Haya maneno na hisia zako za kujifarji haziwezi kufanya Makonda awe mpweke kwa umasikini kama wewe!Endelea kuota ndoto tu.. anahaha maisha ile mbaya.. V8 hakuna sasa anapanda toyo tu mchana na usiku
Kwa hiyo unamuonea wivu?Lone dumb wolf, mkuu wa Mkoa wa hovyo kabisa tangu nchi ipate uhuru, anafua nguo za wanaume tu(ana dry cleaner), na amekodi jengo la NHC Morogoro ilipokuwa CRDB
Makonda anastahili kuwa Rais wetu siku za mbeleniApatiwe barua ya WITO wake wa kwenda Mahakamani haraka sana.
Ndio madhara ya umaskini hayo, kuwathamini watu kutokana na vitu badala ya utuTatizo wabongo wengi tumezoea kuwapa watu heshima kwa vyeo, muonekano, hali ya maisha mfano tajiri, elimu nk.
Kwahiyo mtu akiwa hana hivyo vitu au hali tunamchukulia kawaida sana. Hili ni tatizo!
"Rais wenu", hapo sawa.Makonda anastahili kuwa Rais wetu siku za mbeleni
Niliwaambiaa watu humu, bashite yupo Kama kawaida anaendelea na mishe zake. Kiufupi ni serikali haina nia nae
Analindwa na kukingiwa kifua na Bi tozo
Uliwahi kwenda msiba ukapokelewa na vigelegele au watu kukushobokea? Mleta mada hajielewi
Hakamatiki
Huyu mtandika kitanda wa mwenyekiti ni wa hovyo Sana. Toka gaidi waweke ndani anafuatilia mambo yasiyomhusu, nyumbu hovyo kabisa.
Si mlisema jamaa kajificha
Maisha hayana kanuni.
Mwenye kile kibonzo cha polisi wamemzunguka Jamaa wameshika fimbo za walemavu wa macho nakiomba