Vifo 19 katika ajali ya ndege Bukoba, muuaji apata kazi katika kikosi cha zima moto

Mleta mada anajua ile ndege ilikuwa ni nyambizi, mjinga sana huyu mleta mada na ana wivu wa kike
 
unaweza kuta mtoa mada anakotoka ndiyo think tank wao! muda mwingine bora kuficha upumbavu wako.
 
Ingekuwa ni issue inayohusu chadema ungewakuta kwenye maji😁😁😁
 
Wivu tu
 
Msimlaumu sio kosa lake,
Hakika tumetofautiana uwezo wa kufikiri..
 
ili kungoja taratibu za uokoaji,

Yani wakae over 24hrs kusubiri taratibu za uokoaji. Usichojua ni kwamba hakuna Rescue team yeyote ya uokoji Kagera nzima.

Mkishashija viporo vyenu mnajikuta experts wa kila kitu.
 

ndege kufanya crush kiasi cha kuua watu maana yake lazima ingekatika vipande viwili au zaidi ,heavy crush kwenye maji ukiwa kwenye speed madhara yangekuwa zaidi ya hayo tena kwa ndege ndogo...

ukiangalia ndege upande wa mbele haujakatika ila ni nose cover imetoka lakini frame ipo intact..
 
Kipimo cha akili unakijua au unajisemesha kisa una smartphone ulonunuliwa na shemeji yako.
Wee jamaa ni mpumbavu sana...inamaana wewe una akili kupita watu wote walio shuhudia tukio hilo. Una akili sana kupita serikali iliyotambua thamani ya kazi yake. Pumbavu kabisa.
 
Hiyo ndege ingevutwa kwa vifaa gani kabla maji hayaja ingia ndani?
Unafikiri ndege ipo sealed kuweza kuzuia maji yasiinie angalau kwa nusu saa?
Ndege ilikuwa imekatika bawa moja, sehemu za matairi zingepitisha maji, injini ilizima kwa hivyo mifumo ya kuzungusha hewa isingefanya kazi, je hao watu wanakaa muda mrefu bila hewa?
Acha wivu na ujuaji.
Kusubiria vifaa vya uokoaji ingefanikisha ulicho shauri kama ingekuwa nchi zilizo endelea wenye vifaa vyote karibu na uwanja wa ndege au watu wa 'rescue' wa ziwani.
 
Mtoa mada ujobless unakupa stress.Sasa wangepata wapi hewa ndani ya ndege wakisubiri huo msaada hewa wa kuvutwa??
 
Muanzisha Uzi lengo limefanikiwa umepata comment sana😂 ila unaakili ndogo sana
 
Kutokana na picha ile pua ya ndege ilipogonga ilikatika ndio ikaingiza maji
 
Yani wewe ulienda kutafuta vitu ili uandike jf na sio walau hata kuivuta hiyo ndege.
 
Kijana wa hovyo ni wewe ambaye ulikuwa unasubiri abiria wote wafe kwa pamoja kwa kukosa hewa kisa tu ndege isiharibiwe
 
Kindly find attached file for your reference.....
 

Attachments

  • IMG-20221108-WA0026.jpg
    83.2 KB · Views: 2
Mwandishi wa hii mada ndiye alizuia kioo kisivunjwe inavyoonekàna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…