Tena sisi ndio tunabahati sana ya kujifunza kuwa wenzetu walishindwa wapi sio tuwe kama nyumbu bila hata ya kufikiri.Kwahiyo kupitia mikataba Yao hiyo hiyo unayoisema jibout imeshindwa MAHAKAMANI lakini wewe unataka kujiingiza shauri yenu.
Mvivu ni yule anayeshindwa kutaja hata "TITLE" ya sheria anafanya ukasuku ya aliyosikia.Acha uvivu.
Umeniuliza nimekuelekeza kama umeshindwa usilianzishe.Mvivu ni yule anayeshindwa kutaja hata "TITLE" ya sheria anafanya ukasuku ya aliyosikia.
Sasa we unafikiri warabu wana jeuri ya kumchezea Mzungu? 🤣Wangewatapeli The United Kingdoms and Great Britain?
Tuwe makini ila tunahitaji uwekezaji.Sasa we unafikiri warabu wana jeuri ya kumchezea Mzungu? 🤣
Watawachezea watumwa wao huku Afrika ila sio wazungu.
Ungekuwa na ufahamu ungeshaisema hiyo sheria, lakini huna ndiyo maana unakwepa-kwepa.Umeniuliza nimekuelekeza kama umeshindwa usilianzishe.
Sijui kama hiyo vidio umeisikiliza vizuri na mpaka mwisho.Haina uhusiano wowote na azma ya Tanzania kupanua bandari na malengo yake. Kilichotajwa kuchochea Djiboti kutaka kufanya hivyo ni siasa zao na UAE na hofu zao za kikanda. Sisi Tanzania hatuna uhasama wa aina hiyo.Muhtsari
- Serikali ya Djibouti yavunja Mkataba wa Bandari ya Doraleh na DP World
- Sababu za kuvunja Mkataba ni kutokuwepo kwa maslahi kwa Taifa la Djibouti na rushwa iliyotolewa na mkuu wa bandari
- Serikali ya Djibouti yaishtaki DP World kwa madai ya ukiukwaji wa Mkataba
Serikali ya Djibouti imeamua kuvunja mkataba wa uendeshaji wa bandari ya Doraleh iliyokuwa inasimamiwa na kampuni ya DP World kutoka Falme za Kiarabu. Hatua hii imefuatia uchunguzi uliofanywa na serikali hiyo uliobaini kuwa mkataba huo ulikuwa na masharti yasiyo na tija kwa taifa la Djibouti na ulikuwa umeingiwa kwa njia ya rushwa na aliyekuwa mkuu wa bandari.
Serikali ya Djibouti imesema kuwa imefungua kesi dhidi ya DP World kudai fidia na kurejesha mali zake zilizokuwa chini ya usimamizi wa kampuni hiyo. Serikali pia imesema kuwa itatafuta mshirika mpya wa kuendesha bandari hiyo muhimu kwa uchumi wa nchi hiyo na ukanda mzima.
Pia soma |
Uwekezaji ufanyike ila sio ubinafsishaji wa bandari. Hichi kinachotetewa na walamba asali ni ubinafsishaji. Ni sawa na contract ya kuendeshewa nyumba yako ambapo mwekezaji ana uhuru wa kumgonga mkeo na mabinti zako wakati wowote atapoona inampendeza.Tuwe makini ila tunahitaji uwekezaji.
Lakini ni tahadhari kwetu.Hiyo stori ni ya siku nyingi na Djibouti ameshashindwa kwenye mahakama ya kimataifa.
Hewala si utumwa.Wewe ni kasuku a.k.a Monkey See Monkey Do, mnalishwa maneno tu.
Kwenye Biashara ujanja lazima ukiwa Fala unapigwa.Lakini ni tahadhari kwetu.
Uwe na siku njema ndugu yangu.Hewala si utumwa.
Uwekezaji ndio Dili, uliowazi na ukomo ili baadae tukiona kuna Makampuni ya ndani yenye uwezo na yasiyo na historia ya upigaji kama TICTS yapewe.Uwekezaji ufanyike ila sio ubinafsishaji wa bandari. Hichi kinachotetewa na walamba asali ni ubinafsishaji. Ni sawa na contract ya kuendeshewa nyumba yako ambapo mwekezaji ana uhuru wa kumgonga mkeo na mabinti zako wakati wowote atapoona inampendeza.
Hata kama ya siku nyingi kwann nchi zinajitoa pia somalia 2018 alijtoa na kwann watu wanalalamikia Dp wanyonyajHiyo stori ni ya siku nyingi na Djibouti ameshashindwa kwenye mahakama ya kimataifa.
Usiwe mvivu wa kusoma Habari za Kimataifa, wakati mimi nilipokuwa nafuatilia mgogoro wa Doraleh Port huenda wewe ulikuwa bize na Simba na Yanga, au ulikuwa bize kuchangua nyuzi za kula tunda kimasihara.Hata kama ya siku nyingi kwann nchi zinajitoa pia somalia 2018 alijtoa na kwann watu wanalalamikia Dp wanyonyaj
Piga kelele kuwa wewe ni mmoja wapo wa wapumbavu wa daraja ya juu kabisa gredi AWewe jali ajira, kweni mikataba iliyopita wewe umeumbilia nini, si ni hao hao wa juu ndio wanapiga na kujilimbilizia mali.
Ripoti zote za ofisi ya CAG inaupigaji mbona hulalamiki
Katiba mbovu inayowapa CCM mamlaka ya kimungu mbona huibebei bango?
Hoja zimeshakupotea😆 sasa zimekuanza shutuma.Piga kelele kuwa wewe ni mmoja wapo wa wapumbavu wa daraja ya juu kabisa gredi A
Kwanza shukuru mungu leo unaongea na binadamu mwenye akili nyingi sana kuliko binadamu wa kawaida ....kwa hiyo leo tembea kifua mbale pia msimulie mkeoHoja zimeshakupotea[emoji38] sasa zimekuanza shutuma.