Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
-
- #6,241
Hela nyingi sana hio, ya maji tu wanakuja cha muhimu deal na watu wa field sio wa Ofisini.Kwenye ugumu penyeza rupiaa, Ninae mwanangu kafanikiwa kufungiwa ndani ya wiki 3 tu. Kama 200k hivi ilimtoka
Vipo hivyo Ila kuipata menu kuna watu wanachaji 20kKuna vifurushi vya Airtel line za MSE sijui wana offer GB 22 KWA 20K KWA MWEZI
Hiyo MSE ndio nini mkuu??Kuna vifurushi vya Airtel line za MSE sijui wana offer GB 22 KWA 20K KWA MWEZI
Nikitaka kuzipata hizo line nafanyaje ?Kuna vifurushi vya Airtel line za MSE sijui wana offer GB 22 KWA 20K KWA MWEZI
Nnazo za voda ila kila niki-import zinanidai password, msaada kama unafahamWakuu Natafuta hatfile za tigo au ttcl kupitia ha tunnel
Ndo line gani hizo mkuuKuna vifurushi vya Airtel line za MSE sijui wana offer GB 22 KWA 20K KWA MWEZI
Duh hapo sifahamu mkuuNnazo za voda ila kila niki-import zinanidai password, msaada kama unafaham
Hata mm nataka kujua ndo laini gani hizo na nazipataje?Ndo line gani hizo mkuu
Tatizo lenu wabongo ni uaminifu kuna jamaa alinitapeli elfu 12 nilimtumia KWA ajili ya kuniunganisha kifurushi cha internet tena anatumia namba ya Lipa KWA M-pesa sasa hela zingine haziliki kizembe mtu utakuja kupata madhara yasiyoisha ukaipa familia mzigo....kama wewe sio TP Mungu akusaidie ufike mbali sasa hivi siamini mtu kabisa online,labda uso KWA uso wabongo sio.MALIPO BAADA YA KAZI
Ni Kweli, Ndio mana mimi NAPOKEA MALIPO BAADA YA KAZI, nakuunga ndio unanilipa.Tatizo lenu wabongo ni uaminifu kuna jamaa alinitapeli elfu 12 nilimtumia KWA ajili ya kuniunganisha kifurushi cha internet tena anatumia namba ya Lipa KWA M-pesa sasa hela zingine haziliki kizembe mtu utakuja kupata madhara yasiyoisha ukaipa familia mzigo....kama wewe sio TP Mungu akusaidie ufike mbali sasa hivi siamini mtu kabisa online,labda uso KWA uso wabongo sio.
Zinaungwa na watu wanasogea tu... ongea na watu kama huogopi kupigwa lakiniKuna vifurushi vya Airtel line za MSE sijui wana offer GB 22 KWA 20K KWA MWEZI
Hii ni ya kweli na kupitia mtu anayeunganisha.. nmeunganishia watu watano na wanaenjoy kwa sasa..AIRTEL SME BANDO!!!!!
VIGEZO:
1.TIN ( hata kama huna nakutengenezea kwa buku tu AU kama ukileta mtu yeyote nakutengenezea BURE.
Muhimu uwe na Namba ya NIDA
2. picha ya Passport size.
3. Lain unayotaka kuungwa.
4. Utachangia 10000 tu kwa zoezi zima la kuungwa. Ambapo utakuwa unaweza kufikia hio menu wewe mwenyewe na kuchagua kipi cha kujiunga!
Nicheki:
piga/whatsapp: 0710535327
NB: Uaminifu ni kitu kidogo, UNAWEZA LIPIA BAADA YA KAZI
Hakika mkuu.Hii ni ya kweli na kupitia mtu anayeunganisha.. nmeunganishia watu watano na wanaenjoy kwa sasa..
Na voda vipHakika mkuu.
Uzuri Mimi naweza kumuunga kwanza, Kisha Ndio Anilipe.
Sasa hapo anatapeliwaje? Labda yeye ndip Anitapeli!
Sawa ingekuwa voda ungeniunganisha.Ni Kweli, Ndio mana mimi NAPOKEA MALIPO BAADA YA KAZI, nakuunga ndio unanilipa.
Ukinitapeli, Ni sawa ila Shida huwa haziishi