Video: Nape alipoangua kilio hadharani jimboni kwake Mtama

Video: Nape alipoangua kilio hadharani jimboni kwake Mtama

Pole Nape kaka yangu na haya ndiyo malipo ya bao la mkono,hakika malipo ni hapahapa na dhambi ya kuzuia mabadiliko itakugharimu sana.
Angalia ulikotika na ulipo sasa ndipo utakapojua ya kuwa ukiwa ccm umelaaniwa na viumbe vyote.
 
Nape lazima arudishwe kwenye cheo chake cha uenezi. Kazi za utendaji haziwezi. Huu ni mchezo wa siasa. Performance ya hawa watoto wa kambo akina Polepole ipo very shabby. Polepole arudi kwenye uanaharakati, na nape arudi kwenye siasa. Hapo kutakuwa na balance.

I doubt if this is a genuine move. All these are staged events......................... See you later...
 
Ila nape alikuwa ndio ananza kufit kwene ile kitengo cha uwazi japo walisema hawezi but angeendelea kuwepo ile idara ingefika mbali kwa kweli,,
 
Hii ni mila ya kwao wamakonde msichanganye na siasa.

Nakumbuka hata mama wangu alipoolewa alitembea Kama Nnape juu ya wamama wengine ikiwa ni ishara ya heshima. Ametukuka....
mama yako aliolewa na baba yako tayari ushazaliwa mkuu
 
Nape bado namkubali na nina muombea Mungu Magu amfikirie tena
 
Completely staged. Msimtumainie Nape. Yeye sie masihi wa nchi hii. He is sent by the chief conspirator. Your enemy is the chief conspirator
 
Wamekosea sana ao wamama kuweka mikundu yao apte nape, nayeye nape km kapita kafanya bonge la kosa
 
mkuu wewe mgeni humu nini? pole

mimi sio CCM na wao wanajua!!

dudu CCM lilivyo haina mwenyewe!! kama sivyo Lowassa asingeondoka, wala Nyerere asingeweza kushindwa kumueka rais wake, mkapa hakuweza kumuweka rais wake

Nape aende chadema, atafanya siasa nzuri , CCM kaishaharibu, bosi wake ndie mwenyekiti wake

kumbuka awamu ya pili JK alipiga kampeni na familia yake tu!!! Magu atafanya hivyo na kwa sababu tume ni yao atashinda

epuka kutokuwa mkweli, na mtu akitofautiana na wewe usimchukulie yuko upande mwingine,

watanzania mmekuwa mazombie kwa kweli
Magu atafanya hivyo KWA FAMILIA IPI..?? Au umemjulisha mpk Makonda kama first born wake..??

Usifananishe support aliyokuwa anapata JK kutoka katika familia yke kisiasa, na familia ya Magu. Mke wake mwenyewe anaonekana kwa machale kma Kakakuona, na anaonekana akiwa very cool. Mtoto binafsi sijawahi kumuona zaidi ya kumsikia jina.

JK anaonekana ana happy family, na wanasapotiana sn baba, mama na watoto. Hta kama wana matatizo yao ya kifamilia, bas thank God wameweza kuyaficha kiasi.
 
Hivi ni kweli nape kapita juu ya hao wa mama ? Aaaqh kma kweli mkuu hapao kidogo umekosea jaman ..ni m
Kweli?
 
Acha kuchochea, karudi jimboni kwake ulitegemea iweje!?

Tena hao mbona sio wanamtama wote. Ungeona wenzake wa CCM waliokaa meza kuu, walivyokuwa hawampigii makofi kwa mengi aliyoongea ndio ungejua kuwa anachemka na leo kajionyesha zaidi kuwa ni mtu hatari wa mabaya.

Mtanyooka tu
sawa batuli
 
mpumbavu huyu, kwa ujinga wake kaondolewa cheoni analia

ahame chama aende chadema kisha agombee, huwezi kuwa mpinzani wa bosi wako ukaangaliwa, yeye nani??

walijiandaa kuuondoa magufuli amegunduliwa mapema sana

na leo kathibitisha kuwa Magufuli hakukosea kabisa kabisa!

kama alikuwa na majibu ya kamati kwa nini aliunda kamati? alikuwa anampumbaza nani? mpuuzi huyu

na ndio mwisho wake, mark my words

mozes nnauye hakuwa mjinga hivi
Link Mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii;;WAZO LA PINDA;
 
Tunahitaji majibu ya maswali haya kuhusu utekaji
1: Watekaji ni kina nani?
2: Wamekamatwa?
3: Waliwateka wasanii kwa ajili gani? (What were they demanding)
4: Waliteswa?
5: Kuna ushahidi wa majeraha? Au damu kutoka kwa aina yeyote ile.
6:Studio kuna CCTV camera? If yes zilishika sura za watekaji?
7: Wameachiwa huru au police wamewaokoa? Hao mashujaa/police ni akina nani? Tunaweza kuwajuwa tuwapongeze?
8: Wasanii wanaweza kutoka hadharani mubashara nakutuelezea kilichotokea ili tuwatizame machoni?
Nikipata majibu ya haya maswali nitakuja na mengine 10.
Madawa ya kulevya.. hilo ndio jibu la yote hayo ulouliza.
 
Kwa serikali, uovu mdogo hufunikwa kwa uovu mkubwa zaidi. Inategemea zaidi ni nini,,,,,,,,,,,,,,,
 
Back
Top Bottom