Mr Adam Gella
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,327
- 664
Hizo msg ni kama unaopigwa na kupesti, jamaa yangu pia ulimtukana ivo na ukasema umeisha unganisha zaidi ya watu 500.Si mnataka PM tuziweke hapa? Maana mnachagua pm za kuweka hapa zili mlizokiri imekubali mnaziacha
Hakuna sehemu nimesema umemtusi ila ukiweka mambo sawa inakuwa poaHapo tusi ni lipi kwenye hizo PM? Jamaa si muelewa yaan kila dakika anapiga simu hata hiyo kaz utaifanyaje kama anaingilia na calls zake?
Nmemjibu asubir hatufany dakika 30 kama zaman kwa sasa ni 5 to 7 days na nkimwambia before. Ok huyu ni mjinga narudia ni mjinga
We huna cha kujitetea unachokimbilia ni ku expose tu no za watu...wengine hatuna makuu ata ukizi exposeSi mnataka PM tuziweke hapa? Maana mnachagua pm za kuweka hapa zili mlizokiri imekubali mnaziacha
Hahaahaa yawezekana kuweka ila itacost tena pakubwa itakuwa BONGE LA KESI.mhh nmefuatiliaa huu uzi nakutana na malalamiko ya watu kutapeliwa ...wengine janjajanja tu....hawana lolote..na wewe ambae una ujuzi kwa nini usiuweke hapa hadharani??Kila mmoja anufaike???Acheni ubinafsi huo watanzania
Kivipi mkuu?.Duh..kumbe watu wanapiga bao huku
Duh hii kweli bao.
Hapo umeshaelewa watu wanapigaje bao
Na wewe jiongeze sasaDuh hii kweli bao.
the great wizardNaomba kufahamu.
Vocha za Airtel uni bado zipo au ?
Nina line ila supplier niliokuwa nawategemea kuzipata wananiambia walisitisha.
Na kama ni hivyo ninapendekeza uzi ufanyiwe marekebisho kwenye kipengele cha vifurushi vya airtel
dah hizi vocha zilikua zikienda kimkoa sasa zimesha disappear hata huku
Kama kuna mikoa vinapatikana naomba uongeze katika uzi. Itakuwa msaada mkubwa sana kwa wadau
Sawa mkuu.Na wewe jiongeze sasa
Wapi huko kaka?Wadau
Mbona huku kwetu line za voda za chuo zinauzwa wengine wanauza buku wengine 3000 mpaka 5000/