Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Hv habari za vifo vya watu halafu unasema naumia upo sawa kweli,

Zingatia huo ushauri wa kufungua group lenu la wasap la watoto wakishua wa obey, humu hutapata ushirikiano dogo.
 
Pia wazungumzie na vijana waliokufa ktm miaka hiyo wanao tokea maeneo ya mbagala kiburugwa, manzese, Tandika, kwa mparange, mabibo, Tabata dampo, chanika, mvuti na maeneo mengine ya uswahilini.
Watu wa ushuani kukumbukwa ni muhimu zaidi kuliko hao unaosema bro. Ni kama tunavyowakumbuka wale 5 waliokufa na submersible Canada na kutojali wahamiaji 100+ waliokufa Greece (wengine kati yao wametokea ushuani huko kwao Pakistan, nk).
Ndio dunia...
 
Sawa mtoto wa kishua!...US , CA, GENEVA
 
Hivi Robert ni yupi huyo? kuna yule somebody Mdachi (Handsome boy aliuwawa kwenye party kwa shutuma ya kushobokewa na mademu wa wenzie)
 
Umepatia kabisa,walihamia Msasani road kutoka apo pa mwanzo....ila we kweli wakishua wa kitambo,unawajua wakishua wengi sana
 
Hv habari za vifo vya watu halafu unasema naumia upo sawa kweli,

Zingatia huo ushauri wa kufungua group lenu la wasap la watoto wakishua wa obey, humu hutapata ushirikiano dogo.
Mkuu, mbona unashida wewe ? Jamaa kaleta hapa mada yake ijadiliwe na wanaofahamu hilo eneo na walikuwepo, wewe kama hukuwepo usichangie

Hapa JF haiwezekani kila siku zije mada ambazo kila mtu ana ufahamu nazo. Hujaona hii mada imewafaa wenyewe na wametambuana

Usimpangie mtu cha kuandika Boss.
 
Asante sana kwa kumueleza huyu jamaa, anashangaza sana , kama mada haimuuhusu yeye anaitaka ya nini? Inamaan hukaa na kusoma mada zote zinazo postiwa humu? mtu a jabu sana huyu .
 
Umepatia kabisa,walihamia Msasani road kutoka apo pa mwanzo....ila we kweli wakishua wa kitambo,unawajua wakishua wengi sana
Kumbe ni hao , aisee, nime kaa sana kule ndio maan nimewajua wengi, halafu kule karibu wote tulikua tunajuana ndio maana imekuwa rahisi kukumbukana , hahahahahahaha
 
Hivi Robert ni yupi huyo? kuna yule somebody Mdachi (Handsome boy aliuwawa kwenye party kwa shutuma ya kushobokewa na mademu wa wenzie)
Ok, Sijui namaaisha "Mdachi" kama a Surname au unamaanisha "Dutch" kama Meuropean , sababu kulikua na kijana mmoja aliitwa Andrew Mdachi alifariki kwa kunywa sumu miaka hiyo sijui una msema huyo ?
Ila kama una manisha Dutch au European , ukimaanisha wale Mixed ,ndio Robert Cathless baba yake na mama yake ni halfcast wa kijerumani , hivyo Robert alikuwa na rangi alikuwa ana shobokewa sana na mademu ila aliye Uwawa kwnye Party ni anaitwa makatta , naye alikuwa hdsomeboy alishobokewa sana na mademu ,Robert aliuwawa mchana meneo nasikia ya hapo karibu na Kwnye Hizyo Towers za hapo sijui ni Uhuru Height mjini ilikua mchana nina dhani una maanisha hivyo aau?
 
itakuwa ndiye huyo Walikuwa halfcast wa kijerumani ila ni wahehe wa iringa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…