randez vous
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 890
- 621
Hamna mhaya wa hivi duniani kote....Acha kuzalilisha wahayaWa Makonde hizi nimila zao.. hata wahaya hufanya hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna mhaya wa hivi duniani kote....Acha kuzalilisha wahayaWa Makonde hizi nimila zao.. hata wahaya hufanya hivyo
Anapiga kotekote. Ukitaka kujua ccm na Mwenyekiti wake wamepigwa bao la mkono, angalia Nape alivyovaa. Kwanini hajavaa kijani???Bao la mkono ilo
le big tumboz sio dadaHuyo dada nahisi kuna namna ameweka alert thread ikianzishwa huyoo keshajibu fasta...
yuko Fasta kumshinda Bashite mwenyewe
mama yako aliolewa na baba yako tayari ushazaliwa mkuuHii ni mila ya kwao wamakonde msichanganye na siasa.
Nakumbuka hata mama wangu alipoolewa alitembea Kama Nnape juu ya wamama wengine ikiwa ni ishara ya heshima. Ametukuka....
Aaaaahmapokezi si alijiandaa ulitegemea iweje. katumbuliwa katumbuliwa tu akajifunze upya kuheshimu wakubwa zake wa kazi
Magu atafanya hivyo KWA FAMILIA IPI..?? Au umemjulisha mpk Makonda kama first born wake..??mkuu wewe mgeni humu nini? pole
mimi sio CCM na wao wanajua!!
dudu CCM lilivyo haina mwenyewe!! kama sivyo Lowassa asingeondoka, wala Nyerere asingeweza kushindwa kumueka rais wake, mkapa hakuweza kumuweka rais wake
Nape aende chadema, atafanya siasa nzuri , CCM kaishaharibu, bosi wake ndie mwenyekiti wake
kumbuka awamu ya pili JK alipiga kampeni na familia yake tu!!! Magu atafanya hivyo na kwa sababu tume ni yao atashinda
epuka kutokuwa mkweli, na mtu akitofautiana na wewe usimchukulie yuko upande mwingine,
watanzania mmekuwa mazombie kwa kweli
sawa batuliAcha kuchochea, karudi jimboni kwake ulitegemea iweje!?
Tena hao mbona sio wanamtama wote. Ungeona wenzake wa CCM waliokaa meza kuu, walivyokuwa hawampigii makofi kwa mengi aliyoongea ndio ungejua kuwa anachemka na leo kajionyesha zaidi kuwa ni mtu hatari wa mabaya.
Mtanyooka tu
Link Mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii;;WAZO LA PINDA;mpumbavu huyu, kwa ujinga wake kaondolewa cheoni analia
ahame chama aende chadema kisha agombee, huwezi kuwa mpinzani wa bosi wako ukaangaliwa, yeye nani??
walijiandaa kuuondoa magufuli amegunduliwa mapema sana
na leo kathibitisha kuwa Magufuli hakukosea kabisa kabisa!
kama alikuwa na majibu ya kamati kwa nini aliunda kamati? alikuwa anampumbaza nani? mpuuzi huyu
na ndio mwisho wake, mark my words
mozes nnauye hakuwa mjinga hivi
Mwambie huyo.Acha kufananisha uchi na vitu vya kijinga!
Wee ukiambiwa uwe hanithi ili uwe Waziri wa habar utakubali?
Madawa ya kulevya.. hilo ndio jibu la yote hayo ulouliza.Tunahitaji majibu ya maswali haya kuhusu utekaji
1: Watekaji ni kina nani?
2: Wamekamatwa?
3: Waliwateka wasanii kwa ajili gani? (What were they demanding)
4: Waliteswa?
5: Kuna ushahidi wa majeraha? Au damu kutoka kwa aina yeyote ile.
6:Studio kuna CCTV camera? If yes zilishika sura za watekaji?
7: Wameachiwa huru au police wamewaokoa? Hao mashujaa/police ni akina nani? Tunaweza kuwajuwa tuwapongeze?
8: Wasanii wanaweza kutoka hadharani mubashara nakutuelezea kilichotokea ili tuwatizame machoni?
Nikipata majibu ya haya maswali nitakuja na mengine 10.
Hahahaha kwashakoo, na kweli!Mtanyoooka tu!
Akina nani watanyooka?Nape?
Hujielewi wewe?Nenda kapime kwashakoo