mamlaka aliyonayo. tulizoeshwa vibaya tunamchukulia rais kama balozi wa nyumba kumi au mwenyekiti wa kijiji ndiyo maana kila kitu tunahoji hoji ,... nashukuru kwa kupata rais mwenye misimamo tutanyoka tuSasa NAPE alichokosea nn?zaidi ya kumwona BASHITE ana hatia kuvamia clouds... nani asiejuwa kama... UKIMWONA SWALA ANARINGA MBUGANI...elewa ana undugu na SIMBA..na chui MJOMBA WAKE..
ndiyo yale sasa anapita kupiga piga kelele hadi anasahau naye alituletea za kuleta kwenye bunge live, sheria ya vyombo vya habari na kushinikiza cybercrime. na mijitu ilivyo mishabiki shabiki hata haimuulizi vipi bunge live, inamwita shujaa shujaa wa wapi.Utii ukizidi unakuwa uoga na ukiendelea unakuwa mnafiki.....
Sasa, ukishaona hivyo unasimamia unachoona ni sahihi. Kwasababu boss ni binadamu kama wewe wala siyo malaika
wapasulie ukweli siyo wanaleta ushabiki ushabiki tu hapa . Mh Rais wanyosheeeeeSALARY SLIP, YAANI WEWE UNATAKA DR.MAGUFULI AJIREKEBISHE KIVIPI SASA.ARUHUSU WIZI WA FEDHA ZA SERIKALI ? ARUHUSU MANUNUZI HEWA SERIKALINI ? ARUHUSU WATU WAJIONGEZEE KIPATO KWA NJIA ZA DILI ? KAMA NYIE WACHACHE MLIOZOEA KUPATA FEDHA ZA DILI BILA YA KUFANYA KAZI HALALI MNAMCHUKIA MH.RAIS, ANDIKENI TU KWAMBA MMEUMIA.SISI TUNAOMPENDA NINA UHAKIKA TUKO WENGI KULIKO NINYI.MHESHIMIWA RAIS ENDELEA KUWANYOOSHA.SISI TUNAENDELEA KUKUOMBEA KWA MUNGU AENDELEE KUKUJALIA AFYA NJEMA NA MAISHA MAREFU KAMA MZEE MWINYI(RUKSAA) NA MZEE MUGABE(RAIS WA ZIMBABWE).
Ina maana hata wewe wakubwa zako wakitaka kukula 0713 hutokataa?mapokezi si alijiandaa ulitegemea iweje. katumbuliwa katumbuliwa tu akajifunze upya kuheshimu wakubwa zake wa kazi
kwanza si ndiyo huko alishinda kwa goli la mkonoMi nna uhakika 100% hao watu Nape amewaandaa tu ili apate kick. Watu wa Mtama hawawezi kujaaa ktk mkutano wa Nape. Yeye mwenyewe anajua vizuri wananchi wake wakoje
Mkuu, haya machadema ni majinga sanaSALARY SLIP, YAANI WEWE UNATAKA DR.MAGUFULI AJIREKEBISHE KIVIPI SASA.ARUHUSU WIZI WA FEDHA ZA SERIKALI ? ARUHUSU MANUNUZI HEWA SERIKALINI ? ARUHUSU WATU WAJIONGEZEE KIPATO KWA NJIA ZA DILI ? KAMA NYIE WACHACHE MLIOZOEA KUPATA FEDHA ZA DILI BILA YA KUFANYA KAZI HALALI MNAMCHUKIA MH.RAIS, ANDIKENI TU KWAMBA MMEUMIA.SISI TUNAOMPENDA NINA UHAKIKA TUKO WENGI KULIKO NINYI.MHESHIMIWA RAIS ENDELEA KUWANYOOSHA.SISI TUNAENDELEA KUKUOMBEA KWA MUNGU AENDELEE KUKUJALIA AFYA NJEMA NA MAISHA MAREFU KAMA MZEE MWINYI(RUKSAA) NA MZEE MUGABE(RAIS WA ZIMBABWE).
tatizo la wabongo huwa hawataki kubishana kwa hoja wanahama key au wanahama mada. concentrate kwenye point. umesikia nape aliombwa hiyo? twende kwenye hojaIna maana hata wewe wakubwa zako wakitaka kukula 0713 hutokataa?
Jinyonge tujue uko upande wa mkulu au napeAcha kuchochea, karudi jimboni kwake ulitegemea iweje!?
Tena hao mbona sio wanamtama wote. Ungeona wenzake wa CCM waliokaa meza kuu, walivyokuwa hawampigii makofi kwa mengi aliyoongea ndio ungejua kuwa anachemka na leo kajionyesha zaidi kuwa ni mtu hatari wa mabaya.
Mtanyooka tu
"Tulipigana tukiamini Tanzania iko salama chini ya Chama Cha Mapinduzi, bado nina amini Tanzania bado itakuwa salama kama Watanzania hususani vijana watasimama kusema ukweli, akikosea mtu hata awe mkubwa mpaka Mbiguni akikosea lazima aambiwe ukweli" Nape Nnauye
Idadi ya wanaomtolea uvivu dikteta uchwara inazidi kuongezeka tu. I hope hii trend itazidi kushamiri na huyu jamaa kukosa support kabisa ya kuendelea kuwa Rais wa nchi kama akiamua kuendelea na udikteta uchwara wake wa kudharau Bunge na katiba na pia kutotaka kumsikiliza yeyote yule kwa sababu tu ana Phd yake uchwara ya kubangua korosho hivyo kujiona anajua sana kuliko yeyote yule nchini.
Alutta continua! continua!
Inaonekana unajua vitu vingi sana vya Nape au wewe ndiye MRS wake?Mi nna uhakika 100% hao watu Nape amewaandaa tu ili apate kick. Watu wa Mtama hawawezi kujaaa ktk mkutano wa Nape. Yeye mwenyewe anajua vizuri wananchi wake wakoje
Jinyonge tujue uko upande wa mkulu au nape
sawa atakuwa rais
ila kesho kabishane na bosi wako uone itakuwaje