Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Nilifanya maombi ttcl kama sio 2021 ni 2022 wakaja wakachek wakaondoka nikafatilia sana nikapigwa danadana nikachoka Airtel alivyokuja na router za 5g nikajichukulia moja ya malipo ya 70,000 kwa mwezi sasa cha ajabu juzi kati hapa hao ttcl wakanipigia wakaniuliza bado naitaji huduma ya internet nikasema ndio wakasema mafundi wanakuja nikajua kama kawaida yao masaa kama 3 mbele nikaona mafundi wamekuja wakavuta fiber nikapewa control number nikalipa wakaleta router wakanifungia ila shida router yao ile user interface wamelock na hawatoai password ya kulogin kwenye router.Nipo moshi sijui kwa maeneo mengine
Mkuu, waya umefika kwako kwa njia ya nguzo ama ardhini. Unaweza tuwekea speed test tuone details kama ping na mengineyo?.
 
TTCL ni Mbps 30 sio 20 (Hapo kuna kudownload na Kuupload)
Sio sahihi mkuu speed ya downlaod na upload haziunganishwi zipo separate ndio maana ukifanya speed test itakupa ya download na upload mfano utashusha kwa speed ya 20mbps ila ukifanya upload ni 10mbps sio 30mbps ingekua hivyo mbona ingekua furaha sana 🤣🤣🤣
 
Nimepata za chini chini kuna kampuni moja ya Simu wanataka kubadilisha bei za vifurushi vyao vya Internet... Na hii ni kutokana na Router zao kuwa na Speed ndogo ikilinganishwa na washindani wake (Malalamiko mengi kutoka kwa wateja wake) na hii inaweza kufanyika kabla ya mwezi wa 9 mwaka huu.
Airtel hao, wangese sana
 
Issue ya internet naona inaendelea kwa kasi sana TZ nadhan miaka 2 ijayo watu wengi watakuwa na unlimited internet majumbano issue za bundle zitakuwa si saaana kama miaka 2 iliyopita

MFano airtel naona wadau wengi sana wanatumia sikuhizi tusubiri hizo fiber zifike huku kwetu ndani ndani mbezi tuchukue

So far airtel hainanshida sana kwangu ila mara moja moja speed ina drop ila zikija nyingine bei chee na uhakika tutaswitch kuona
 
Hawa jamaa wanataka ugomvi na mimi naona wanaichukulia 110K kama kihamsini tu
1720952504168.png
 
Wewe
Issue ya internet naona inaendelea kwa kasi sana TZ nadhan miaka 2 ijayo watu wengi watakuwa na unlimited internet majumbano issue za bundle zitakuwa si saaana kama miaka 2 iliyopita

MFano airtel naona wadau wengi sana wanatumia sikuhizi tusubiri hizo fiber zifike huku kwetu ndani ndani mbezi tuchukue

So far airtel hainanshida sana kwangu ila mara moja moja speed ina drop ila zikija nyingine bei chee na uhakika tutaswitch kuona
Wewe naona umesahau tabia za mbogamboga hapo tunawasubiria mujae wa kutosha halafu mtajua hamjui
 
Eneo nililoko ni 4G+.

Ila ikifika mida ya jioni, speed inakuwa mbovu, network inakuja na kukata, nikiingia online mfano X media zinafunguka very slowly.

Kiufupi hiyo mida network inakuwa tofauti na mida mingine..
Hii hata mimi imekua ikinisumbua, na inapokua 4G+ router hua inawaka taa nyekundu.
 
Back
Top Bottom