HakikaNimepata za chini chini kuna kampuni moja ya Simu wanataka kubadilisha bei za vifurushi vyao vya Internet... Na hii ni kutokana na Router zao kuwa na Speed ndogo ikilinganishwa na washindani wake (Malalamiko mengi kutoka kwa wateja wake) na hii inaweza kufanyika kabla ya mwezi wa 9 mwaka huu.
Mkuu, waya umefika kwako kwa njia ya nguzo ama ardhini. Unaweza tuwekea speed test tuone details kama ping na mengineyo?.Nilifanya maombi ttcl kama sio 2021 ni 2022 wakaja wakachek wakaondoka nikafatilia sana nikapigwa danadana nikachoka Airtel alivyokuja na router za 5g nikajichukulia moja ya malipo ya 70,000 kwa mwezi sasa cha ajabu juzi kati hapa hao ttcl wakanipigia wakaniuliza bado naitaji huduma ya internet nikasema ndio wakasema mafundi wanakuja nikajua kama kawaida yao masaa kama 3 mbele nikaona mafundi wamekuja wakavuta fiber nikapewa control number nikalipa wakaleta router wakanifungia ila shida router yao ile user interface wamelock na hawatoai password ya kulogin kwenye router.Nipo moshi sijui kwa maeneo mengine
Kwa njia ya nguzo za umeme mkuu speed ni 19.2mbps kila wakati na upload ni 9.8mbps ping inategemea una ping wapi kwa hapa bongo inakua chini kwa marekani na ulaya inakua juu kidogo kwenye mia na kituMkuu, waya umefika kwako kwa njia ya nguzo ama ardhini. Unaweza tuwekea speed test tuone details kama ping na mengineyo?.
Sio sahihi mkuu speed ya downlaod na upload haziunganishwi zipo separate ndio maana ukifanya speed test itakupa ya download na upload mfano utashusha kwa speed ya 20mbps ila ukifanya upload ni 10mbps sio 30mbps ingekua hivyo mbona ingekua furaha sana 🤣🤣🤣TTCL ni Mbps 30 sio 20 (Hapo kuna kudownload na Kuupload)
Airtel hao, wangese sanaNimepata za chini chini kuna kampuni moja ya Simu wanataka kubadilisha bei za vifurushi vyao vya Internet... Na hii ni kutokana na Router zao kuwa na Speed ndogo ikilinganishwa na washindani wake (Malalamiko mengi kutoka kwa wateja wake) na hii inaweza kufanyika kabla ya mwezi wa 9 mwaka huu.
Sababu ni shared sababu itakuwa wingi wa watuHivi hii ya airtel 5g router kushuka speed mida ya saa mbili mpaka nne usiku inasababishwa na nini?
Nipo kijijini kabisa, na watu wengi wanatumia vodaSababu ni shared sababu itakuwa wingi wa watu
Wewe naona umesahau tabia za mbogamboga hapo tunawasubiria mujae wa kutosha halafu mtajua hamjuiIssue ya internet naona inaendelea kwa kasi sana TZ nadhan miaka 2 ijayo watu wengi watakuwa na unlimited internet majumbano issue za bundle zitakuwa si saaana kama miaka 2 iliyopita
MFano airtel naona wadau wengi sana wanatumia sikuhizi tusubiri hizo fiber zifike huku kwetu ndani ndani mbezi tuchukue
So far airtel hainanshida sana kwangu ila mara moja moja speed ina drop ila zikija nyingine bei chee na uhakika tutaswitch kuona
Karibuni naona miyayusho inakuwa mingi mzigo unaanza kuwashinda taratiibuHawa jamaa wanataka ugomvi na mimi naona wanaichukulia 110K kama kihamsini tu
View attachment 3042112
Tatizo sugu hiliHivi hii ya airtel 5g router kushuka speed mida ya saa mbili mpaka nne usiku inasababishwa na nini?
Mkuu hili swali bado siku pata jibu vizuri, inashuka speed ukiwa connected na 5G ama 4G?Hii shida ya speed kushuka ikifika jioni kwa hizi router za airtel naona linataka kuwa tatizo chronic..
Bongo nyoso sana..
Eneo nililoko ni 4G+.Mkuu hili swali bado siku pata jibu vizuri, inashuka speed ukiwa connected na 5G ama 4G?
Hii hata mimi imekua ikinisumbua, na inapokua 4G+ router hua inawaka taa nyekundu.Eneo nililoko ni 4G+.
Ila ikifika mida ya jioni, speed inakuwa mbovu, network inakuja na kukata, nikiingia online mfano X media zinafunguka very slowly.
Kiufupi hiyo mida network inakuwa tofauti na mida mingine..