Video: Tundu A. Lissu apewa tuzo ya Bush - Thatcher Award (BTA) ya kupigania Uhuru, Haki na Utawala bora toka IDU

Uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho? Kipimo cha ufala hapa JF huwa ni kuisengenya ID ya JF ambayo haitokani na ubatizo msikitini wala kanisani ndiyo maana ID yako ni ya kidwanzi lakini hakuna mwenye mda nayo wapo busy na hoja tu acha ushamba
" Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE.
 
Huna unachokijua zaidi ya kuvuta Bangi kisha kujiona unajua kila kitu kumbe ni mbumbumbu wa kutupwa
" Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE.
 
Umeona kuwakera chadema haitoshi unamfuata na sir God daa aisee
Nashukuru kuwa umegundua kuwa nipo hapa kwa 'Kazi Maalum' tu ya 'Kuwakera' Wapinzani hasa hasa nyie wa CHADEMA na nitawakereni mno tu.
 
TBC hawajatangaza hii habari, wala MAGAZETI yetu hayajaandika, sasa sijui sababu ni nini? A
 
Aisee waliotoa hiyo tunzo wameshaleta madawa wameshaleta ela za corona wameshaleta ela za kusupport budget wameshaleta ruzuku za democracy wameshajega barabara kwa uchache 2 sahv wameamua wampe tunzo lissu
 
Mkuu wasamehe maana hawajui wawazalo wala watendalo.
 
Hongera, sana jitihada ziendelee. Mimi kama mzanzibari namkubali sana Tundu Lisu, hususan anapojadili visiwa vyetu anajipambanua sana na zile itikadi za ukoloni mweusi.

Sijawahi kupata hisia kama Tundu Lisu ana mawazo ya kuwa Zanzibar ni sehemu ya Tanganyika. Kinyume sana na watu kama Lukuvi, Nyerere, S.Sitta n.k ambao wengi huonyesha wazi nia zao dhidi ya jirani yao wa karibu.

Hongera sana mazee, umestahili kupewa tunzo kwa struggle ya watanzania walio wengi.
 
Kwa kweli.. Hapa tu sasa iko ‘in another level’. Leo cement ni bei gani?? Mafuta ya kupikia je?? Maisha hapo mtaani kwenu yakoje vile?? Si wazungu tu, hata sie anaong’ang’ana kutuongoza hatuwezi kumsahau maisha yetu yote.
Hizo bei zitarejea kwenye uhalisia baada ya usafiri kutulia kufuatia matatizo ya Covid-19 kupunga.
 
Unadhani walihitajika wangapi ili wafe kwa kupakazana corona
 
Ki2 gani kikubwa cha kuleta mabadiliko duniani ambacho Mungu atabaikiwa kupitia wewe usiniambie umepata ela. Maan unamtaja sana Mungu ni bado unatukana watu unajisifu afu et Mungu au we ni muabudu jua mzee. Maan kwa maandiko yanasema Mungu hataki watu wanaoshiriki baraza la mizaha. Sas wew humu mpaka umri wako m2 anaeza kudoubt.
 
Unadhani walihitajika wangapi ili wafe kwa kupakazana corona
Uiinga huuo unaongea sasa. Hivi ulicheki kampeni za Marekani wangapi walipakazana corona. Mbona mnataka kufanya kama watu ufikiri wao ni mdogo sana. Lisu aendele kutumika mpaka pale siku atakapo pata akili.
 
Aisee waliotoa hiyo tunzo wameshaleta madawa wameshaleta ela za corona wameshaleta ela za kusupport budget wameshaleta ruzuku za democracy wameshajega barabara kwa uchache 2 sahv wameamua wampe tunzo lissu
Hahahah kwa hiyo kushirikiana washirikiane na serikali kupeana pesa na ruzuku kwa manufaa ya wananchi, lakini inapokuja suala la tuzo anapewa Lissu,, hivi wewe inaingia akilini wewe..Lissu alichofanya Ni Nini...kwanini hiyo misaada hawakumpa basi Lissu ili ailete yeye kwa wananchi...ulishawahi hata siku moja kumsikia lissu anajadiliana na mabeberu kwa issue zinazowafaidisha wananchi hata siku moja...Kama kuwaombea fedha hata za Corona..huoni ajabu..Lissu sanasana anataka mabeberu yawawekee vikwazo wananchi na nchi yote Ili wataabike..tena wakiwamo ndugu zake was damu nao waje wataabike..yeye na familia yake tu waishi Kama peponi..hii in maana hata wanachama wa chadema wataabike...hivi unamwona ana akili huyu jamaa...
 
Aisee waliotoa hiyo tunzo wameshaleta madawa wameshaleta ela za corona wameshaleta ela za kusupport budget wameshaleta ruzuku za democracy wameshajega barabara kwa uchache 2 sahv wameamua wampe tunzo lissu
Hahahah kwa hiyo kushirikiana washirikiane na serikali kupeana pesa na ruzuku kwa manufaa ya wananchi, lakini inapokuja suala la tuzo anapewa Lissu,, hivi wewe inaingia akilini wewe..Lissu alichofanya Ni Nini...kwanini hiyo misaada hawakumpa basi Lissu ili ailete yeye kwa wananchi...ulishawahi hata siku moja kumsikia lissu anajadiliana na mabeberu kwa issue zinazowafaidisha wananchi hata siku moja...Kama kuwaombea fedha hata za Corona..huoni ajabu..Lissu sanasana anataka mabeberu yawawekee vikwazo wananchi na nchi yote Ili wataabike..tena wakiwamo ndugu zake was damu nao waje wataabike..yeye na familia yake tu waishi Kama peponi..hii in maana hata wanachama wa chadema wataabike...hivi unamwona ana akili huyu jamaa...
 
Sas kumpa mtu tunzo kuna athiri nini shughuli za maendeleo watu wanaofany hvo vitu washatimiza unayozungumza wewe kwa hiyo hata wakimpa tunzo hakuna shida plus wale ni taifa jingine so huwezi wapangia matumizi ya rasilimali na muda afu tunzo hajaanza kupewa lissu tu na bado jmaa wamepiga hatua plus sio baba zetu tugawane sawa kila kitu chao
 
Uiinga huuo unaongea sasa. Hivi ulicheki kampeni za Marekani wangapi walipakazana corona. Mbona mnataka kufanya kama watu ufikiri wao ni mdogo sana. Lisu aendele kutumika mpaka pale siku atakapo pata akili.
Kwa hiyo sheria za marekani na ulaya ni sawa mbona ulaya mataifa baadhi yako lockdown sahivi usikariri mzee plus sio grammy zile kwamba lazima mashabiki wawepo
 
Nashukuru kuwa umegundua kuwa nipo hapa kwa 'Kazi Maalum' tu ya 'Kuwakera' Wapinzani hasa hasa nyie wa CHADEMA na nitawakereni mno tu.
Umejuaje upande wangu wakati mi nimezungumza kwa habari ya Mungu 2. Lakin kwa jibu hili unaonesha Mungu kwako ni kama kiunganishi na,kwa coz huna hofu nae. For that case unamaanisha other gods and not the almighty one. Nimekuelewa na asante.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…