Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Shukrani sana Mkuu,nimekucheki inbox nilikuwa sijaiona hii feedback yako.
 
Hapo sawa kaka basi lengo langu limetimia
 
Wakuu msaada nnje ya mada kidogo
Ivhi line za mpesa,tigopesa na nyinginezo za kipesa..zinapatikana kwa kias gani??
Kuna watu kibao wana unga mtaani ila kua makini hakikisha kazi zinafanyika kwa uaminifu kati yenu ukipata wa ana kwa ana ni njema zaidi.. kuhusu bei kila mmoja ana bei zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…