Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Mkuu kwa ushauri wako, niko kutafuta mesh router yenye uwezo wa kuhudumia watu wengi kwa hapa nilipo ofisin floor ya chini yote na ghorofa mbili za juu...naomba unishauri ni ipi inawez kunifaa, nipo naiangalia hii hapa(tp-link deco s4) ila sina uhakika nayo sana kw specification zake, naona km italemewa, ht hivo mimi sjawahi tumia hizi mesh so sina uzoefu nazo, I need some advice...asante chief
Ok, for assuming unahisi watatumia watu zaidi ya wangapi per single connection ili nikujuze router inayofaa.
 
Hii sio promo ya ofa. Ni swali wakuu.


Start of quotation

"OFA OFA OFA KWA LINE ZA HALOTEL TU

CUG BUNDLES YA SIKU 30

15,000
GB 6
SMS 600
DAKIKA 550
VOCHA YA 8,000 - 9,000


25,000
GB 15
SMS 1000
DAKIKA 1100
VOCHA YA 17,000 - 19,000

Nb: hii vocha unaweza kujiunga tena kifurushi chochote kile."

End of quotation



Wakuu hi sio tangazo. Ni swali.
Hii kitu ipo? Nimeikuta kwenye groups kadhaa.
 
Hii sio promo ya ofa. Ni swali wakuu.


Start of quotation

"OFA OFA OFA KWA LINE ZA HALOTEL TU

CUG BUNDLES YA SIKU 30

15,000
GB 6
SMS 600
DAKIKA 550
VOCHA YA 8,000 - 9,000


25,000
GB 15
SMS 1000
DAKIKA 1100
VOCHA YA 17,000 - 19,000

Nb: hii vocha unaweza kujiunga tena kifurushi chochote kile."

End of quotation



Wakuu hi sio tangazo. Ni swali.
Hii kitu ipo? Nimeikuta kwenye groups kadhaa.
Wafuate wakupige za kichwa
 
Hii sio promo ya ofa. Ni swali wakuu.


Start of quotation

"OFA OFA OFA KWA LINE ZA HALOTEL TU

CUG BUNDLES YA SIKU 30

15,000
GB 6
SMS 600
DAKIKA 550
VOCHA YA 8,000 - 9,000


25,000
GB 15
SMS 1000
DAKIKA 1100
VOCHA YA 17,000 - 19,000

Nb: hii vocha unaweza kujiunga tena kifurushi chochote kile."

End of quotation



Wakuu hi sio tangazo. Ni swali.
Hii kitu ipo? Nimeikuta kwenye groups kadhaa.
Ipo mkuu

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
 
Hii sio promo ya ofa. Ni swali wakuu.


Start of quotation

"OFA OFA OFA KWA LINE ZA HALOTEL TU

CUG BUNDLES YA SIKU 30

15,000
GB 6
SMS 600
DAKIKA 550
VOCHA YA 8,000 - 9,000


25,000
GB 15
SMS 1000
DAKIKA 1100
VOCHA YA 17,000 - 19,000

Nb: hii vocha unaweza kujiunga tena kifurushi chochote kile."

End of quotation



Wakuu hi sio tangazo. Ni swali.
Hii kitu ipo? Nimeikuta kwenye groups kadhaa.
Ipo ,natumia
 
Kumbukizi..[emoji24][emoji24]
FB_IMG_1673192396570.jpg
 
Ukiona hivyo wamejiunga baada kushindwa Biashara.
Millcom International (Tigo) waliamua kuuza biashara yao yote ya Afrika so kwenye nchi mbalimbali wameuza kwa wawekezaji mbalimbali mfano hapa bongo imenunuliwa na Rostam Aziz (Axian Telco)

Tigo ya Ghana ikanunuliwa na Airtel Ghana

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Hivi kwa sasa ni kampuni gani ya simu ambayo inatoa vifurushi rahisi vya internet (MBs nyingi kwa pesa kidogo)? Naona kampuni zote zimeamua kukaa kikao cha pamoja kutukandamiza sisi watumiaji kila kukicha ili tukose mahalli pa kukimbilia. Mwanzoni halotel walikuwa nafuu lakini juzi walishusha kiasi cha kifurushi kutoka 10 GB kwa Tsh 10,000 hadi 4.9 GB. Yaani hawa umbwa wameniudhi kweli hadi nimeamua kurudi Vodacom bila kupenda.
Usipate unyonge njoo nikupe connection hiyo line usiitupe
 
Back
Top Bottom