Halotel tunaenjoy na gb15 kwa 10000 mwezi mzima.hii sme ya voda wazinguaji sana, tulounga mara ya kwanza tumekula loss, maana walikatisha ukitia menu hauoni zile package, walivorudisha nikadhani tutaungwa automatic hola, wapuuzi sana hawa na alafu wamepunguza ujazo wa package kuliko sme za laini zingine.
kifupi voda sme yao ni ya kitapeli
Halotel tunaenjoy na gb15 kwa 10000 mwezi mzima.
NB.sio m2m wakuu
Pia unaruhusiwa kurusha mb
Mkuu em tusanue hiiHalotel tunaenjoy na gb15 kwa 10000 mwezi mzima.
NB.sio m2m wakuu
Pia unaruhusiwa kurusha mb
Tumia ya Airtelhii sme ya voda wazinguaji sana, tulounga mara ya kwanza tumekula loss, maana walikatisha ukitia menu hauoni zile package, walivorudisha nikadhani tutaungwa automatic hola, wapuuzi sana hawa na alafu wamepunguza ujazo wa package kuliko sme za laini zingine.
kifupi voda sme yao ni ya kitapeli
walivozingua nikarudi airtel chapuTumia ya Airtel
Providers wa internet wabadilike, wawe wajasiriamali.
Mambando yawe yasifanane , ili tusisishindwe Kwa kukimbilia .
Mfano karibia internet provider's wote speed ya MBs 10 unlimited wanauza Kwa 50,000 TSH,
Kwani wasijitokeze baadhi wakauza 40,000 TSH.
Wengine MBs 5 Kwa 25,000 Tu.
Biashara ushindani kupata wateja Wengi wakudumu
Kuna airtel smeMkuu em tusanue hii
Halotel unapigaje mkuuKuna airtel sme
Gb22 kwa 22000
35 kwa 30000
Kuns m2m
Gb 18 kwa 15000
35 kwa 30k
Pia kuna halotel ila sio m2m
Gb 2.5 kwa 2000 7 days
Gb6.5 kwa 5000
gb15 kwa 10000
Pia mb unaweza kumrushia mtu mwingine
Tigo postpaid
All in all gn kwa 1000
Kuna line maalumu ni 15000 kusajili ukisajili unawekewa vocha ya 5000Halotel unapigaje mkuu
Nimejisajili lakn sioni bando.Download app ya Tigo pesa then jisajili una pata 1 gb free
kisha Nenda sehem ilioandikwa Invite& Earn Gusa pale then gusa neno "REDEEM" au KOMBOA afu kwenye Code jaza SVRA639Z Tayali apo utapata shiling 500 Kutoka tigopesa
Kumbuka kujaza hii code [emoji117] SVRA639Z
babu hii mnaipataje..?Halotel tunaenjoy na gb15 kwa 10000 mwezi mzima.
NB.sio m2m wakuu
Pia unaruhusiwa kurusha mb
Aiseee, wajinga hawaishiNimejisajili lakn sioni bando.
Hii inakuaje mkuu kwa airtelKuna airtel sme
Gb22 kwa 22000
35 kwa 30000
Kuns m2m
Gb 18 kwa 15000
35 kwa 30k
Pia kuna halotel ila sio m2m
Gb 2.5 kwa 2000 7 days
Gb6.5 kwa 5000
gb15 kwa 10000
Pia mb unaweza kumrushia mtu mwingine
Tigo postpaid
All in all gn kwa 1000
Unaunganisha tu, muhm tin number na nidaHii inakuaje mkuu kwa airtel
Hii nikiitaka nafanyaje?Kuna airtel sme
Gb22 kwa 22000
35 kwa 30000
Kuns m2m
Gb 18 kwa 15000
35 kwa 30k
Pia kuna halotel ila sio m2m
Gb 2.5 kwa 2000 7 days
Gb6.5 kwa 5000
gb15 kwa 10000
Pia mb unaweza kumrushia mtu mwingine
Tigo postpaid
All in all gn kwa 1000
Vip watu wa Router za Airtel mnavuka 1TB kwa mwezi?Leo pia kuna changamoto ya mtandao
Kama utaweza ku zoomVip watu wa Router za Airtel mnavuka 1TB kwa mwezi?
Mie nimevuta ttcl Airtel majambazi tu hakuna lolote ukitumia sana speed Ina drop sio poaVip watu wa Router za Airtel mnavuka 1TB kwa mwezi?