Hapa mi naona we ndo hauna akili zaidi.......tena hauhusiki kabisa na akili, unayestahili kushitakiwa ukitaja hiko kitu kwani hakikuhusu.Hauna akili japo unataka uonekane una akili.
Unazungumzia Korosho?? ya Akina Makamba Bilion 60 , na maujinga yanayoendelea chini ya Samia , huyaoni??
Nani aliporwa Mali? JPM alikua mtu wa SHERIA, Samia ni mtu wa Hisia .
Sheria inataka uwe mnyoofu, Hisia zinaweza kukuambia, Mwizi msamehe maana naye anafamilia.
Utachagua unataka wapi!!.
Kawakataze wasilimlilie basiHapa mi naona we ndo hauna akili zaidi.......tena hauhusiki kabisa na akili, unayestahili kushitakiwa ukitaja hiko kitu kwani hakikuhusu.
He was greatest to all of us countryman. He believed in Tanzanians first.To you, yes he was. To others, he wasn't......he was just more of the same.
JPM was greatest leader.Kuna wajinga wameandika kitabu, kabla hakijaanza kutumika, majibu yao wameyapata!
Sijui itabidi wakawatulize kwanza kuwaambia Hayati hakufaa? Sielewi Mimi!
Wale ni wajingawa, wanaolipwa na nape !!Kuna wajinga wameandika kitabu, kabla hakijaanza kutumika, majibu yao wameyapata!
Sijui itabidi wakawatulize kwanza kuwaambia Hayati hakufaa? Sielewi Mimi!
Pole mkuuSijui kwa ni ni nimekuta machozi kwenye mashavu wakati naangalia hii clip.
#Don'knowWhy
Watakua warundi wenzake hao
Hawa wamepigika kweli kweli na maisha usione kelele hiziHii nchi wajinga ni wengi mkuu, Kazi tunayo.
Ila watusi wenzako?Watakua warundi wenzake hao
Wanasisa wala hawajali. Cha msingi ni kuendelea kuweka jina la mtu fulani kama kiunganishi kwenye kika sentensi.
Licha ya hivyo! Kwa nini iwalazimu kumtaja asiyekuwepo?Hao wana shida gani?
Kuonesha watu wakilia na kulamika bila kutueleza hoja yao nini siyo sawa.
Yawezekana wana sababu ya msingi au ujinga wao tu.
Mambo ya kulamika kwa mamlaka za utawala yalikuwepo, yapo na yataendelea kuwepo.
Ni lazima kujua kilio chao kimesababishwa na nini, mamlaka husika zirekebishe
Ungeandika kwa Kiswahili hakuna ambaye angejua kuwa umtupu kwenye hiyo lugha.He was greatest leader indeed.
Watanzania wengi tu ambao ni wazuri kwenye hiyo lugha, lakini kwamba wameibadirisha hiyo lugha kuwa fedha, ni emptyUngeandika kwa Kiswahili hakuna ambaye angejua kuwa umtupu kwenye hiyo lugha.
Dah asee aliepo madarakani ajitafakari iweje wananchi wamkumbuke marehemu inamaana yeye hatoshi kwenye kiti au
Mungu tu ndo anayejua wananchi wanapitia yepi kwa sasa,Dah asee aliepo madarakani ajitafakari iweje wananchi wamkumbuke marehemu inamaana yeye hatoshi kwenye kiti au
Hizi ni Rasha Rasha mvua kubwa itanyesha na itasomba kila kitu ndipo mtakumbuka lile neno mtanikumbuka.😭🤐🤐🤐