Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Halotel tunaenjoy na gb15 kwa 10000 mwezi mzima.
NB.sio m2m wakuu
Pia unaruhusiwa kurusha mb
 
Tumia ya Airtel
 
Providers wa internet wabadilike, wawe wajasiriamali.
Mambando yawe yasifanane , ili tusisishindwe Kwa kukimbilia .
Mfano karibia internet provider's wote speed ya MBs 10 unlimited wanauza Kwa 50,000 TSH,
Kwani wasijitokeze baadhi wakauza 40,000 TSH.

Wengine MBs 5 Kwa 25,000 Tu.
Biashara ushindani kupata wateja Wengi wakudumu
 

Tigo, Halotel, Airtel na Voda unajiungaje hizo unlimited za 50k?
 
Kuna airtel sme
Gb22 kwa 22000
35 kwa 30000
Kuns m2m
Gb 18 kwa 15000
35 kwa 30k

Pia kuna halotel ila sio m2m
Gb 2.5 kwa 2000 7 days
Gb6.5 kwa 5000
gb15 kwa 10000
Pia mb unaweza kumrushia mtu mwingine

Tigo postpaid

All in all gn kwa 1000
Halotel unapigaje mkuu
 
Kuna airtel sme
Gb22 kwa 22000
35 kwa 30000
Kuns m2m
Gb 18 kwa 15000
35 kwa 30k

Pia kuna halotel ila sio m2m
Gb 2.5 kwa 2000 7 days
Gb6.5 kwa 5000
gb15 kwa 10000
Pia mb unaweza kumrushia mtu mwingine

Tigo postpaid

All in all gn kwa 1000
Hii nikiitaka nafanyaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…