MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Huyu mama yuko simple na mkweli, anaeleza kama ilivyo na kuwa tayari kurekebisha badala ya kutukana au kulaumu laumu mabeberu.....
Binafsi huwa nimewachoka na kuwakinai wanasiasa, kwa hii video inaonyesha bado kuna wachache wanaoweza kufuatiliwa....
https://www.jamiiforums.com/data/video/5140/5140584-86773b1d7947ca2dfb9ae2c9549679eb.mp4
Binafsi huwa nimewachoka na kuwakinai wanasiasa, kwa hii video inaonyesha bado kuna wachache wanaoweza kufuatiliwa....
https://www.jamiiforums.com/data/video/5140/5140584-86773b1d7947ca2dfb9ae2c9549679eb.mp4