Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Wakuu kuna mtu anaitwa mambo ya nyakati amenitapeli sh 20,000 kwa makubaliano kwamba nimtumie aniunge kifurushi.

Nilikuja kutoa onyo hapa ili watu wengine wasimtumie kabla ya kuunganishwa na huduma, Sasa imekuwaje sizioni hizi charting zetu ambazo zilikuwa hapa leo?

Je zimefutwa au imekuwaje hazionekani?
Maxence Melo
 
Wakuu kuna mtu anaitwa mambo ya nyakati amenitapeli sh 20,000 kwa makubaliano kwamba nimtumie aniunge kifurushi.

Nilikuja kutoa onyo hapa ili watu wengine wasimtumie kabla ya kuunganishwa na huduma, Sasa imekuwaje sizioni hizi charting zetu ambazo zilikuwa hapa leo?

Je zimefutwa au imekuwaje hazionekani?
Maxence Melo
Huko juu watu tulikuwa na mashaka nae sana,naona ukaamua uingie King mwenyewe
 
c walitoa onyo aseeee
Jamaa akiona kimya anaanza kusumbua kupiga simu[emoji38][emoji38]
Screenshot_20220911-110401.jpg
 
Wakuu kuna mtu anaitwa mambo ya nyakati amenitapeli sh 20,000 kwa makubaliano kwamba nimtumie aniunge kifurushi.

Nilikuja kutoa onyo hapa ili watu wengine wasimtumie kabla ya kuunganishwa na huduma, Sasa imekuwaje sizioni hizi charting zetu ambazo zilikuwa hapa leo?

Je zimefutwa au imekuwaje hazionekani?
Maxence Melo
Unamtumiaje Mtu Pesa Wakati Hujawa na Uhakika kama si Tapeli.?
 
Wakuu kuna mtu anaitwa mambo ya nyakati amenitapeli sh 20,000 kwa makubaliano kwamba nimtumie aniunge kifurushi.

Nilikuja kutoa onyo hapa ili watu wengine wasimtumie kabla ya kuunganishwa na huduma, Sasa imekuwaje sizioni hizi charting zetu ambazo zilikuwa hapa leo?

Je zimefutwa au imekuwaje hazionekani?
Maxence Melo
Wwe umetapeliwa kizembe sana. Ila ndio ujifunze. Uache kukurupuka siku nyingine uwe unapitia Na Thread za Nyuma
 
Back
Top Bottom