Vifo 19 katika ajali ya ndege Bukoba, muuaji apata kazi katika kikosi cha zima moto


Binadamu Hana shukrani. Jitahidi kuwa na moyo wa shukrani. Maji yalianza kuingia kabla dogo hajafungua mlango. Pua la mbele ya ndege lilijigonga kwenye tope likapasuka hivyo kuruhusu maji kuingia. Ndio maana maji yalijaa mbele ya ndege.
 
Mwamba kaamka tu kaamua kumuita mwanaume mwenzake aliejitolea kuokoa maisha eti kijana wa hovyo. Nchi kweli ngumu hii aisee
 
Hata kama yule kijana alikosea lakini alikuwa na nia njema ya kuokoa watu!
Pale jirani nasikia kuna kikosi cha Jeshi cha Navy na Jeshi la anga,sasa hawa walikuwa wanafanya nini?
 
Kazi yenyewe ndani ya jeshi la uokoaji haina mshahara mnono kihivo, punguza wivu kwa mwanaume mwenzako pimbi wewe.
 
Na yule dada alisema walipanda kwenye viti baada ya maji kuwa mengi , na walishaanza kunywa maji maana yalikuwa yameshafika shingoni.
 
Kwa huu upuuzi bora tu nipigwe ban moderators wakiamua.

We jamaa ni msenge sana kvm@ wewe. Kama umeandika kwa ajili ya kupata attention huna tofauti na mash0g@ yanayokatikia wanaume wenzao k√m@ ww.

Wewe ni m$eng£
 
Nadhani ndege iliharibika kwa chini na maji yakaanza kuingia. System ya oxygen inakuwepo lakini ni lazima kuwe na maandalizi ya kutoa zile mask, sidhani kama ilikuwa ni emergzncy landing, itakuwa alikuwa alishindwa kutua ndio hayo yakatokea.
 
Kwa huu upuuzi bora tu nipigwe ban moderators wakiamua.

We jamaa ni msenge sana kvm@ wewe. Kama umeandika kwa ajili ya kupata attention huna tofauti na mash0g@ yanayokatikia wanaume wenzao k√m@ ww.

Wewe ni m$eng£
WACHA TUPIGWE BAN .naona na mie niongeze mtusi mmoja maana kakera sana. MTOA MADA WEWE NI MBWA MSENGE
 
Huu ndio ukweli mkuu
 
Watu watabisha hili andiko ila inatakiwa akili ya ziada kuwa positive na andiko hili, kwa hakika ni aibu sana, mkoa hauna winches, kweli walikosea ha semi trailer mbili za kuivuta Ndege, seems kama kuna mtu wa lazima alipangwa afe.

Andiko lako ndio sahihi kitaalamu, waafrika utaambiwa heri nusu Shari kuliko Shari kamili.

Upande wa Kagera hakuna madivers !? Aibu sana
 
inafikirisha sana, kwahiyo abiria waliokaa mbele hao 19 wakati maji yanaingia walikuwa wamekaa tu kwenye kiti bila purukushani au kuwaza kukimbilia nyuma.

Binafsi naamini kuna walioanza kufa kwa kukosa hewa na wale strong wengi wao ndio hao wamesurvive.

Covid wengine inawaua, wengine inawalaza na wengine ni kama mafua ya kawaida tu, inapokosekana hewa wapo wenye mapafu mazuri wenye uwezo wa kusurvive na wenye mapafu dhaifu ambao ukimnyima hewa 5mins tu safari lazima imkute, kuna wenye pumu humo, wenye pressure na maradhi mbalimbali ambao wakikosa hewa tu lazima wafe.

Fanya zoezi la kubana pua zako na kujizuia kupumua kwa dk kadhaa na ukijiona baada ya dk chache ukianza tena kupumua unapumua juu juu tambua uko hatari incase kwenye dharula kama hizi.

Kuchelewa kwa uokoaji ndio sababu kubwa iliyosababisha vifo vya watu wengi na mamlaka lazima ziwajike juu ya hili, haraka sana baada ya ndege kugusa maji kungekuwa hata na 5 x proffesionals divers + wavuvi naamini watu wote wangetoka salama.
 
Ukishajijua una iq ndogo epuka kujihusisha kwenye mada kubwa kubwa maana kwa kufanya hivo utauepusha ukoo wako na aibu ndogondogo
 
Akili kubwa mawazo yake huonekana na taswira hasi kwa wasio na fikra toshelezi.

Tuheshimu mawazo, chukua muda tafakari, kila awaye miongoni mwetu anayotofauti yenye manufaa, azima akili kwanza kabla hujajamba kwa mikono na kichwa chako.

This guy has a valid point especially for lives lost of the ,19 people, Mkatae ukweli utasimama
 
Kijana kafanya KAZI nzuri Sana anahitaji pongezi kubwa tatizo uokozi kwa njia ya kuivuta ndege ungechukua muda mrefu na wangekufa wengi
 
What if is also valid depending on certain underlying conditions. Who knows vigilance, variety, alternative thinking is also healthy.
 
Kwa huu upuuzi bora tu nipigwe ban moderators wakiamua.

We jamaa ni msenge sana kvm@ wewe. Kama umeandika kwa ajili ya kupata attention huna tofauti na mash0g@ yanayokatikia wanaume wenzao k√m@ ww.

Wewe ni m$eng£
Ukipona,ushukuru
 
Kenge una wivu mbaya sana ww.
Si afadhali jitihada alizofanya kuliko angezubaa wakafa wote.
Mkishiba makande muwe mnaenda choo maybe itasaidia kupunguza nya vichwani.
 
Tushampata aliyemkataza dogo kuvunjs kioo,ww ai ulisema unawasiliana na rubani kioo kisivunjwe mbona mlishindwa kumuokoa rubani??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…