GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
99.999% ya tabia zangu nilizonazo ni za 'Kizanaki' tupu bila kusahau na za 'Kitutsi' lakini pia hapo hapo 'zimechanganyika' na za 'Kiyahudi' sana tu.Hakuna mzanaki mwenye lugha za mtaani namna hiyo, usituharibie sifa ya kabila letu mkuu. Chukua muda wako vizuri uijue asili yako.
Naona unaendeleza tu hapa 'Ujuha' wako ule ule. Na mpaka hivi sasa umekuja Kwangu Kiupole / Kinidhamu hivi bila shaka 'Dozi' yangu imekuingia.Umepatia kwelikweli. 'alitubariki' hakuna baraka na 'akili' kuduhu. Leo umeamkaje wewe mjivuni aso haya bingwa wa matukano?
Kwangu Mimi 'Premier' Benjamin Netanyahu 'alias' BIBI siyo 'Beberu' kama wale 'Wanaomtunza' Tundu Lissu Wenu bali ni 'Think Tank' nimpendae.Hahaha mabeberu wote wako hivyo, kwa hiyo unawabenda?!
Huyo anafahamika kwasababu ni mwanasiasa, wengi ni zaidi ya huyo role model wako.
Wapende wote usibague mabeberu.
'Upumbavu' wako huu kuwa Tundu Lissu alipigwa Risasi na Vyombo vya Dola baki nao Wewe na 'Wapumbavu' Wenzio. Aliyemdhuru mpo nae huko.Kwani Mandela naye alipigwa risasi na vyombo vya dola?!
Kumbuka Mandela alikuwa akipambana kutetea maslahi ya weusi kutoka kwa watawala weupe.
Lisu anapambana na dictator mweusi, na wanatumia vyombo vya dola kumtafuta kumtoa uhai wake.
Mandela hakupigwa risasi, na hakukataliwa matibabu.
The award has nothing to do with us as Tanzanians; that is his personal achievement to lure his masters which he needs to transform into practice at Ikungi and blind spectators.
Where did you learn this kind of Standard Three English language?What a shame? To a wiseman a word is enough. And it will be known tonight where you belong!
Kwa tuliosoma na 'Kubobea' vyema katika 'Saikolojia' tena ile ya 'Kiutendaji' kabisa tuliyofunzwa na 'Myahudi' Kukosea hivi tu ni dalili ya Upumbavu.Mbona una "panic" na typing error bro?. Una hoja gani wewe?.
Usiwalazimishe wananchi wapenda nchi yao wampende mvuruga nchi. Kama wewe unampenda huyo kibalaka wenu endelea kumpenda.
Mwenyezi Mungu ni CCM na CCM imeletwa duniani ( hasa hasa ) hapa nchini Tanzania na Mwenyezi Mungu. Ukiichukia una Matatizo ya 'Akili' sana.Yaani wewe ukiipenda ccm na MUNGU anaipenda CCM, non-sense, who are you by the way?.
Mkuu Wewe pamoja na hiyo GPA yako sijui ya 4.5 ila Mimi kwa hii hii GPA yangu ya 1.5 huna 'ubavu' wa 'Kushindana' nami kwa 'Hoja' tukuka hapa.Sio watu wengi wanakuogopa, Labda ccm wenzio wanakuogopa, hakuogopi mtu, GPA ya 1.5 utaisikia kwenye redio tu bro
Ningekuwa siijui nadhani nisingeweza hata tu Kumtaja Jina lake na yawezekana nikawa najua 'Historia' yake mno tu kuliko 'Popoma' tukuka Wewe.Unaijua historia ya Nelson Mandela kweli wewe?
Unafahamu kuwa karibu nusu ya umri wake wa maisha yake duniani ameuishi akiwa gerezani?
Nje walikuwepo wapiga nia uhuru wengine walioendeleza mapambano na wengi wao wakiwa nje ya nchi kabisa Tanzania tukiwa moja ya "host" ya wapigania Uhuru hao wa SA...
Hata mimi juzi nimempa mke wangu tuzo kwa kunijali na kunihudumia na kunivumilia kwa mapungufu yangu, pia kunizalia watoto wazuri wenye maadili.Video hiyo hapo juu ni David McAllister - Deputy Chairperson of International Democratic Union (IDU) & Member of European Parliament akitoa maelezo mafupi kabla ya kumkabidhi tuzo hiyo Mh. Tundu Lissu.
Na katika video hii hapa chini Tundu Lissu akitoa neno la shukrani baada ya kupokea tuzo hiyo.
Hongera sana Mh. Tundu A. Lissu. Binafsi nakutakia kila la kheri.
Nakubali kabisa kiongozi. Haiwezekani Tuzo eti watu wawili chumba kizima watatu naona ki kamera man.Wazungu wanajua kucheza na akili za wajinga!
Yaani watu wawili ukichunguza vizuri wamekaa ndani ya chumba eti wanakabidhiana tuzo!
Haya maigizo baadaye yataisha na kurudi kwenye uhalisia!
Wahenga walisema, ''wajinga ndio waliwao''.
Acha Kunipangia nini cha Kuandika / Kuchangia hapa JamiiForums kwani huninunulii 'Bando' langu sawa? Unanichukia 'nibloku' tu au hulijui na hili?Naongelea lugha zako za kimtaani zisizokuwa na staha kwa members wenzako hasa pale wanapokuwa na mawazo tofauti na wewe. Hukaukiwi maneno hatari yasiyo na staha hata pale yasipohitajika kutamkwa. Mimi pia ni kada wa CCM tena mkongwe kweli kweli, lakini naheshimu mawazo ya wengine na ninapingana nao kwa hoja, na si kwa maneno yasiyo na kichwa wala miguu.
Una hoja gani wewe "mipasho" tu huna kazi, umejikatia tamaa na maisha.Mkuu Wewe pamoja na hiyo GPA yako sijui ya 4.5 ila Mimi kwa hii hii GPA yangu ya 1.5 huna 'ubavu' wa 'Kushindana' nami kwa 'Hoja' tukuka hapa.
MiNi kweli wanacheza na akili hata za kwako
Leo mnasubiria chanjo ya corona toka kwa mzungu
Mzungu anawatengenezea mpaka simu
Unatumia magari ya mzungu
Wewe unachojua maishani mwako ni kulala na kuamka basi
Mchana unapiga pambio za kusifu, Hufikirii uvumbuzi na ugunduzi
Ahaaa unawaza mabeberu wamsaidie dawa za presha Baba yako huko kijijini kwa kushusha bei ili NHIF waingize kwenye dawa za msingi.
Kuna muda mwanangu akichoka kuangalia katuni huwa nampa simu asome vichekesho vya kwako unavyoandika hapa JF.
Sasa kama unajua nina Mipasho na nimeshajikatia Tamaa pia kwanini bado tu unaendelea Kusumbuka na Mimi? Nikikuita 'Mpumbavu' nitakukosea?Una hoja gani ww "mipasho" tu huna kazi, umejikatia tamaa na maisha.
Mabeberu ndio tunatumia dawa zao, simu zao kuwasiliana, wewe huna akili hata ya kutengeneza kitanda unamwita foreigner BEBEBRU, utabakia kuwa mbuzi JIKE broNakubali kabisa kiongozi. Haiwezekani Tuzo eti watu wawili chumba kizima watatu naona ki kamera man.
Haya ni maigizo ya kitoto. Na tena naoma wazungu wajajuwa watanzania walio wengi hawajuwi haya mambo ya kimtandao hasa hasa wazee walio huko vijijini wanao ipigia kura ccm kila mwaka wa uchaguzi. Hongera Tundulisu kwa kuigiza kama mpigania haki na amani. We ndo stelingi wa kiafrica ulie na roho ya kibeberu.
Labda ww ndio unasumbuka na mimi, mi nsumbuke na wewe Cockroach?. Never manSasa kama unajua nina Mipasho na nimeshajikatia Tamaa pia kwanini bado tu unaendelea Kusumbuka na Mimi? Nikikuita 'Mpumbavu' nitakukosea?
Hata mimi juzi nimempa mke wangu tuzo kwa kunijali na kunihudumia na kunivumilia kwa mapungufu yangu, pia kunizalia watoto wazuri wenye maadili.
Kwa hiyo pia hao kumpa huyo kibaraka wao tuzo sio mbaya,
Pia tanzania nao wamepata tuzo ya kuwa nchi yenye utawala bora na mengineyo,
Kwa hiyo hizo tuzo zake akatunzie huko kwa washirika wake.