Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Chief, kuna simu mpya SamsungA.73 ukiweka data on battery inapungua haraka ndani ya muda mfupi unakuta asilimia zinashuka..
Tatizo laweza kuwa ni nin?
Maana battery ina 5000MAh na ni mpya kabisa.
 
Chief, kuna simu mpya SamsungA.73 ukiweka data on battery inapungua haraka ndani ya muda mfupi unakuta asilimia zinashuka..
Tatizo laweza kuwa ni nin?
Maana battery ina 5000MAh na ni mpya kabisa.
Nenda setting kisha battery angalia hio charge inamalizwa na nini?
 

Nlishafanya hvyo lakini wapiii
 
Huyu jamaa wa kuitwa mr kiuno kanifanya nionekane tapeli...masela wangu niliwashawishi wakalipia baada ya wiki kadhaa tukapigwa pini...jamaa wananikazia hadi sio vizuri

Daah namimi imenikuta hii kitu aisee kuna mdada mmoja kaniunga na izo bando nkakonnektisha watu around kumi hivi khee bando zmekuja kuzima kama luku daah [emoji23][emoji23]
 
Mwezi wa 8 ndo huu, tunafanyaje mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…